Mawaziri watano chali
Mawaziri watano wa Serikali inayomaliza muda wake wameanguka kwenye uchaguzi majimboni mwao, sambamba na wagombea wengine maarufu wa Bunge lililopita baada ya matokeo ya kura zilizopigwa Jumapili kuanza kutangazwa jana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo27 Oct
MAWAZIRI WATANO WAANGUKIA PUA
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2931392/highRes/1158930/-/maxw/600/-/7xkw70z/-/MWAZIRI+WATANO+Photo.jpg)
Mikoani. Mawaziri watano wa Serikali inayomaliza muda wake wameanguka kwenye uchaguzi majimboni mwao, sambamba na wagombea wengine maarufu wa Bunge lililopita baada ya matokeo ya kura zilizopigwa Jumapili kuanza kutangazwa jana.
Mawaziri hao wanaungana na wabunge wengine maarufu wa Bunge la Kumi walioshindwa kutetea majimbo yao, wakiwamo wa kambi ya upinzani ambao wameangushwa na wagombea wa CCM.
Pia wamo mawaziri wa zamani wawili, Cyril Chami na Omary Nundu...
10 years ago
Mwananchi03 Aug
Mawaziri watano waanguka kura za maoni
Kishindo cha kura za maoni ndani ya CCM kimeendelea kuwakumba baadhi ya vigogo wa chama hicho baada ya jana mawaziri wengine watano kuanguka.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-rfRW4K4twlY/Vb7xaEl_wEI/AAAAAAAAiao/h0RTNQO9pBo/s72-c/1.png)
Kura za Maoni CCM: Mawaziri Watano Waanguka.......Yumo Chikawe,Sillima,Mahanga na Makalla ,Aden Rage Pia Kaanguka!!
![](http://2.bp.blogspot.com/-rfRW4K4twlY/Vb7xaEl_wEI/AAAAAAAAiao/h0RTNQO9pBo/s640/1.png)
Matokeo ya awali ya kura za maoni kwa wagombea udiwani na ubunge kupitia chama tawala, yameanza kuanikwa, huku yakionesha kuwa baadhi ya mawaziri, wabunge na watendaji katika chama na serikali wameangushwa.
Kwa mujibu wa matokeo ambayo mtandao huu umeyapata, kwa upande wa mawaziri walioshindwa ni pamoja na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe.Hayo yamethibitishwa na Katibu wa CCM mkoa wa Lindi, Adelina Gefi aliyesema kura za Chikawe katika jimbo lake la Nachingwea alikokuwa...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/JUPJxGO-oyQ/default.jpg)
11 years ago
Mwananchi28 Jun
Wanachama Simba chali
>Harakati za wanachama wa Simba kuzuia uchaguzi wa klabu hiyo unaotarajiwa kufanyika kesho zimegonga mwamba baada ya Mahakama Kuu kutupilia mbali maombi yao.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1TxjyclNmzvNS8CTPKaZcFuy4XRvfw4yHPDa-yg29l5uALiOq6vFDVFi42a2X6rjQs8uYnUmgMXUrDMq9RugxPdh5HuPMi15/ombeni.jpg)
UHAMISHO NA UTEUZI WA MAWAZIRI NA NAIBU MAWAZIRI WAPYA
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Sefue Ombeni. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI UHAMISHO NA UTEUZI WA MAWAZIRI NA NAIBU MAWAZIRI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amewahamisha na kuwateua baadhi ya Mawaziri na Naibu Mawaziri kama ifuatavyo:- 1.0 OFISI YA RAIS
Hakuna mabadiliko. 2.0 OFISI YA MAKAMU WA RAIS
2.1 Waziri wa… ...
11 years ago
Tanzania Daima28 Mar
Linex alia na Marco Chali
MSANII mwenye sauti ya pekee, Sunday Mangu ‘Linex’ au ‘Leka Maker’, amemlalamikia mtayarishaji wa muziki, Marco Chali kupitia studio ya Kama Kawa Production, kwa kusambaza wimbo wake unaojulikana kwa jina...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vKR8mtf*1crtJ3WZ*HgjYoKV1VgDfO-SKVe4Mf2L0pJ8zMzpCPTPlkISKT*ZiuDmqdYNqLh7KwR*V3FEBqQs8KHasTQUZj1h/ndoa.jpg?width=650)
NDOA YA FLORA MBASHA CHALI
BAADA ya kudumu kwa zaidi ya miaka 10, imebainika kuwa ndoa ya mwanamuziki mahiri wa muziki wa Injili Bongo, Flora na mumewe Emmanuel Mbasha ipo chali kwa maana ya kuanguka huku ikidaiwa kuwa, kusimama imara tena inawezekana lakini ni kazi kubwa, Amani limefukunyua mazito. Flora Mbasha akiwa na mumewe Emmanuel Mbasha. Hilo limejitokeza wiki moja baada ya madai ya mwanaume huyo kudaiwa kumbaka shemeji yake na kesi ipo polisi....
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania