MAZOEZI YA YANGA TANGANYIKA PAKERS
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/17StHKe5zK6j2iG7mh2yDkZsIAJQbjXQH0TfZxiE3v6LitfsjqbKpyeBqtk3cydgG3dpZBSNTF4JTLspeltz2J2eL6L4LP0t/YANGA.jpg)
EMERSON AANZA MAZOEZI YANGA
Kiungo Mbrazil Emerson de Oliveira (wa pili kutoka kulia) akiwa mazoezini leo asubuhi katika Uwanja wa Shule ya Sekondari Loyola, Dar. Wengine ni Hamis Kiiza, Hussein Javu na Coutinho. (Picha na Yanga SC) BAADA ya kuwasili jana kutoka nchini Brazil, kiungo mkabaji Emerson de Oliveira Neves Roque leo ameanza mazoezi mepesi asubuhi katika Uwanja wa Shule ya Sekondari Loyola jijini Dar es Salaam kufuatia kusaifri kwa zaidi ya masaa...
10 years ago
BBCSwahili22 Jun
Wachezaji wa kimataifa wa Yanga waanza mazoezi
Wachezaji wa Yanga wa kimataifa wamewasili, kujiandaa na michuano ya kitaifa na kimataifa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vD-hYj2mu0SutGFQdzzOPkyHClvCpHUGzGNAK3IioHHfPuheRKcnh5wU14PYnH-m5CglzR6pgKYvBD2Gt6fFGpe81dcAGy3q/jaja.jpg)
Jaja aongezewa dozi ya mazoezi Yanga
Straika Mbrazil wa Yanga, Genilson Santos ‘Jaja’. Na Goodluck Ngai
KATIKA jitihada za kumfanya awe tishio zaidi msimu ujao, benchi la ufundi la Yanga limeamua kumuongezea programu ya mazoezi straika Mbrazil, Genilson Santos ‘Jaja’. Kuonyesha kwamba Yanga haitaki mchezo, Jaja amekuwa akiendelea kufanyishwa mazoezi hata pale wenzake wanapopumzika.Yanga, juzi Jumamosi asubuhi kwenye Uwanja wa Shule ya...
10 years ago
BBCSwahili01 Apr
11 years ago
GPLMAXIMO, LEONARDO WAONGOZA MAZOEZI YANGA
Kocha wa Yanga, Mbrazil, Marcio Maximo akisimamia leo Coco Beach. Wachezaji wa Yanga wakipasha.…
11 years ago
GPL11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfBK-w-8RNaYId9xY-bJ6nPiwF3cbW2YkuFYpwlXrBf0sdvmPnjny6r7R*QcArCxAOIApNq7BjLCl6MI7LWMLL*5/straika.jpg)
Straika wa England atua Yanga, aanza mazoezi
Na Sweetbert Lukonge
YANGA kweli ngoma inogile! Ndivyo unaweza kusema, baada ya mshambuliaji mwingine kutua klabuni hapo akitokea England na kisha kuanza mazoezi chini ya Kocha Marcio Maximo. Mshambuliaji mpya wa Yanga aliyekuwa akikipiga katika timu ya Coventry City ya England Suleiman Abdallah Mbarouk. Mshambuliaji huyo raia wa Tanzania ambaye amekuwa akicheza soka England kwa miaka mingi, Suleiman Abdallah Mbarouk,...
10 years ago
GPL24 Nov
11 years ago
GPLMBRAZIL MWINGINE WA YANGA AANZA MAZOEZI YA NGUVU
Wabrazil, Andrey Coutinho na Jaja (nyuma yake) wakijifua na wachezaji wenzao wa Yanga.
Jaja akiwa mbele ya wachezaji wenzake.
Ilifikia wakati wa kuzunguka uwanja.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania