Mawaziri Tamisemi mnasubiri nini kujiuzulu?
Wabunge juzi waliweka kando itikadi zao za kisiasa na kupitisha kwa kauli moja azimio la kuwataka mawaziri katika Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) kujipima kama wanastahili kuendelea kuiongoza wizara hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili07 May
Ufisadi: Mawaziri wote kujiuzulu Chile
Rais wa Chile Michelle Bachelet amelitaka baraza lake lote la mawaziri kujiuzulu.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/JUPJxGO-oyQ/default.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1TxjyclNmzvNS8CTPKaZcFuy4XRvfw4yHPDa-yg29l5uALiOq6vFDVFi42a2X6rjQs8uYnUmgMXUrDMq9RugxPdh5HuPMi15/ombeni.jpg)
UHAMISHO NA UTEUZI WA MAWAZIRI NA NAIBU MAWAZIRI WAPYA
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Sefue Ombeni. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI UHAMISHO NA UTEUZI WA MAWAZIRI NA NAIBU MAWAZIRI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amewahamisha na kuwateua baadhi ya Mawaziri na Naibu Mawaziri kama ifuatavyo:- 1.0 OFISI YA RAIS
Hakuna mabadiliko. 2.0 OFISI YA MAKAMU WA RAIS
2.1 Waziri wa… ...
10 years ago
GPLMKUTANO WA MAWAZIRI WA MAZINGIRA NA MAWAZIRI WA MAMBO YA NJE KUTOKA NCHI ZA KAMATI YA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA KUFANYIKA JIJINI DAR
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais –Mazingira Mh. Dk. Eng. Binilith Satano Mahenge, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam, kuhusu mkutano wa Mawaziri wa Mazingira na Mawaziri wa Mambo ya Nje kutoka nchi za kamati ya wakuu wa nchi za Afrika utakaofanyika jijini Dar-es -salaam katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Julius Nyerere Tarehe 29 Agosti 2014.… ...
10 years ago
Mwananchi18 Dec
‘Tamisemi isisimamie uchaguzi’
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimependekeza Sheria ya Uchaguzi Serikali za Mitaa ibadilishwe ili uchaguzi huo usimamiwe na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) badala ya kusimamiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi).
10 years ago
Mwananchi26 Jan
Tamisemi kuelimisha wapigakura
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia amesema wizara yake imeweka mikakati ya kuhakikisha inatoa elimu kwa jamii kupitia halmashauri ili wananchi watambue umuhimu wa kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapigakura.
10 years ago
Mwananchi03 Jun
Blatter kujiuzulu Fifa
Zurich, Uswisi. Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (Fifa), Sepp Blatter ametangaza kuwa atajiuzulu nafasi yake hiyo kutokana na kashfa ya rushwa iliyolikumba shirikisho hilo.
9 years ago
BBCSwahili31 Aug
Razak akataa kujiuzulu
Waziri mkuu wa Malaysia , Najib Razak, amepinga wito wa kujiuzulu kwake kufuatia madai ya ufisadi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania