Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mawakala marufuku kuajiri

SERIKALI imepiga marufuku utaratibu wa mawakala kuwaajiri wafanyakazi wanaowatafutia kazi. Aidha, kampuni na mawakala husika waliopo katika utaratibu huu kwa sasa wanapaswa kuwahamisha wafanyakazi waliokodishwa kutoka kwa wakala kwenda kwa kampuni husika kazi inayotakiwa kufanyika ndani ya mwezi mmoja.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

‘Marufuku mawakala wa ajira kuajiri’

SERIKALI imesisitiza kuwa suala la kupiga marufuku utaratibu wa mawakala wa ajira, kuwaajiri wafanyakazi wanaowatafutia kazi bado liko palepale. Akizungumza leo, Msemaji wa Wizara ya Kazi na Ajira, Ridhiwan Wema alisema kwa sasa wizara iko katika hatua ya kuchambua maombi ya usajili wa kampuni na wakala na kuwa baada ya hapo watachukua hatua stahiki kwa watakaokaidi agizo la Serikali.

 

10 years ago

Dewji Blog

TBS kuajiri watumishi 200

22

Afisa Uhusiano wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Bi. Roida Andusamile akitoa wito kwa waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuendelea kuelemisha umma kuhusu madhara ya matumizi ya nguo za mdani za mtumba. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi Udhibiti Ubora wa Shirika hilo Bi. Mary Meela.

Frank Mvungi-Maelezo

Shirika la viwango Tanzania (TBS) linatarajia kuajiri watumishi 200 katika harakati za kuimarisha utendaji wa shirika hilo.

Hayo yamesemwa na Kaimu Mkurugenzi wa udhibiti ubora wa shirika hilo...

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali kuajiri walimu 35,000 sekondari

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amesema Serikali imepanga kuajiri walimu zaidi ya 35,000 kwa ajili ya shule za sekondari ili kukabiliana na tatizo la uhaba wa walimu nchini.

 

9 years ago

Mwananchi

TCRA: Acheni kuajiri watangazaji kanjanja

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imevitaka vyombo vya habari vya utangazaji, kuajiri watu wanaojua maadili ya kazi yao ili kulinda heshima ya sekta ya utangazaji.

 

9 years ago

Mwananchi

Kigwangalla atoa miezi 3 kuajiri watumishi

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Hamisi Kigwangalla ameuagiza uongozi wa Kituo cha Afya cha Kambarage mjini Shinyanga kuhakikisha unapata watumishi wa kutosha ndani ya kipindi cha miezi mitatu.

 

9 years ago

Habarileo

MUHAS waomba kuajiri watumishi kampasi kuu

CHUO Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi, Muhimbili (MUHAS) kimeiomba serikali kutoa kibali kianze kuajiri watumishi wa Kampasi Kuu ya Mloganzila nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam katika mwaka huu wa fedha.

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI KUAJIRI WALIMU 35,000 - WAZIRI MKUU

WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema Serikali imepanga kuajiri walimu zaidi ya 35,000 kwa ajili ya shule za sekondari ili kukabiliana na tatizo la uhaba wa walimu nchini.
Ametoa kauli hiyo jana jioni (Alhamisi, Februari 19, 2015) wakati akizungumza na mamia ya wakazi wa kata ya Kiwere, mara baada ya kukagua ujenzi wa maabara na kuzindua nyumba nne za walimu kwenye shule ya sekondari ya Kiwere, tarafa ya Kalenga, wilayani Iringa.
Waziri Mkuu alisema walimu hao watagawanywa kwenye shule kulingana...

 

9 years ago

Habarileo

ZFA yazibana timu kuajiri makocha wa makipa

CHAMA cha Soka Zanzibar (ZFA) Taifa kimezitaka timu kujipanga kuwa na makocha wa makipa ili kila timu iwe na mwalimu atakayeshughulikia makipa pekee.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali kuajiri wapya 11,000 sekta ya afya

Katika kuboresha utoaji wa huduma za afya nchini mwaka huu, Serikali inatarajia kuajiri wafanyakazi wapya zaidi ya 11,000, imeelezwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani