Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mawakala wa kununua pareto waonywa

Mawakala wanaonunua pareto kwa niaba ya Kampuni ya Pareto Tanzania (PCT) mkoani Mbeya, wameagizwa kufanya kazi yao bila kukopa wakulima ili kuepusha kero.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Upungufu wa sumu waangusha bei ya pareto

>Upungufu wa sumu kwenye pareto iliyouzwa nje ya nchi msimu uliopita umesababisha pareto ya Tanzania kushuka bei katika soko la dunia ikilinganishwa na Kenya na Rwanda imeelezwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Wakulima wa Pareto waanza kutembea kifua mbele

>Kampuni ya Pareto Tanzania (PCT), imewalipa zaidi ya Sh4.4 bilioni  wakulima wa pareto katika mikoa ya Mbeya, Njombe, Iringa na Arusha kuanzia Agosti mwaka jana hadi Machi mwaka huu baada ya kununua tani 2,300 za zao hilo, imeelezwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Tofauti ya bei kutoka kwa wanunuzi wa pareto yawachanganya wakulima

Wakulima wa Pareto mkoani hapa wamehoji uwapo wa mkanganyiko wa bei ya zao hilo msimu huu baada ya kuwapo kwa wanunuzi wanaowalipa Sh2,200 papo kwa papo huku wengine wakiwalipa Sh1,500 kwanza na nyingine hulipwa baada ya kupima sumu.

 

9 years ago

Mwananchi

Wasanii waonywa

Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) limewaonya wasanii kutotumia lugha ya matusi katika kipindi ambacho wanatumika kwenye kampeni mbalimbali za wagombea, watambue kuwa hakuna aliye juu ya sheria.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mawakala TPB waelimishwa

BENKI ya Posta Tanzania (TPB), imewajengea uwezo mawakala wa benki hiyo, ili kuongeza uwezo wa kufanya kazi pamoja na kubadilishana uzoefu katika utendaji wa utoaji huduma kwa wateja. Akizungumza Dar...

 

11 years ago

Habarileo

Mawakala marufuku kuajiri

SERIKALI imepiga marufuku utaratibu wa mawakala kuwaajiri wafanyakazi wanaowatafutia kazi. Aidha, kampuni na mawakala husika waliopo katika utaratibu huu kwa sasa wanapaswa kuwahamisha wafanyakazi waliokodishwa kutoka kwa wakala kwenda kwa kampuni husika kazi inayotakiwa kufanyika ndani ya mwezi mmoja.

 

11 years ago

Habarileo

Wanafunzi wa ualimu waonywa

 Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA), Dk Primus NkweraWANAFUNZI wanaotarajia kujiunga na mafunzo ya Stashahada ya Ualimu wa Shule ya Msingi (ODPE) na Sekondari, wamepewa angalizo juu ya utaratibu wa kuomba udahili, wakisisitizwa vyuo haviruhusiwi kudahili moja kwa moja.

 

9 years ago

Habarileo

Waajiri wa madereva waonywa

SERIKALI itaanza kuchukua hatua za kisheria kwa waajiri watakaokiuka makubaliano katika mikataba mipya ya madereva kuanzia Oktoba Mosi mwaka huu, huku madereva wakionywa kuacha tishio la migomo.

 

11 years ago

Mwananchi

Wachimba madini waonywa

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Said Mwambungu ameelezea kusikitishwa na uharibifu wa Barabara ya Songea-Mbinga unaofanywa na wachimbaji wadogo wa madini karibu na Gereza la Kitai, wilayani Mbinga.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani