Unamkumbuka Bingwa wa zamani mbio za mita 400 Tanzania??
Unamkumbuka Morris Okinda? Yule bingwa wa zamani wa mbio mita 400 kuruka viunzi, hivi sasa ndiyo Mkuu wa Polisi (OCD) wilaya ya Monduli.Okinda aliweka rekodi ya mita 400 kuruka viunzi katika mashindano ya Afrika mwaka 1985 jijini Cairo Misri akitumia sekunde 51:20 ambayo kitaifa haijavunjwa mpaka hii leo.Waalifu wakikimbia jamaa akiwepo hawachukui raundi maana alikuwa anawakamata dakika tu maana anakimbiza upepo balaa.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili23 Aug
Mbio za mita 100 ni leo China
9 years ago
BBCSwahili27 Aug
Usain Bolt bingwa wa dunia wa mita 200
10 years ago
Mtanzania08 Jun
Maximalipo bingwa mbio za Ngalawa Bagamoyo
NA MWANDISHI WETU
LICHA ya utamaduni wa Waswahili kuonekana kupungua kwa kiasi kikubwa, Tamasha la Kimataifa la Nchi za Jahazi (ZIFF) limekuwa mstari wa mbele kuendeleza tamaduni hizo ili zisipotee kabisa hasa katika maeneo ya Pwani ya Afrika Mashariki.
Mashindano ya Utamaduni wa Swahili ni moja kati ya matukio makubwa yanayoitambulisha ZIFF kitaifa na kimataifa kwa kuwa uhudhuriwa na watu wengi kutoka sehemu mbalimbali duniani.
Juzi kulifanyika mashindano ya Ngalawa hasa katika Pwani ya...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JWe3dXBN65E/VhLd6bFjPHI/AAAAAAADAVk/PV432man6d0/s72-c/121.jpg)
IDARA YA UHAMIAJI YAWA BINGWA MICHUANO YA MPIRA WA PETE KLABU BINGWA TANZANIA
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/x5nfMUvOqsg/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/K6ZQKkkjmcI/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/ZLtuxYaKko0/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ljn5rxOqX2k/U0L5BP5nrYI/AAAAAAAAFRM/hUL4WtQTJVU/s72-c/IMG_0870.jpg)
MKUU WA MKOA WA RUKWA ASHIRIKIANA NA UVCCM KATIKA MBIO ZA UZALENDO TANZANIA KUADHIMISHA MIAKA 50 YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ljn5rxOqX2k/U0L5BP5nrYI/AAAAAAAAFRM/hUL4WtQTJVU/s1600/IMG_0870.jpg)