Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vijana badilikeni ili tuwaamini

Mimi sasa ni mtu mzima, naona kabisa kuna mambo niliyoweza kuyafanya nikiwa kijana na sasa siwezi. Wale niliokuwa nao shuleni na vyuoni wananikumbuka kama mmoja wa wachezaji bora wa timu za shule na vyuo, hata kuchukua zawadi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Vijana nchini watakiwa kuzingatia vigezo ili kunufaika na Mikopo ya Mfuko wa Maendeleo ya Vijana (YDF)

Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi Concilia Niyibitanga akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu Mfuko wa Maendeleo ya Vijana leo jijini Dar es Salaam.Kuliani Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Vijana Dkt. Steven Kissui na kushoto ni Afisa Habari wa Idara ya Habari MAELEZO Bw. Frank Mvungi. Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Vijana Dkt. Steven Kissui akionyesha Kitabu cha Sera ya Maendeleo ya...

 

10 years ago

GPL

VIJANA WAASWA KUJITAMBUA ILI KUONDOKANA NA UMASKINI

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Sihaba Nkinga akifafanua jambo wakati wa Kikao kazi cha Maafisa Vijana (hawapo pichani) kilichofanyika jana mjini Tabora,kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana nchini Bw. James Kajugusi. Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana nchini Bw. James Kajugusi akitoa mada kuhusu majukumu ya Maafisa Vijana wakati… ...

 

10 years ago

Michuzi

Serikali yawataka Vijana kuzingatia vigezo ili wapate mkopo

Mkurugenzi Msaidizi kutoka Idara ya Vijana Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo anayesimamia Kitengo cha Uratibu na Uwezeshaji Dr. Steveni Kissui (aliyesimama) akifungua mafunzo ya jinsi ya kujikwamua na umasikini kwa Vijana wa Manispaa ya Singida,Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Sheria Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Ester Riwa.Mkuu wa Kitengo cha Sheria Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Ester Riwa aliyesimama akivifundisha vikundi mbalimbali vya...

 

10 years ago

Michuzi

VIJANA WALIOTIMIZA MIAKA 18 WAASWA KUPIGA KURA ILI KUCHAGUA VIONGOZI WANAO WATAKA.

Na Avila Kakingo,Globu ya jamii.VIJANA waliotimiza miaka 18 kwa mwaka huu waaswa kupiga kura ili kumchagua kiongozi wanaemtaka na watambue mchango wao katika jamii kwa kupiga kura  kwaajili ya maendeleo ya taifa letu.
Nae Mwenyekiti wa  asasi isiyo ya kiserikali Tanzania People  with Disabilities Organization (TAPWAO), Michael  Mwanzalima ameomba tume ya uchaguzi  kutoa vipaumbele kwa  walemavu wa viungo mbalimbali siku ya kupiga kura ili isiwe kikwazo kwao katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 25...

 

10 years ago

Habarileo

Tume: Polisi badilikeni

Ofisa Mawasiliano Mwandamizi wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Germanus Kyafula akionesha vitabu vya mwongozo wa Polisi na mambo 101 unayohitaji kuyafahamu kuhusu Polisi unaogopa kuyauliza, wakati akizungumza na waandishi Dar es Salaam jana kuhusu Tanzania kuongoza nchi za Afrika katika Maboresho ya Utoaji Haki za watuhumiwa na Mahabusu na Utekelezaji wa miongozo ya Luanda kuimarisha Haki za Binadamu nchini. Wengine ni Kaimu Mkurugenzi Idara ya Elimu kwa Umma na Mafunzo, Alexander Hassan na Mkurugenzi Idara ya Huduma za Kisheria, Nabor Assey. (Picha na Yusuf Badi).BAADHI ya askari Polisi wa Tanzania, wametajwa kushiriki vitendo vya kunyanyasa raia wakati wa kukamata watuhumiwa, kuwahoji na wakati wa kuwaweka ndani.

 

11 years ago

Michuzi

Mbunge wa Ruangwa aanzisha vilabu 102 vya michezo ili vijana wasijishughulishe na mambo ya uhalifu

Na Anna Nkinda – Maelezo, aliyekuwa Ruangwa
 Mbunge wa Jimbo la Ruangwa Majaliwa Kassim Majaliwa ameanzisha  vilabu  102 vya  michezo kwa kuvipatia jezi na mipira ili kuhakikisha vijana wa jimbo hilo lililopo mkoani Lindi hawajishughulishi na matukio ya uhalifu .
Majaliwa ambaye pia ni Naibu waziri wa Elimu TAMISEMI  aliyasema hayo hivi karibuni  wakati wa kilele za sherehe za kutimiza miaka 37 ya  Chama Cha Mapinduzi (CCM) zilizofanyika katika kata ya  Likunja wilayani humo.
Katika...

 

10 years ago

Michuzi

VIJANA WEKENI MSISITIZO MASOMO YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA ILI MUWE WAJUZI NA KULETA MAENDELEO NCHINI

 Rais Mstaafu wa awamu ya Tatu, Mhe. Benjamini Wiliam Mkapa akiwahutubia Wajumbe waliohudhuria mkutano wa Jiolojia uliofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa J.K Nyerere Jijini Dar es Salaam.  Baadhi wa Wajumbe waliohudhuria mkutano wa Jiolojia wakifuatilia kwa makini hotuba iliyokuwa ikitolewa na mgeni rasmi katika Ukumbi wa Kimataifa wa J.K Nyerere Jijini Dar es Salaam. Wanasayansi Vijana wakifuatilia mada wakati wa mkutano wa tatu wa Wanasayansi Vijana Duniani wenye lengo la kuhakikisha...

 

10 years ago

Mwananchi

Maximo: Mnataka ubingwa, badilikeni

 Kocha mkuu wa Yanga, Marcio Maximo amewataka wachezaji wake nyota kubadilika kama wanataka ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani