MBEYA INAWEZA KUPAA KIUCHUMI - WAZIRI MKUU
![](http://2.bp.blogspot.com/-8qYQLZ31nS4/VPXHPsxhHOI/AAAAAAAHHUM/UGfdFzIfqLk/s72-c/pinda%2Bmizengo.jpg)
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema mkoa wa Mbeya unaweza kupaa kiuchumi kama utazingatia fursa za kibiashara ilizonazo na kuwekeza zaidi kwenye viwanda vya usindikaji mazao ya kilimo na mifugo.
Ametoa kauli hiyo jana (Jumatatu, Machi 2, 2015) wakati akizungumza na viongozi mbalimbali wa mkoa wa Mbeya waliofika kusikiliza majumuisho ya ziara yake ya siku saba kwenye mkoa huo. Mkutano huo ulifanyika kwenye ukumbi wa Mkapa, jijini Mbeya.
“Nguvu kubwa mnayo katika biashara hasa kama mtajitahidi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Tanzania inaweza kuzipiku nchi za A. Mashariki kiuchumi
10 years ago
Vijimambo24 Feb
YANGA BAADA YA KUZIPIGA KIBAJAJA MBEYA CITY NA PRISON SASA KUPAA KWENDA BOTSWANA JUMATANO HII.
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/02/DSC_0865.jpg)
10 years ago
MichuziWAZIRI MKUU PINDA AENDELEA NA ZIARA YAKE JIJINI MBEYA
Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda akisalimiana na baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa na vingozi wa serikali wakati alipowasili katika soko la mwanjelwa Februari 25,2015 tayari kwa uzinduzi wa soko hilo ambalo linaloendelea kujengwa jijini Mbeya.Picha na Fadhil Atick,Globu ya Jamii.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_2EyLim9O1o/VOzXaShMWwI/AAAAAAAHFts/L5kje6hJNw8/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AANZA ZIARA YA MKOA WA MBEYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-_2EyLim9O1o/VOzXaShMWwI/AAAAAAAHFts/L5kje6hJNw8/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-kR_lvqiujyg/VOzXZ0OKHYI/AAAAAAAHFto/aW5N27QhjcU/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-n3EJoyGNJxs/U96g-qoXYII/AAAAAAAF8oE/mHKo-_OWzwM/s72-c/Picture+185.jpg)
WAZIRI MKUU ALIAGIZA JIJI LA MBEYA KUKUSANYA MAPATO ZAIDI
![](http://2.bp.blogspot.com/-n3EJoyGNJxs/U96g-qoXYII/AAAAAAAF8oE/mHKo-_OWzwM/s1600/Picture+185.jpg)
Ametoa agizo hilo jana (Jumamosi, Agosti 2, 2014) wakati akizindua stendi ya kisasa ya mabasi katika eneo la Nane Nane nje kidogo ya Jiji la Mbeya.
“Nikuombe Meya Kapunga, wewe na watu wako ongezeni mapato ya ndani ya Jiji la Mbeya. Wekeni mifumo ya kisasa ya makusanyo inayotumia teknolojia ya habari na mawasiliano, acheni kutumia risiti za kuandika wa...
10 years ago
Dewji Blog26 Feb
Matukio mbalimbali ya ziara ya Waziri Mkuu Pinda Mbeya mjini na vijijini
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wananchi baada ya kufungua vyumba vitatu vya Maabara katika shule ya sekondari ya Songwe mkoani Mbeya Febrari 25, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwasikiliza wanafunzi wa shule ya sekondari ya Iwambe wilayani Mbeya wakati alipofungua na kukagua maabara tatu za shule hiyo akiwa katika ziara ya mkoa wa Mbeya Februari 25, 2015. Wapili kushoto ni mkewe Tunu na Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Norman Sigalla.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jUHZg-gGJ4c/U9t-VNg6LLI/AAAAAAAF8PM/LUolV1SNzl4/s72-c/IMG_4991.jpg)
WAZIRI MKUU ATOA SAA 30, ATAKA KUPATA MAJIBU KUHUSU KIWANDA CHA NYAMA MBEYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-jUHZg-gGJ4c/U9t-VNg6LLI/AAAAAAAF8PM/LUolV1SNzl4/s1600/IMG_4991.jpg)
Ametoa kauli hiyo leo mchana (Ijumaa, Agosti Mosi, 2014) wakati akizindua Kongamano la siku tatu la Uwekezaji la Mikoa ya Iringa, Njombe na Mbeya la mwaka 2014 ambalo limeanza leo kwenye ukumbi wa Benjamini Mkapa jijini Mbeya.
“Mbeya inaweza kuwa na fursa kubwa ya viwanda vya usindikaji nyama, unga wa mahindi ili kuongeza thamani ya...
10 years ago
Dewji Blog25 Dec
Waziri Mkuu mstaafu Frederick Sumaye awasili jijini Mbeya, tayari kwa kuongoza tamasha la Krismas
Waziri Mkuu mstaafu Mh. Fredrick Sumaye akiwasili na ndege ya shirika la ndege la Fastjet kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Songwe mjini Mbeya huku akiwa ameongozana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Makanisa ya Kipentekoste nchini (CPCT), Askofu David Mwasota kushoto na Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama Tayari kwa kuhudhuria Tamasha la Krismas ambalo linafanyika kwenye uwanja wa Sokoine jijini Mbeya, Mh, Sumaye atakuwa mgeni rasmi katika tamasha hilo ambalo...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-mKzNUwSp1sY/VHo-0Tday7I/AAAAAAADJJs/J9IOhLTC300/s72-c/PG4A1896.jpg)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-mKzNUwSp1sY/VHo-0Tday7I/AAAAAAADJJs/J9IOhLTC300/s1600/PG4A1896.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2PKiPMgnKWw/VHo-0aq8WJI/AAAAAAADJJo/vF30JsHqgOs/s1600/PG4A1852.jpg)