Mbaroni wakituhumiwa kumuua sista
JESHI la Polisi katika Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linawashikilia watu nane wanaotuhumiwa kuwa ni majambazi sugu. Wawili kati yao wanahusishwa na tukio la kuuawa kwa Sista Cresencia Kapuri (50) wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam katika Parokia ya Makoka.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo09 Jul
Wanaotuhumiwa kumuua sista wadaiwa kupora benki
WATUHUMIWA wanaodaiwa kumuua Sista Cresencia Kapuli na kumpora Sh milioni 20, jana wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam na kusomewa mashitaka ya wizi wa zaidi ya Sh milioni 479 katika benki ya Barclays.
9 years ago
Habarileo17 Dec
Mbaroni wakituhumiwa kwa mauaji, kuchoma makanisa
POLISI mkoani Kagera imewakamata watu watatu wanaotuhumiwa kujihusisha na matukio mbalimbali ya mauaji na uchomaji moto makanisa. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Augustine Ollomi aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa matukio hayo yalikuwa yakifanyika mfululizo tangu mwaka 2013 hadi Novemba Mosi mwaka huu.
11 years ago
CloudsFM02 Jul
MAJAMBAZI YANAYODAIWA KUMUUA SISTA KWA RISASI, UBUNGO YAKAMATWA
Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam inawashikilia watuhumiwa wawili wa ujambazi wanaohusishwa na mauaji ya mtawa wa kaniasa Katoliki Sista Clezensia Kapuli,
Zaidi ya watuhumiwa hao pia watu wengine sita wanashikiliwa wakihusishwa na matukio mbali mbali ya ujambazi nchini.
Hayo yamesemwa leo na Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar esSalaam Kamishna Suleiman Kova akizungumza na waandishi wa habari,aliwataja majambazi wanaohusishwa na mauaji ya Sista Kapuli kuwa ni Manase Ogenyeke “mjeshi” (35)...
11 years ago
Dewji Blog01 Jul
Waliomuua sista na kuchukua hela watiwa mbaroni!
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova.
Na MOblog Team
Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam inawashikilia watuhumiwa wawili wa ujambazi wanaohusishwa na mauaji ya mtawa wa kaniasa Katoliki Sista Clezensia Kapuli,
Zaidi ya watuhumiwa hao pia watu wengine sita wanashikiliwa wakihusishwa na matukio mbali mbali ya ujambazi nchini.
Hayo yamesemwa leo na Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar esSalaam Kamishna Suleiman Kova akizungumza na waandishi wa...
11 years ago
Uhuru Newspaper01 Jul
Wawili mbaroni kwa mauaji ya sista Dar
EVA MBESELE NA RACHEL KYALA
JESHI la Polisi limewakamata watu wawili wanaotuhumiwa kuhusika na kifo cha Mtawa wa Kanisa Katoliki, Clesencia Kapuri (50) aliyeuawa Juni 23, mwaka huu, huko Ubungo Kibangu, Dar es Salaam.
Majambazi hao licha ya kuhusishwa na tukio hilo na kupora sh. milioni 20, pia walikuwa wakitafutwa kwa muda mrefu kwa tuhuma za tukio la uporaji wa fedha katika benki ya Barclays tawi la Kinondoni.
Hata hivyo, kinara wa ujambazi katika tukio la uporaji kwenye benki hiyo,...
11 years ago
Tanzania Daima28 Jan
Mbaroni wakidaiwa kumuua kikongwe
JESHI la Polisi mkoani Mbeya linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za kumuua Edna Kajinga (70) mkazi wa Kijiji cha Katobe, wilayani Rungwe. Kamanda wa Polisi mkoani Mbeya, Ahmed Msangi, alisema...
11 years ago
Tanzania Daima26 Apr
Mbaroni kwa kumuua mumewe
MKAZI wa Kata ya Kisemvule, Tarafa ya Vikindu, wilayani Mkuranga, Husna Kisoma (16), anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani kwa tuhuma za kusababisha mauaji ya mumewe. Kamanda wa...
10 years ago
Vijimambo17 Feb
Mbaroni akidaiwa kumuua baba yake
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Misime-17Feb2015.jpg)
Mkazi wa Kitongoji cha Nyamorege kilichopo Mtaa wa Forodhani mji mdogo wa Sirari Wilaya ya Tarime mkoani Mara, Marwa Kihiri Mwita, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumuua baba yake mzazi Kihiri Mwita kinyama kwa kumpiga na koleo kichwani na ubavuni.
Vilevile inadaiwa kuwa mtuhumiwa huyo alijeruhiwa kwa kucharangwa kwa panga na baba yake huyo kabla ya kumjeruhi kwa kumpiga na koleo kichwani na ubavuni baada ya kuzuka ugomvi baina...
9 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-whbe4XgQ2yk/VgWHspUFSGI/AAAAAAAADmY/CNlRrsb-4zo/s72-c/unnamed.png)
NEW MUSIC: NAKAAYA - SISTA SISTA ft. LADY JAY DEE (Download)
![](http://4.bp.blogspot.com/-whbe4XgQ2yk/VgWHspUFSGI/AAAAAAAADmY/CNlRrsb-4zo/s640/unnamed.png)
" I wrote this record in 2009 alongside an artist that i had looked up to, whom later on became a dear friend @jidejaydee It was produced by @dunga_santury_trinity at Fishcrab studios. The idea behind the song was an artistic idea of two close friends/ sistas dating the same man, and the expression of the frustration that comes with it. we had a great time creating #sistasista" - NAKAAYA
Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the...