Nimeteseka miaka 17, Watanzania nisaidieni
Kijana Amos Ng’arare Sasi (21) mkazi wa kijiji cha Kizaru wilayani Musoma Vijijni amepoteza mwelekeo wa maisha baada ya ndoto yake ya kusoma hadi chuo kikuu kuishia njiani kutokana na matatizo ya ugomjwa wa ajabu ambao umemtesa kwa kipindi cha miaka 17.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi27 Mar
Msagati: Nakufa nikijiona, Watanzania nisaidieni
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Titi limetoboka, nisaidieni
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/agg6MtdmQC2C0pPmZLjzNZ3IrseuvQW8KVzTDAeaEWyLMvt8B7GdTC7jpAN2Fl04GMcPb6AZHR*pzA2V4rDnwlPwzA5tdBqZ/PICHAYAKIJANA.jpg?width=650)
WANANCHI NISAIDIENI MWENZENU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SWXdzvDqQaKbPBIekOqTykBdW98cq*yXV7hol7wMo9XPb7q-Gk7RoX8FvGHv00nhFwVLDpa7lM1Tb1ySd0FtdYnP2rF1R93G/Mtoto.jpg?width=640)
MAMA: NISAIDIENI MWANANGU AWE KAMA WATOTO WENGINE
11 years ago
Mwananchi01 May
Miaka 50 ya Muungano ilivyonufaika Watanzania
10 years ago
BBCSwahili09 Dec
Watanzania waadhimisha miaka 53 ya uhuru
9 years ago
Mtanzania10 Dec
Miaka 54 ya uhuru, Watanzania hawakuwa huru
NA ELIZABETH HOMBO
LEO Watanzania wanasherehekea miaka 54 baada ya Taifa hili kujinasua kutoka kwenye minyororo ya wakoloni wa Uingereza.
Historia inaonyesha kuwa baada ya Vita Kuu ya Pili ya Dunia, Umoja wa Mataifa(UN) uliwapa dhamana Uingereza kuitawala Tanganyika mpaka hapo wananchi wake watakapopata ufahamu wa kudai uhuru wao.
Kabla ya Uingereza kupewa dhamana ya kuiongoza Tanganyika, nchi hii ilikuwa chini ya himaya ya koloni la Ujerumani.
Uhuru wa Taifa hili umepita katika mapito...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-tPVbDAaeFKk/VIgOjUjriQI/AAAAAAAAUuk/c3PLmrFr_lU/s72-c/IMG_8283.jpg)
NISHANI ZA MIAKA 50 YA MUUNGANO ZATOLEWA KWA WATANZANIA 28
![](http://4.bp.blogspot.com/-tPVbDAaeFKk/VIgOjUjriQI/AAAAAAAAUuk/c3PLmrFr_lU/s1600/IMG_8283.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dayQgVCPYg8/VIgOkwXW99I/AAAAAAAAUuw/mf1Z7FoDlDo/s1600/IMG_8292.jpg)
10 years ago
Dewji Blog16 Dec
Watanzania washerehekea miaka 53 ya Uhuru Oakland California
Balozi wa heshima Mhe. Ahmed Issa (watatu toka kushoto) akibadilishana mawili matatu na mgeni rasmi wa sherehe za miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara Mhe. Dr. Saidi Mohamed Mtanda (wapili toka kushoto), mbunge wa Afrika Mashariki na mwenyekiti kamati ya kudumu ya huduma za jamii katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mhe. Mtanda pia ni Mbunge wa jimbo la Mchinga Mkoani Lindi. Kulia ni Cherry Mke wa Mhe. Ahmed Issa.
![](http://2.bp.blogspot.com/-c1FlvvFOibw/VI7qhdZec4I/AAAAAAADR6c/g7GuT9HodDM/s1600/IMG_3429.jpg)