Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mawaziri 5 waangushwa uchaguzini Tanzania

Mwaziri watano wa serikali inayomaliza muda wake wameanguka kwenye uchaguzi katika majimbo yao,huku wagombea wengine wa Ubunge maarufu nao wakiangushwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mabingwa Kenya waangushwa

Magereza ya Kenya yashindwa seti 3-0 na GS Petroliers ya Algeria fainali ya voliboli ya klabu bingwa Afrika

 

9 years ago

BBCSwahili

Mkurugenzi wa tume afafanua changamoto uchaguzini

Mkurugenzi wa Uchaguzi Tanzania Ramadhan Kailima amesimulia jinsi gari la tume lilivyotekwa na vifaa vya uchaguzi kuharibiwa eneo la Sumbawanga, mkoa wa Rukwa. Hiyo ni mota tu ya changamoto zilizoshuhudiwa wakati wa upigaji kura.

 

11 years ago

BBCSwahili

Baraza la mawaziri labadilishwa Tanzania

Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania amelifanyia mabadiliko baraza lake la mawaziri kujaza nafasi tano zilizokuwa wazi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kifungo kwa mawaziri wa zamani Tanzania

Basil Mramba na Daniel Yona wameukamilisha usiku wa kwanza gerezani baada ya kukutwa na hatia ya matumizi mabaya ya madaraka.

 

10 years ago

BBCSwahili

Baraza la mawaziri lazua hisia Tanzania

Siku mbili baada ya rais wa Tanzania kufanya mabadiliko kwenye baraza la mawaziri,kumekuwepo hisia tofauti

 

11 years ago

BBCSwahili

Wizara tano zakosa mawaziri Tanzania

Pengo la mawaziri katika serikali ya Tanzania limefikia watano baada ya waziri wa Fedha, Dokta William Mgimwa kufariki dunia

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais Kikwete awateua mawaziri 8 Tanzania

Rais amewateua mawaziri wanane wapya pamoja na manaibu watano.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani