Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAZIKO YA NELSON MANDELA KIJIJINI QUNU

Jeneza lenye mwili wa Mandela likiwa makaburini. Jeneza lenye mwili wa Hayati Nelson Mandela likipelekwa makaburini tayari kwa maziko.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Gharama za maisha kijijini Qunu zapanda

Gharama za maisha zimepanda katika Kijiji cha Qunu atakakozikwa Rais wa kwanza mzalendo wa Afrika, Neslon Mandela na sasa chumba cha kulala kwa siku kinatozwa hadi Randi 8,000 kwa siku sawa na Sh1.4 milioni.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mazishi ya Mandela Qunu

Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, amezikwa nyumbani kwao katika kijiji cha Qunu, katika mkoa wa Cape Mashariki.

 

11 years ago

BBC

How to pronounce Qunu and Mandela’s middle name

Why you're probably pronouncing Nelson Mandela's name wrong

 

11 years ago

BBCSwahili

Kijiji cha Qunu chamuaga Mandela

Mandela atazikwa kuambatana na tamaduni za Xhosa.Ng’ombe dume atachinjwa, na jeneza la hayati Mandela kufungwa kwa ngozi ya Chui .

 

11 years ago

Habarileo

Wenyeji Qunu walia kutomzika Mandela

WAKAZI wa kijiji cha Qunu ambako kiongozi wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela anatarajia kuzikwa kesho, wameelezea masikitiko yao dhidi ya taarifa kuwa hawatahudhuria maziko hayo. “Inauma sana kukosa kuhudhuria maziko hayo,” alisema Simesihle Soyaye juzi.

 

11 years ago

GPL

KIJIJI CHA QUNU CHAMPOKEA MANDELA

Mwili wa hayati Nelson Mandela umepelekwa katika mkoa wa Eastern Cape kwa safari ya mwisho kabla ya kuzikwa siku ya Jumapili kijijini Qunu. Idadi kubwa ya watu walifurika barabara angalau kumtupia jicho shujaa wao na kutoa heshima zao za mwisho.
Mandela aliyefariki tarehe tano Disemba atafanyiwa maziko ya kitaifa siku ya Jumapili, Takriban watu 100,000 walitoa heshima zao za mwisho kwa Mandela mjini Pretoria siku ya Ijumaa...

 

11 years ago

Mwananchi

Tata Mandela arejeshwa kwao Qunu leo

Mwili wa Rais wa Kwanza Mzalendo wa Afrika Kusini, Mzee Nelson Mandela unasafirishwa leo kurejeshwa kwake Kijiji cha Qunu, zikiwa ni saa 24 kabla ya kuanza kwa ibada ya mwisho ya mazishi ya kiongozi huyo yatakayofanyika kesho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani