Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbio za mita 100 ni leo China

Mbio za mita 100 upande wa wanaume , moja ya mbio zinazoenziwa zaidi zinafanyika muda mfupi unaokuja nchini China.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Unamkumbuka Bingwa wa zamani mbio za mita 400 Tanzania??

Unamkumbuka Morris Okinda? Yule bingwa wa zamani wa mbio mita 400 kuruka viunzi, hivi sasa ndiyo Mkuu wa Polisi (OCD) wilaya ya Monduli.Okinda aliweka rekodi ya mita 400 kuruka viunzi katika mashindano ya Afrika mwaka 1985 jijini Cairo Misri akitumia sekunde 51:20 ambayo kitaifa haijavunjwa mpaka hii leo.Waalifu wakikimbia jamaa akiwepo hawachukui raundi maana alikuwa anawakamata dakika tu maana anakimbiza upepo balaa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Bolt atawala mita 100 Beijing

Usain Bolt wa Jamaica alimpiku Justin Gatlin kwenye utepe na kuibuka mshindi wa nishani ya dhahabu ya mita 100 katika mashindano ya dunia huko China

 

10 years ago

BBCSwahili

Anne Fraser Pryce ashinda mita 100

Mwanariadha wa Jamaica Shelly-Ann Fraser-Pryce alimkabili Dafne Schippers wa Uholanzi katika utepe na kushinda mbio za mita 100 upande wa wanawake kwa mda wa sekunde 10.76.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania kupeleka wa5 mbio za Dunia China

Chama cha Riadha nchini Tanzania kimesema kina matumaini kuwa wakimbiaji wa Tanzania watafanya vizuri mbio za Nyika za Dunia .

 

10 years ago

Habarileo

Kesi ya kukaa mita 200 leo

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, jana imeshindwa kusikiliza kesi kikatiba kuhusu uhalali wa kukaa mita 200 kutoka kituo cha kupiga kura, kwa kuwa upande wa Jamhuri haujawasilisha utetezi wao.

 

10 years ago

Mtanzania

Uamuzi mita 200 kutolewa leo

mtz4NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM

JOPO la majaji watatu wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo watatoa uamuzi wa mvutano mkali kuhusu kukaa mita 200 kutoka kituo cha kupigia kura.

Mwenyekiti wa jopo hilo, Sekieti Kihiyo, alisema hayo jana akiwa pamoja na majaji wenzake, Aloycius Mujuluzi na Lugano Mwandambo.

“Jana (juzi) tuliwaambia leo tutatoa maelekezo muhimu, kesho(leo) saa nne tutatoa uamuzi,”alisema Jaji
Kihiyo.

Majaji hao walifikia hatua ya kutoa uamuzi huo baada ya kusikiliza hoja...

 

10 years ago

Mtanzania

Kesi ya mita 200 kuanza leo

Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam

JOPO la majaji watatu wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo linatarajia kuanza kusikiliza kesi ya kikatiba kuhusu haki ya mpigakura kukaa umbali wa mita 200 kama ni sahihi au la.

Jopo hilo la majaji Seleman Kihiyo, Aliyisius Mujuluzi na Lugano Mwandambo, liliteuliwa baada ya mgombea ubunge wa Viti Maalumu Jimbo la Kilombero kupitia Chadema, Amy Kibatala, kufungua kesi hiyo kupitia kwa wakili Peter Kibatala.

Katika maombi yake, anaomba Mahakama Kuu ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani