Mayunga awasili Universal Studios, Marekani
Mshindi wa shindano la Airtel Trace Music Star, Mayunga ameonesha furaha yake baada ya kufika kwa mara kwanza kwenye ofisi za Universal Studios, Hollywood nchini Marekani.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Mayunga alipost picha na kuandika:
Kwa mara ya kwanza ndani ya UNIVERSAL STUDIOS… HOLLYWOOD OOW asante sana mungu sante sana @Airtel Trace music star pia asante sans watu wangu wa zuri.Unajuwa nini usiache mtu yeyote akusimamishie ndoto zako kwa sababu nilikuwa na ndoto kwamba sikumoja...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPLMAYUNGA NALIMI AELEKEA MAREKANI KUREKODI VIDEO NA AKON
9 years ago
Bongo514 Nov
Mayunga kuondoka Jumatatu kwenda Marekani kurekodi wimbo na Akon
Mwimbaji wa Tanzania, Mayunga Nalimi ambaye ni mshindi wa Airtel Trace Music Stars 2015 anatarajia kuondoka nchini Jumatatu (Nov. 16), kuelekea New York, Marekani kwajili ya kurekodi wimbo na mwimbaji mwenye asili ya Senegal, Akon.
Kupitia kipindi cha XXL cha Clouds Fm, Mayunga ametaja mambo matatu anayokwenda kufanya Marekani.
“…naenda kupata hiyo mentorship, kufanya wimbo, na vilevile kushoot video ya wimbo ambao nitaufanya” alisema Mayunga.
Ameongeza kuwa wimbo anaoenda kurekodi...
9 years ago
MichuziMshindi wa Airtel Trace Nalimi Mayunga kukutana na Akon Marekani
Mayunga aliibuka kuwa mshindi wa Airtel Trace Afrika katika mashindano yaliyoshirikisha nchi 13 barani Afrika yaliyofanyika nchini Kenya mwanzoni mwa mwaka huu na kujishindia zawadi nono ikiwemo deal ya kurekodi wimbo na video pamoja na kupata...
10 years ago
Vijimambo9 years ago
GPLMSHINDI WA AIRTEL TRACE NALIMI MAYUNGA KUKUTANA NA AKON MAREKANI
9 years ago
Michuzimshindi wa shindano la Airtel Trace Music Stars Malimi Mayunga aenda marekani, kuimba na akon
10 years ago
BBCSwahili02 Mar
9 years ago
BBCSwahili23 Sep
Papa awasili Marekani apokewa na Obama
11 years ago
BBCSwahili01 Aug
Mwanamke 'aliyeasi dini' awasili Marekani