Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Marufuku mawakala wa ajira kuajiri’

SERIKALI imesisitiza kuwa suala la kupiga marufuku utaratibu wa mawakala wa ajira, kuwaajiri wafanyakazi wanaowatafutia kazi bado liko palepale. Akizungumza leo, Msemaji wa Wizara ya Kazi na Ajira, Ridhiwan Wema alisema kwa sasa wizara iko katika hatua ya kuchambua maombi ya usajili wa kampuni na wakala na kuwa baada ya hapo watachukua hatua stahiki kwa watakaokaidi agizo la Serikali.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mawakala marufuku kuajiri

SERIKALI imepiga marufuku utaratibu wa mawakala kuwaajiri wafanyakazi wanaowatafutia kazi. Aidha, kampuni na mawakala husika waliopo katika utaratibu huu kwa sasa wanapaswa kuwahamisha wafanyakazi waliokodishwa kutoka kwa wakala kwenda kwa kampuni husika kazi inayotakiwa kufanyika ndani ya mwezi mmoja.

 

11 years ago

Mwananchi

Mawakala, kampuni za ajira zapigwa ‘stop’

Serikali imetoa miezi miwili kwa mawakala binafsi wa huduma za ajira kuacha mara moja kuajiri na kukodisha wafanyakazi, vinginevyo sheria kali zitachukuliwa dhidi ya wahusika.

 

11 years ago

Michuzi

Serikali yapiga marufuku ajira za watoto kwenye migodi

Na Greyson  Mwase, Tarime
Naibu Waziri wa Nishati na Madini anayeshughulikia madini Stephen Masele amekemea vikali tabia ya wamiliki wa migodi  kuajiri watoto wenye umri wa chini ya miaka 18  kwani inarudisha maendeleo ya watoto hao na kwa jamii kwa ujumla inayowategemea
Waziri Masele ameyasema hayo kwenye ufunguzi wa semina iliyoshirikisha wachimbaji wadogo, madiwani, viongozi wa vijiji, wilaya, madiwani pamoja na viongozi wa vyama  vya siasa inayoendelea katika jimbo la Mwibara wilaya...

 

10 years ago

Dewji Blog

TBS kuajiri watumishi 200

22

Afisa Uhusiano wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Bi. Roida Andusamile akitoa wito kwa waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuendelea kuelemisha umma kuhusu madhara ya matumizi ya nguo za mdani za mtumba. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi Udhibiti Ubora wa Shirika hilo Bi. Mary Meela.

Frank Mvungi-Maelezo

Shirika la viwango Tanzania (TBS) linatarajia kuajiri watumishi 200 katika harakati za kuimarisha utendaji wa shirika hilo.

Hayo yamesemwa na Kaimu Mkurugenzi wa udhibiti ubora wa shirika hilo...

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali kuajiri walimu 35,000 sekondari

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amesema Serikali imepanga kuajiri walimu zaidi ya 35,000 kwa ajili ya shule za sekondari ili kukabiliana na tatizo la uhaba wa walimu nchini.

 

9 years ago

Mwananchi

TCRA: Acheni kuajiri watangazaji kanjanja

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imevitaka vyombo vya habari vya utangazaji, kuajiri watu wanaojua maadili ya kazi yao ili kulinda heshima ya sekta ya utangazaji.

 

9 years ago

Mwananchi

Kigwangalla atoa miezi 3 kuajiri watumishi

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Hamisi Kigwangalla ameuagiza uongozi wa Kituo cha Afya cha Kambarage mjini Shinyanga kuhakikisha unapata watumishi wa kutosha ndani ya kipindi cha miezi mitatu.

 

10 years ago

Michuzi

WAKALA WA AJIRA TANZANIA WAELEZA MIKAKATI YAO YA KUWASAIDIA VIJANA WANAOKUBWA NA JANGA LA KUKOSA AJIRA

Afisa Habari wa Wakala wa Ajira Tanzania (TaESA) Jamilah Mbarouk akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam kuelezea mkakati wao wa kuanzisha mafunzo ili kuweza kuwasaidia vijana wahitimu ili wakabiliane na soko la ajira, Wakala umekuwa ukitoa mafunzo ya namna ya kushindania fursa za ajira. Mafunzo haya yamevutia watafutakazi wengi ambao tayari wako sokoni na walioko vyuoni. Aidha mafunzo haya yamewabadilisha vijana wengi waliohudhuria kuhusu suala zima la kuajiriwa na...

 

9 years ago

Habarileo

MUHAS waomba kuajiri watumishi kampasi kuu

CHUO Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi, Muhimbili (MUHAS) kimeiomba serikali kutoa kibali kianze kuajiri watumishi wa Kampasi Kuu ya Mloganzila nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam katika mwaka huu wa fedha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani