Vijana badilikeni ili tuwaamini
Mimi sasa ni mtu mzima, naona kabisa kuna mambo niliyoweza kuyafanya nikiwa kijana na sasa siwezi. Wale niliokuwa nao shuleni na vyuoni wananikumbuka kama mmoja wa wachezaji bora wa timu za shule na vyuo, hata kuchukua zawadi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j7UlM9JEi8w/VCAmhRW7StI/AAAAAAAGk_8/CJ1N5Vowkc8/s72-c/unnamed%2B(48).jpg)
Vijana nchini watakiwa kuzingatia vigezo ili kunufaika na Mikopo ya Mfuko wa Maendeleo ya Vijana (YDF)
![](http://4.bp.blogspot.com/-j7UlM9JEi8w/VCAmhRW7StI/AAAAAAAGk_8/CJ1N5Vowkc8/s1600/unnamed%2B(48).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-JRAjNtc9ddI/VCAmgtfPoUI/AAAAAAAGk_4/djFywTB9NdU/s1600/unnamed%2B(49).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ugvao0mAfe45Bx*uOV00GyuZ5JSVAzC6jyk8Rs8KKnhFklwiB73hsroxF927tTqePAAPcuMlQAECvbVsM7ipTsbErfU9ySdx/1.jpg?width=650)
VIJANA WAASWA KUJITAMBUA ILI KUONDOKANA NA UMASKINI
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Sihaba Nkinga akifafanua jambo wakati wa Kikao kazi cha Maafisa Vijana (hawapo pichani) kilichofanyika jana mjini Tabora,kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana nchini Bw. James Kajugusi. Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana nchini Bw. James Kajugusi akitoa mada kuhusu majukumu ya Maafisa Vijana wakati… ...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OAaQdD4O9Lw/VQbz4lulu7I/AAAAAAAHKwk/z4Y8sZYnnZo/s72-c/IMG_2994.jpg)
Serikali yawataka Vijana kuzingatia vigezo ili wapate mkopo
![](http://2.bp.blogspot.com/-OAaQdD4O9Lw/VQbz4lulu7I/AAAAAAAHKwk/z4Y8sZYnnZo/s1600/IMG_2994.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dysdnKnvozw/VQbz4V3l7lI/AAAAAAAHKwg/ftSk4IESODU/s1600/IMG_3017.jpg)
10 years ago
MichuziVIJANA WALIOTIMIZA MIAKA 18 WAASWA KUPIGA KURA ILI KUCHAGUA VIONGOZI WANAO WATAKA.
Na Avila Kakingo,Globu ya jamii.VIJANA waliotimiza miaka 18 kwa mwaka huu waaswa kupiga kura ili kumchagua kiongozi wanaemtaka na watambue mchango wao katika jamii kwa kupiga kura kwaajili ya maendeleo ya taifa letu.
Nae Mwenyekiti wa asasi isiyo ya kiserikali Tanzania People with Disabilities Organization (TAPWAO), Michael Mwanzalima ameomba tume ya uchaguzi kutoa vipaumbele kwa walemavu wa viungo mbalimbali siku ya kupiga kura ili isiwe kikwazo kwao katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 25...
Nae Mwenyekiti wa asasi isiyo ya kiserikali Tanzania People with Disabilities Organization (TAPWAO), Michael Mwanzalima ameomba tume ya uchaguzi kutoa vipaumbele kwa walemavu wa viungo mbalimbali siku ya kupiga kura ili isiwe kikwazo kwao katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 25...
10 years ago
Habarileo03 Sep
Tume: Polisi badilikeni
BAADHI ya askari Polisi wa Tanzania, wametajwa kushiriki vitendo vya kunyanyasa raia wakati wa kukamata watuhumiwa, kuwahoji na wakati wa kuwaweka ndani.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-njIKwFOIRJk/UvDSCXMBpdI/AAAAAAAFK2Q/iGB9mGGgrGU/s72-c/Regional-Administration-and-Local-Government-Deputy-Minister-Education-Kassim-Majaliwa.jpg)
Mbunge wa Ruangwa aanzisha vilabu 102 vya michezo ili vijana wasijishughulishe na mambo ya uhalifu
![](http://1.bp.blogspot.com/-njIKwFOIRJk/UvDSCXMBpdI/AAAAAAAFK2Q/iGB9mGGgrGU/s1600/Regional-Administration-and-Local-Government-Deputy-Minister-Education-Kassim-Majaliwa.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Ruangwa Majaliwa Kassim Majaliwa ameanzisha vilabu 102 vya michezo kwa kuvipatia jezi na mipira ili kuhakikisha vijana wa jimbo hilo lililopo mkoani Lindi hawajishughulishi na matukio ya uhalifu .
Majaliwa ambaye pia ni Naibu waziri wa Elimu TAMISEMI aliyasema hayo hivi karibuni wakati wa kilele za sherehe za kutimiza miaka 37 ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) zilizofanyika katika kata ya Likunja wilayani humo.
Katika...
10 years ago
MichuziVIJANA WEKENI MSISITIZO MASOMO YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA ILI MUWE WAJUZI NA KULETA MAENDELEO NCHINI
10 years ago
Mwananchi26 Oct
Maximo: Mnataka ubingwa, badilikeni
 Kocha mkuu wa Yanga, Marcio Maximo amewataka wachezaji wake nyota kubadilika kama wanataka ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania