Mbasha akana kumbaka shemejiye
NA SYLVIA SEBASTIAN
MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala, jana ilisikiliza maelezo ya awali dhidi ya Emmanuel Mbasha, anayekabiliwa na shitaka la kumbaka shemeji yake.
Mbasha, alikana maelezo yote yaliyotolewa mahakamani hapo yaliyokuwa yakielezea jinsi alivyotenda kosa.
Akisaidiwa na Wakili wake, Mathew Kakamba, Mbasha alidai mahakamani kuwa hakuhusika kwenye matukio yote mawili ya ubakaji.
Mtuhumiwa huyo alikana kutenda kosa hilo, wakati upande wa jamhuri ulipokuwa unatoa maelezo ya awali jana, mbele...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi28 May
Mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye
11 years ago
Mwananchi28 May
Mume wa mwimbaji nguli wa Injili adaiwa kumbaka shemejiye
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-RwgvJ_oE1-4/VPldz3-K1sI/AAAAAAAApiA/tdqT9Gug2dQ/s72-c/kumbaka.jpg)
Emmanuel Mbasha Amwaga Machozi Mahakani..Sakata la Kumbaka Shemeji Yake
![](http://4.bp.blogspot.com/-RwgvJ_oE1-4/VPldz3-K1sI/AAAAAAAApiA/tdqT9Gug2dQ/s640/kumbaka.jpg)
11 years ago
CloudsFM![](http://api.ning.com/files/ToQMaI9f*6IZBKM6udfXmS98RL7SPJYlgi7tR*1qgsLFywTPkGncasY0SZoD24pC5Ppv1XNQhVPVSiEgWyTGFJtXIcs-3mwI/florahmbashanamumewe.jpg)
YAWEKWA WAZI, KUMBE ANAYETUHUMIWA KUMBAKA SHEMEJI YAKE NI MUME WA FLORA MBASHA
JESHI la Polisi Mkoa wa Ilala jijini Dar es Salaam linamsaka kwa udi na uvumba Emmanuel Mbasha (pichani) ambaye ni mume wa mwimbaji maarufu wa nyimbo za Injili nchini, Flora Mbasha kwa madai ya kumbaka shemeji yake mwenye miaka 17 ambaye ni yatima.
Taarifa za tukio hilo ziliripotiwa Jumatatu saa 12 jioni katika Kituo cha Polisi Tabata (Tabata Shule) na kufunguliwa kesi yenye Kumbukumbu Na. TBT/RB/319/2014 na ya Jalada la Uchunguzi Na.TBT/IR/1865/2014, zikimtuhumu mwanamume huyo kwamba...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HfIXzVrPfI3uOtXrrNbf5IpZqXZIu-V6PZSjijdbBhggcJP-2EP1bbbVdpd*TVyG2uu1q*vqTaLpW-D-KROImfZgpJoZBJQ8/flora_mbasha5.jpg)
FLORA MBASHA AKIRI: MWANANGU SI WA MBASHA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mrjGDDFzeeFajNbnD9rjV*ZSLWaja51EsV89H9gvfv1rUEVOI3T8EEvqWwiM3Suqk5-pQXbbIYvZL0bW71PRazXzZrps7rz5/babalevo.jpg)
BABA LEVO ADAIWA KUMDUNDA SHEMEJIYE
9 years ago
Habarileo25 Aug
Jela miaka 60 kwa kubaka shemejiye
MKAZI wa Tabata Msimbazi, Dar es Salaam, Goodluck Aloyce (31) wiki hii ameanza kifungo cha miaka 60 jela baada ya kupatikana na hatia ya kubaka na kumlawiti shemeji yake mwenye umri wa miaka 11 mara kwa mara.
11 years ago
Bongo529 Jul
Picha: Wema Sepetu aivaa jezi ya Michael Jordan (23), asherehekea Eid na shemejiye, Dimpoz