Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maximo: Mnataka ubingwa, badilikeni

 Kocha mkuu wa Yanga, Marcio Maximo amewataka wachezaji wake nyota kubadilika kama wanataka ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Bado mnataka tuamini huu ni ujambazi?

Wakati Rais Jakaya Kikwete akiingia madarakani mwaka 2005, ujambazi nchini ulikuwa umefikia kiwango cha kutisha, lakini leo hii tunaona umepungua.

 

10 years ago

Habarileo

Tume: Polisi badilikeni

Ofisa Mawasiliano Mwandamizi wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Germanus Kyafula akionesha vitabu vya mwongozo wa Polisi na mambo 101 unayohitaji kuyafahamu kuhusu Polisi unaogopa kuyauliza, wakati akizungumza na waandishi Dar es Salaam jana kuhusu Tanzania kuongoza nchi za Afrika katika Maboresho ya Utoaji Haki za watuhumiwa na Mahabusu na Utekelezaji wa miongozo ya Luanda kuimarisha Haki za Binadamu nchini. Wengine ni Kaimu Mkurugenzi Idara ya Elimu kwa Umma na Mafunzo, Alexander Hassan na Mkurugenzi Idara ya Huduma za Kisheria, Nabor Assey. (Picha na Yusuf Badi).BAADHI ya askari Polisi wa Tanzania, wametajwa kushiriki vitendo vya kunyanyasa raia wakati wa kukamata watuhumiwa, kuwahoji na wakati wa kuwaweka ndani.

 

9 years ago

Mwananchi

Wabunge viti maalumu badilikeni

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa mgawanyo wa idadi ya wabunge wa viti maalumu kwa vyama vya CCM ambacho kimepata viti 64, kikifuatiwa na Chadema chenye viti 36 na CUF viti 10.

 

10 years ago

Mwananchi

Vijana badilikeni ili tuwaamini

Mimi sasa ni mtu mzima, naona kabisa kuna mambo niliyoweza kuyafanya nikiwa kijana na sasa siwezi. Wale niliokuwa nao shuleni na vyuoni wananikumbuka kama mmoja wa wachezaji bora wa timu za shule na vyuo, hata kuchukua zawadi.

 

11 years ago

Habarileo

'Badilikeni kukabili mabadiliko ya hali ya hewa'

VIJANA nchini wametakiwa kubadilika na kuchukua hatua za kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa katika kizazi hiki ili kizazi kinachokuja waweze kufaidi dunia yenye mazingira bora.

 

10 years ago

Bongo Movies

Johari: Nina mtoto sawa, mnataka kumjua baba yake ili iweje?

Staa wa Bongo Movies, Blandina Chagula  ‘Johari’ amedai kushangazwa na watu wanaoshindwa kufanya mambo yao binafsi na kuanza kufuatilia maisha yake pamoja na mtoto wake.


ohari ameiambia Bongo5 kuwa anaishi kwa furaha na mwanae licha baadhi ya watu kumfuatilia na kutaka kujua mtoto wake amezaa na nani kitu ambacho hapendi kukiweka wazi kwa sasa.
“Sidhani kama kuna mtoto ambae anakosa baba,” amesema muigizaji huyo.


“Siku nitapokuwa tayari nitamweka wazi baba yake ili waridhike. Kwa sababu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani