Mayanja: Simba bila Tambwe haitishi
Kocha mkuu wa Kagera Sugar, Jackson Mayanja amesema anaihofia zaidi Yanga na si Simba atakayocheza nayo Jumapili ijayo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen25 Dec
We’ll outsmart Simba SC, says coach Mayanja
Kagera Sugar head coach Jackson Mayanga has said they are optimistic to win tomorrow’s encounter against Simba Sports Club as the Tanzania Mainland Premier League resumes.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DLo0tVWR9Kd7fDSblO3D0CTAbrZsSQGVAbYlm*qNOY6ovZF7NiCbDUU2FUm4YGvKjeswh3f-5Ftzn8Pqq-Xftdky5CvmsSHs/tambwe.jpg?width=650)
TAMBWE BYEBYE SIMBA SC
Mshambuliaji Hamis Tambwe akishangilia. Na Martha Mboma
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Simba, Mrundi Amissi Tambwe, anawaniwa na timu kutoka nchi za Oman, Msumbiji kwa ajili ya kwenda kuzitumikia katika ligi za nchi hizo ingawa haijatajwa, timu gani inahitaji saini ya straika huyo.…
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-4oCOCI625Y0/Vga5yEO7rII/AAAAAAAD9kA/3Dd163fP7rk/s72-c/Simba-vs-Yanga-pic.png)
YANGA NI ZAIDI YA MCHARO WAWALIZA SIMBA KWEUPEEE GOLI 2 BILA MAJIBU UTEJA KWA SIMBA KWISHINEIIIIIII!!
![](http://4.bp.blogspot.com/-4oCOCI625Y0/Vga5yEO7rII/AAAAAAAD9kA/3Dd163fP7rk/s640/Simba-vs-Yanga-pic.png)
10 years ago
Mwananchi27 Apr
Tambwe avuna mamilioni Simba
Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limeitaka Simba kumlipa mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe
11 years ago
TheCitizen24 Apr
Tambwe signals Simba SC exit
Simba SC must start preparing for life without Amis Tambwe after the Burundian goal-getter dropped a bombshell by signalling his exit.
9 years ago
Mwananchi15 Aug
Simba yamleta nduguye Tambwe
Simba imemleta nchini kwa majaribio mshambuliaji kutoka Burundi baada ya kocha mkuu, Dylan Kerr kupendekeza atafutiwe mchezaji mwingine mwenye nguvu, akili ya mchezo.
10 years ago
Vijimambo02 Jan
TAMBWE AISHITAKI SIMBA FIFA
![](http://api.ning.com/files/vanfKzplWu-VfQyRj7LmOh7yzwbpe2R6o59Q8e2d46wPkI*P3sQ4fI*XhpuqtxJcMisi66MjrvwicrgFwbdwcPzTRUvyaXnf/t.jpg)
![](http://api.ning.com/files/vanfKzplWu*6EjVaRYxE6baFBH1-AAUTDgRgz4dBAuDBQ7qulcdWqml1lP9ABDcZ6uJCBM3uDlvzk744ljCwy0FrDlhUt1jY/AmissTambwe2.jpg)
Na Wilbert MolandiMSHAMBULIAJI wa Yanga Mrundi, Amissi Tambwe ameiambia klabu yake ya zamani, Simba kuwa hadi kufikia leo Ijumaa akiwa hajalipwa fedha zake anazodai, basi atakwenda kushtaki kwenye Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa).
Tambwe anaidai Simba dola 7,000 (zaidi ya Sh milioni 11) kutokana na klabu hiyo kusitisha mkataba wake hivi karibuni kiasi ambacho kinafanana na kile anachodai aliyekuwa kiungo wa timu hiyo Pierre Kwizera, ambaye...
11 years ago
GPLTambwe avuruga mazoezi Simba SC
Mshambuliaji wa Simba kinara wa mabao Ligi Kuu Bara, Amissi Tambwe(kushoto).
Na Sweetbert Lukonge
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Simba, Amissi Tambwe, jana alikuwa kituko katika mazoezi ya timu hiyo yaliyofanyika katika Gym ya Silas iliyopo Chang’ombe jijini Dar es Salaam. Katika mazoezi hayo, Tambwe alikuwa kituko kutokana na muda mwingi kufanya makosa kwa kwenda kinyume na maelekezo ya kiongozi wao, Silas Bungaca...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania