Mbowe azimwagia vifaa timu 16 Hai
MBUNGE wa Jimbo la Hai, Freeman Mbowe (Chadema) amekabidhi jezi na vifaa vingine vya michezo kwa timu 16 za soka kuelekea michuano maalumu ya ‘Mbowe Cup’ katika kukuza kiwango cha...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
IPPmedia26 Jul
Mbowe becomes candidate in Hai
IPPmedia
IPPmedia
Chadema National Chairman Freeman Mbowe has won the Parliamentary nomination race for Hai Constituency in Kilimanjaro Region after garnering 269 votes, equivalent to 98.2 per cent of the total valid votes cast. Mbowe who almost faced no opposition in ...
11 years ago
Mwananchi15 Jul
Mbowe matatani wilayani Hai
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ameingia matatani baada ya Mahakama ya Wilaya ya Hai kuona ana kesi ya kujibu katika mashtaka ya kumshambulia mwangalizi wa ndani katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010.
10 years ago
Mwananchi26 Jul
Mbowe aundiwa zengwe ubunge Hai
Wanachama wa Chadema wamedai kufichua mpango unaofanywa na baadhi ya viongozi wa CCM wa kumwekea pingamizi Mbunge wa Jimbo la Hai, Freeman Mbowe ili asiwanie ubunge.
10 years ago
Mwananchi19 Jun
Mbowe: Nitagombea tena ubunge Hai
Hai. Siku moja baada ya kuhukumiwa kulipa faini Sh1 milioni au kwenda jela mwaka mmoja kwa kosa la shambulio la kawaida dhidi ya aliyekuwa mwangalizi wa ndani wa uchaguzi mkuu uliopita, Mbunge wa Hai na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ametangaza kuwania tena ubunge katika jimbo hilo.
10 years ago
Mwananchi01 May
Mbowe apata mpinzani wa ubunge Hai
>Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Chama Kikuu cha Ushirika mkoani Kilimanjaro (KNCU) Maynard Swai, ametangaza kuwania ubunge katika Jimbo la Hai kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
10 years ago
Vijimambo
Freeman Mbowe atoa magari ya wagonjwa Hai

Kutolewa kwa ambulance hiyo itakuwa ni ukombozi mkubwa kwa wakazi wa HAI jimbo ambalo limetawaliwa na mito na mabonde mbalimbali ambapo litatumika kuwawaisha wagonjwa hospitali za teule ya Machame na ile ya Wilaya.
Kufuatia kutolewa kwa ambulance hiyo...
10 years ago
Mwananchi27 Feb
Mbowe apanda kizimbani Hai, aiomba Mahakama iifute kesi yake
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe ameiomba mahakama kutupilia mbali kesi inayomkabili kwakuwa ni kesi iliyotengenezwa kutokana na chuki za kisiasa na jazba za kushindwa katika uchaguzi mkuu uliopita wa mwaka 2010.
5 years ago
Michuzi
NMB yakabidhi vifaa kwa Wilaya ya Hai na Ilala
BENKI ya NMB imekabidhi misaada mbalimbali ya vifaa tiba na vifaa vya elimu katika Mikoa ya Dar es Salaam na Kilimanjaro, ikiwa ni sehemu ya utaratibu wa kurejesha kwa jamii asilimia moja ya faida yao kupitia Programu ya Uwajibikaji kwa Jamii (CSR).
Jijini Dar es Salaam, NMB imetoa msaada yenye thamani ya Sh. Mil. 15 kwa Shule ya Sekondari Tambaza, iliyopo Upanga na Kituo cha Afya Pugu Kajiungeni wilayani Ilala jijini Dar es Salaam, wakati Mkoani Kilimanjaro imekabidhi vifaa tiba kwa...
Jijini Dar es Salaam, NMB imetoa msaada yenye thamani ya Sh. Mil. 15 kwa Shule ya Sekondari Tambaza, iliyopo Upanga na Kituo cha Afya Pugu Kajiungeni wilayani Ilala jijini Dar es Salaam, wakati Mkoani Kilimanjaro imekabidhi vifaa tiba kwa...
10 years ago
Vijimambo
MWENYEKITI WA CHADEMA NA MBUNGE WA HAI FREEMAN MBOWE AHUTUBIA MANG’ULA MKOANI MOROGORO



Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10