Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MBOTO: SIJAWAHI KUTOKA NA MSANII

MKALI wa komedi Bongo, Haji Salum ‘Mboto’ amesema hajawahi kutoka kimapenzi na msanii mwenzake na hana mpango wa kufanya hivyo. Mkali wa komedi Bongo, Haji Salum ‘Mboto’. Akistorisha na Stori Mix, Mboto alisema: “Ni nadhiri niliyojiwekea tangu naanza fani hii. Kamwe siwezi kutoka na msanii mwenzangu. Unajua unapofanya kazi na mtu, anakuwa kama ndugu yako, isitoshe utakapoingiza tu mambo ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MBOTO: SIJAWAHI KUTOKA NA AUNT EZEKIEL

KAMA kawa, kama dawa, wiki iliyopita tulimleta kwenu ‘komediani’ kiraka Bongo, Haji Salum almaarufu Mboto ambaye mulimuuliza maswali magumu ambayo wiki hii anayajibu na kuchambua moja baada ya lingine. UNGANA NAYE… ATAOA LINI?
Mboto wewe ni mchekeshaji mahiri kunako kiwanda cha maigizo Bongo, je, unategemea kuoa lini? Salim Liundi, Dar, 0658110395
MBOTO: Asante, suala la kuoa siyo la kukurupuka kwa hiyo...

 

10 years ago

Michuzi

Msanii Davido kutoka nchini Nigeria kutumbuiza jukwaa moja na msanii T.I kutoka nchini Marekani tamasha la Fiesta 2014.


  Mwanamuziki kutoka nchini Marekani ajulikanae kwa jina la Kisanii T.I akizungumza na Waandishi wa Habari jioni ya leo kwenye moja ya ukumbi wa Sea Cliff hotel jijini Dar kuhusiana na onesho lake la kwanza atakalotumbuiza katika viwanja vya leaders Club,jijini Dar katika tamasha la Fiesta 2014,ambalo hufanyika kila mwaka mara moja,chini ya waandaji bingwa wa burudani hapa nchini kampuni ya Prime Time Promotions Lts sambamba na Clouds Media Group.. Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya...

 

10 years ago

Habarileo

Mbunge: Sijawahi kupokea rushwa kutoka kwa Liana

MBUNGE wa Bahi, Omary Badwell (CCM) ameieleza Mahakama kuwa hajawahi kuomba na kupokea rushwa kutoka kwa aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Mkuranga, Sipora Liana.

 

10 years ago

Bongo5

Meninah: Diamond hata kumshika mkono sijawahi, akanusha tetesi za kutoka nae

Mara nyingi habari za mastaa hususan za mahusiano huanza kama tetesi, kisha hufuata hatua ya pili ambayo ni kukanusha, halafu baadae huja na majibu ya ‘mapenzi moto moto’. Narudia tena ‘mara nyingi’ japo si mara zote. Kuhusu tetesi za msanii wa kike wa Bongo fleva Meninah kuwa ni ‘mchepuko’ wa hit maker wa ‘Number 1’ […]

 

9 years ago

Michuzi

LOWASSA APANDA DALADALA KUTOKA GONGO LA MBOTO MPAKA PUGU KAJIUNGENI JIJINI DAR LEO

Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akisalimiana na Bi. Kulwa Juma ambaye ni mfanyabiashara ndogo ndogo ya kuuza Mihogo ya Kukaanga katika Kituo cha Mabasi cha Gongo la Mboto mwisho, Jijini Dar es salaam leo, wakati alipofanya ziara ya kushtukiza eneo hilo ili kujionea hali halishi ya biashara ndogo ndogo. Mh. Lowassa aliianza ziara yake eneo hilo la Gongo la Mboto na baadae alipanda daladala mpaka Pugu Kajiungeni,...

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU PINDA AKUTANA NA MSANII KUTOKA MKURANGA

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifurahia jambo katika mazungumzo na msanii tenzi, nyimbo na mashairi  kutoka Mkuranga, Sauda Shaaban ambaye  alikwenda Bungeni mjini Dodoma Juni 25, 2014 kwa mwaliko wa Mbunge wake, Adam Malima  (kulia) ambaye pia ni Naibu Waziri wa Fedha. (Picha na Ofis ya Waziri Mkuu).

 

11 years ago

Michuzi

MSIKILIZE VIZURI MSANII HUYU MPYA AITWAYE SHEBO KUTOKA MWANZA

Shebo ni msanii mpya wa RnB ambaye amekuwa akifanya poa katika mikoa ya kanda ya ziwa hasa Mwanza ambako ndiyo kwao. Amekuja na style ya pekee sana katika RnB ya Tanzania. Ni tishio kubwa kwa wasanii wakongwe kama Benpol na Steve RnB.

 

10 years ago

Michuzi

NYIMBO MPYA YA MSANII CHIPUKIZI KUTOKA MKOA WA MBEYA SJ IITWAYO KUMBE MAPENZI

Tone Multimedia Group Kupitia Mtandao wetu wa Mbeya yetu Blog tumezimia kuanza kuwasaidia wasanii Chipukizi kutoka Mkoa wa Mbeya na Mikoa mingine ya Jirani kimuziki kwa Kutambulisha kazi zao mbalimbali ili wadau pia mpate kuwafahamu.Tunaanza kumtambulisha kwenu Msanii wa nyimbo za kizazi kipya yaani Bongo Flava kwa jina lake halisi ni Shuku na jina la kisanii anaitwa SJ kijana ambaye yupo chini ya Mdhamini wake Mkuu Jacob Mwaisango ambaye aliona kipaji chake na kuamua kumsaidia kwa Hali na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani