Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbeya City yajinoa kwa Mapinduzi Cup

TIMU ya soka ya Mbeya City, imeanza rasmi maandalizi ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara na michuano ya Kombe la Mapinduzi inayotarajiwa kuanza visiwani Zanzibar Januari Mosi hadi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mbeya City njiapanda mapinduzi

Timu ya Mbeya City ipo njiapanda kushiriki ama kutokushiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi Zanzibar  licha ya kupewa mwaliko, ilifahamika.

 

11 years ago

TheCitizen

Classy Mbeya City make flying start in regional Cup

>Mbeya City launched their East and Central Africa Inter-Cities Basketball Championship with a bang as they thrashed Mombasa 105-75 in a curtain-raiser at the National Indoor Stadium yesterday.

 

10 years ago

Michuzi

ligi kuu ya vodacom yazidi kurindima, kagera city hoi kwa mbeya city, yanga yabanwa na ruvu shooting, azam na simba kidedea

Picha na habari na Faustine RuttaLigi Kuu ya Vodacom imeendelea Jumamosi  kwa Mechi kadhaa na Mabingwa Watetezi Azam FC kushinda huko Shinyanga na kutwaa uongozi wa Ligi toka kwa Mtibwa Sugar ambao wanacheza leo, huku Yanga wakiteleza kutwaa uongozi huo baada ya kubanwa na Ruvu Shooting kwa Sare ya 0-0 Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Yanga walistahili ushindi lakini walishindwa kufunga wakati walipata nafasi za wazi kibao.
Huko Kambarage, Shinyanga, Azam FC wameifunga Stand United Bao 1-0 kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ruvu shooting yajinoa kwa Ligi Kuu 2014/15

TIMU ya Ruvu Shooting ya Pwani, inatarajia kuingia kambini leo kuhakikisha inafanya vizuri katika msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2014/2015. Shooting iliyomaliza msimu uliopita ikiwa nafasi ya sita,...

 

9 years ago

Habarileo

Mbeya City kujipima kwa Shooting

TIMU ya Mbeya City inatarajiwa kujipima na Ruvu Shooting Jumapili katika mchezo wa kirafiki utakaochezwa kwenye uwanja wa Mabatini, Mlandizi ikiwa ni sehemu ya maandalizi yao kuekelea michuano ya Ligi Kuu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbeya City yafungua milango kwa wafadhili

UONGOZI wa Mbeya City umezidi kufungua milango kwa makampuni na wafanyabishara kuwekeza  kwao kwa maslahi ya pande zote, hasa soka la Tanzania. Katibu wa Mbeya City, Emmanuel Kimbe akizungumza na...

 

9 years ago

Mwananchi

Mtihani kwa Mbeya City, African Sports

Mbeya City na African Sports zitashuka uwanjani leo kwenye mechi zinazoweza kuwa ufufuo au majanga kutokana na aina ya matokeo yao.

 

9 years ago

Habarileo

Prisons kumalizia hasira kwa Mbeya City

NAHODHA wa Tanzania Prisons, Laurian Mpalile amesema mchezo dhidi ya Mbeya City utakuwa mgumu lakini haiwafanyi kuogopa kucheza nao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani