Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbabe wa vita mbioni nchini Somalia

Ahmed Dai alifanikiwa kutoroka,lakini wapiganaji kadhaa wa kundi lake walikamatwa na silaha zao kuchukuliwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Watu 3 wauawa katika vita Somalia

Mapigano kati ya vikosi vya serikali na wanamgambo katikati ya Somali yamesababisha vifo vya watu watatu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Vita vya kikabila vyatokota Somalia

Takriban watu 7 wameuawa nchini Somalia katika vita vya kikabila mkoa wa Galgaduud, katikati mwa Somalia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hoteli yashambuliwa nchini Somalia

Hoteli moja karibu na makazi ya Rais katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu imeshambuliwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wasiwasi kuhusu hali nchini Somalia

Maafisa wa Marekani na EU wanafanya mkutano wa dharura na Rais wa Somalia, Hassan Mohamoud, kujadili hali ya usalama inayoendelea kuzorota nchini humi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waasi nchini Mali wasitisha vita

Waasi nchini Mali wamekubali kusitisha vita siku mbili baada ya kuvishinda vikosi vya serikali katika mji wa kazkazini wa kidal.

 

11 years ago

Mwananchi

Mantra kushiriki vita ya ujangili nchini

 Kampuni ya Mantra Tanzania na Idara ya Wanyamapori ya Wizara ya Maliasili na Utalii (Wildlife Division) zimesaini mkataba wa makubaliano ambao umelenga pande mbili kushirikiana katika kupiga vita ujangili wa tembo katika eneo la Kusini mwa Hifadhi ya Wanyamapori ya Selous.

 

11 years ago

BBCSwahili

Vita vikali vyaendelea nchini Iraq

Mapigano yanaendelea katika mji uliopo kazkazini magharibi wa Tal Afar nchini Iraq

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yalaani vita nchini Libya

Marekani iliongoza mataifa ya Magharibi kulaani kuchacha kwa vita nchini Libya baada ya ndege zisizojulikana kulipua Tripoli

 

5 years ago

BBCSwahili

Takribani watu saba wauawa kwa mashabulizi ya mabomu nchini Somalia

Wanamgambo wa Al- shabab wamekuwa wakifanya mashambulizi dhidi ya wanajeshi nchini Somalia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani