Walimu watakiwa kuweka mazingira bora somo la hesabu
Walimu wa somo la hesabu nchini wameshauriwa kutumia njia mbadala za michezo ya kitamaduni kufundisha somo hilo ili kuwavutia wanafunzi wengi kujifunza zaidi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima11 Nov
Mazingira bora kwa walimu tuone vitendo
SERIKALI imetenga sh bilioni 27 kwa ajili ya kujenga nyumba za walimu, lengo likiwa ni kuboresha mazingira wanayoishi walimu, nia za fedha hizo ni kuhakikisha walimu wanapata mazingira bora. Hayo...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-F-fdTyZc12Y/VmPzRymcCDI/AAAAAAAAdGc/2c2F2Y1z2Pc/s72-c/b1.jpg)
PPF YAIBUKA KIDEDE KATIKA UTUNZAJI BORA WA HESABU ZAKE, YATWAA TUZO YA WA HESABU UPANDE WA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII
![](http://3.bp.blogspot.com/-F-fdTyZc12Y/VmPzRymcCDI/AAAAAAAAdGc/2c2F2Y1z2Pc/s640/b1.jpg)
Na K-Vis Media/Khalfan Said.MFUKO wa Pensheni wa PPF, umeibuka kidedea kwa kutwaa tuzo ya uwasilishaji bora wa hesabu zake katika kipindi cha mwaka 2014.
Katika hafla ya kutoa tuzo kwa taasisi za serikali na za watu binafsi, Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu, NBAA, imetoa tuzo hizo kwa makampuni na taasisi mbalimbali nchini, ambapo kwa upande wa kundi la Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, PPF ndiyo iliibuka ya kwanza ambapo Mkurugenzi wa Fedha wa Mfuko huo, Bw. Martin Mmari kwa niaba ya...
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Jitihada za Serikali ‘kuwapika’ walimu wa sayansi na hesabu
10 years ago
Habarileo03 Jul
ZEC kuweka mazingira mazuri kwa walemavu
TUME ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imesema itahakikisha inaweka mazingira mazuri kwa watu wenye ulemavu kushiriki katika Uchaguzi Mkuu na kuondoa vikwazo vyote vinavyokwamisha kutimiza haki ya msingi ya kidemokrasia.
11 years ago
MichuziCRDB YATOA SOMO KWA WANAWAKE WAJASIRIAMALI ZAIDI YA 1000 KUHUSU KUWEKA AKIBA
Akizungumzia Tamasha hilo, Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Angels Moment ambao ndio waandaaji wa tamasha hilo, Naima Malima alisema kuwa lengo la semina hiyo ni kuchochea utamaduni wa kuweka akiba kwa wanawake wajasiriamali na kuwaelimisha aina tofauti ya kuweka...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2Ev_tfO7kSA/XlOt2MNsGSI/AAAAAAALfAI/R3XlTd4Xun4wP4Vj92MOOVou3vkTdHuowCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200223-WA0007.jpg)
WALIMU MBWARA WAJICHANGA FEDHA KUWEKA UMEME MADARASANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-2Ev_tfO7kSA/XlOt2MNsGSI/AAAAAAALfAI/R3XlTd4Xun4wP4Vj92MOOVou3vkTdHuowCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200223-WA0007.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/IMG-20200223-WA0009.jpg)
NA MWAMVUA MWINYI,RUFIJI
WALIMU wa shule ya Sekondari ya Kata ya Mbwara ,Jimbo la Rufiji Mkoani Pwani, wameweka umeme katika vyumba vya madarasa shuleni hapo pamoja na nyumba wanazoishi kwa gharama ya sh.milioni tatu ili kuondoa changamoto ya ukosefu wa umeme iliyokuwepo .
Juhudi hiyo ,itasaidia kuinua taaluma kwa wanafunzi wa shule hiyo ,kwani wanaweza kujisomea nyakati za usiku .
Mwalimu Mkuu shuleni ya sekondari Mbwara, Millo Msovela, akieleza juu ya suala hilo wakati mbunge wa viti...
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
Wanaharakati, walimu watoa somo Bunge la Katiba
WANAHARAKATI mbalimbali nchini wamewataka wajumbe wa Bunge la Katiba kuwa makini na kutunga kanuni ambazo hazitawanyima uhuru wa kupaza sauti makundi yaliyoko pembezoni. Wito huo ulitolewa jijini Dar es Salaam...
9 years ago
Habarileo15 Oct
Wanasiasa nchini watakiwa kuweka mbele maslahi ya taifa
BARAZA la vyama vya siasa nchini limesema kazi ya kulinda kura ipo chini ya mamlaka ya vyombo vya ulinzi kwa mujibu wa katiba na sheria na si wananchi.
10 years ago
Michuzi11 Nov
SEMA KUTUMIA MILIONI 396/- KUWEKA SAWA MAZINGIRA MASHULENI IRAMBA
![DSC02082](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC02082.jpg)
Na Nathaniel Limu, IrambaSHIRIKA lisilo la kiserikali la Sustainable Environment Management Action (SEMA),linatarajia kutumia zaidi ya shilingi 396 milioni kugharamia utekelezaji wa mradi wa usafi mashuleni na...