Mazingira bora kwa walimu tuone vitendo
SERIKALI imetenga sh bilioni 27 kwa ajili ya kujenga nyumba za walimu, lengo likiwa ni kuboresha mazingira wanayoishi walimu, nia za fedha hizo ni kuhakikisha walimu wanapata mazingira bora. Hayo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Walimu watakiwa kuweka mazingira bora somo la hesabu
Walimu wa somo la hesabu nchini wameshauriwa kutumia njia mbadala za michezo ya kitamaduni kufundisha somo hilo ili kuwavutia wanafunzi wengi kujifunza zaidi.
10 years ago
Mwananchi24 Feb
Mafunzo kwa walimu nguzo ya elimu bora
“Sasa ninaifurahia kazi yangu. Ninajisikia vizuri kuwa mwalimu. Natamani BRN ingeanza tangu kitambo. Hata hivyo, naona mabadiliko makubwa yanakuja tukiendelea na kasi hii…â€
10 years ago
MichuziUSAFI WA MAZINGIRA UENDANE NA UTOAJI WA ELIMU BORA KWA WANAFUNZI-DC.MUSHI.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yXcdPbrqFtE/XloITkVgsDI/AAAAAAALgCU/ut_ZprgJefkhOp3SFL-MMu41ES2dWIkygCLcBGAsYHQ/s72-c/2-58.jpg)
DC NJOMBE AAGIZA KUKAMATWA WALIMU WAFANYAO VITENDO VYA KIKATILI
![](https://1.bp.blogspot.com/-yXcdPbrqFtE/XloITkVgsDI/AAAAAAALgCU/ut_ZprgJefkhOp3SFL-MMu41ES2dWIkygCLcBGAsYHQ/s640/2-58.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/3-58.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/1-70.jpg)
Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Njombe ambaye ni Mkuu wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pf8UtCOk5_8/Xlkt4qAf2iI/AAAAAAALf8M/S6K3jtRY8nMiIld-sQgRshwAMbmyOH2iACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
DC NJOMBE AAGIZA KUKAMATWA WALIMU WAFANYAYO VITENDO VYA KIKATILI
Mkuu wa Wilaya ya Njombe Ruth Msafiri ameagiza kukamatwa kwa walimu mkoani Njombe watakaobainika kuwafanyia vitendo vya kikatiki wanafunzi ili kukomesha vitendo hivyo vinavyoendelea kutoka nchini.
Hayo yamebainika leo Makambako mkoani Njombe wakati msafara wa kijinsia kutokomeza ukatili ulipofika mkoani humo kwa ajili ya kutoa elimu ya kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto.
Mhe. Ruth amesema kuwa Serikali haipingi adhabu ya viboko ila sio kutoa adhabu ya viboko vya kupitiliza na...
Hayo yamebainika leo Makambako mkoani Njombe wakati msafara wa kijinsia kutokomeza ukatili ulipofika mkoani humo kwa ajili ya kutoa elimu ya kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto.
Mhe. Ruth amesema kuwa Serikali haipingi adhabu ya viboko ila sio kutoa adhabu ya viboko vya kupitiliza na...
10 years ago
Mwananchi16 Feb
Tuone aibu kwa matukio kama haya
Matukio ya waamuzi wa soka kupigwa wakati wakichezesha mechi Ligi Daraja la Kwanza yanaonekana kukosa tamati. Hivi sasa ni jambao la kawaida mwamuzi kupigwa wakati akiwa kazini
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Kwa nini tuone aibu kuzaa watoto wenye ulemavu?
Makala yangu ya mwisho nilieleza kuhusu hali ya watoto wenye ulemavu na majukumu wanayokabiliana nayo wazazi na walezi wa watoto hao.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wM7OFxLc22Y/XqgL4-zzbbI/AAAAAAALodo/6XGxxxocihg8etLPcg17VV-hzpBc-NOFACLcBGAsYHQ/s72-c/6-660x400.jpg)
MHADHIRI CHUO KIKUU ASEMA NI VIGUMU SANA KWA MAZINGIRA YA SASA KUZUNGUMZIA MTU ANAYEWEZA AKASIMAMA AKAWA BORA KULIKO RAIS MAGUFULI...
MHADHARI wa Chuo Kikuu Saint John jijini Dodoma Dk.Alfred Sebahene amesema kwamba ni vigumu sana katika mazingira tuliyonayo kwa sasa kuzungumzia mtu anaweza kusimama akawa bora kuliko Rais Dk.John Magufuli.
Akizungumzia kuhusu utendaji kazi wa Rais Dk.Magufuli ,Dk.Sebahene amefafanua kuwa ni vigumu kwa sababu wananchi wameona matokeo chanya ya jitihada za Serikali hii ya Awamu ya Tano na kusisitiza kuna jitihada kubwa sana na mambo yanayoonekana ndio ambayo Mtanzania anataka kuyazingatia...
Akizungumzia kuhusu utendaji kazi wa Rais Dk.Magufuli ,Dk.Sebahene amefafanua kuwa ni vigumu kwa sababu wananchi wameona matokeo chanya ya jitihada za Serikali hii ya Awamu ya Tano na kusisitiza kuna jitihada kubwa sana na mambo yanayoonekana ndio ambayo Mtanzania anataka kuyazingatia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3ScLgsDncAA/XrEeRI85lHI/AAAAAAALpL8/P39JDIUVhmE3l7c8edJwOinq7mDFmd57ACLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-NA-1AA-1-1024x682.jpg)
JUNI 15, 2020 MWISHO USAJILI MIRADI YA UCHENJUAJI DHAHABU KWA AJILI YA TATHMINI YA ATHARI KWA MAZINGIRA NA UKAGUZI WA MAZINGIRA
![](https://1.bp.blogspot.com/-3ScLgsDncAA/XrEeRI85lHI/AAAAAAALpL8/P39JDIUVhmE3l7c8edJwOinq7mDFmd57ACLcBGAsYHQ/s640/PICHA-NA-1AA-1-1024x682.jpg)
JUNI 15, 2020 MWISHO USAJILI WA MIRADI YA UCHENJUAJI DHAHABU (LEACHING AND ELUTION PLANTS) KWA AJILI YA TATHMINI YA ATHARI KWA MAZINGIRA (ENVIRONMENTAL IMPACT ASSESSMENT) NA UKAGUZI WA MAZINGIRA (ENVIRONMENTAL AUDIT)
Dar es Salaam, May 5, 2020.
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) linawatangazia wawekezaji wote wanaojihusisha na shughuli za uchenjuaji wa madini ya dhahabu (“vat leaching na elusion plants”) kuwa, kwa mujibu wa Sheria ya Usimamizi wa Mazingira ya Mwaka...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania