Mbowe: Nitagombea tena ubunge Hai
Hai. Siku moja baada ya kuhukumiwa kulipa faini Sh1 milioni au kwenda jela mwaka mmoja kwa kosa la shambulio la kawaida dhidi ya aliyekuwa mwangalizi wa ndani wa uchaguzi mkuu uliopita, Mbunge wa Hai na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ametangaza kuwania tena ubunge katika jimbo hilo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi01 May
Mbowe apata mpinzani wa ubunge Hai
10 years ago
Mwananchi26 Jul
Mbowe aundiwa zengwe ubunge Hai
9 years ago
Mtanzania12 Nov
Juma Nature: Nitagombea ubunge 2020
NA FESTO POLEA
KIONGOZI wa kundi la Wanaume Halisi, Juma Kassim Nature, amesema matarajio yake ya kugombea ubunge yatatimia mwaka 2020 atakapogombea rasmi katika jimbo mojawapo nchini.
Nature aliwahi kutangaza nia ya kugombea ubunge kwa mwaka huu lakini hakutekeleza hilo badala yake akawa mpiga kampeni wa wasanii wenzake na viongozi mbalimbali waliokuwa wakigombea nafasi hiyo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
“Mwaka huu nilikuwa najifunza mambo mengi kupitia viongozi waliokuwa wakigombea...
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Esther Matiko: Nitagombea ubunge Jimbo la Tarime
10 years ago
Bongo505 Jun
Kala Jeremiah: Nitagombea ubunge au urais miaka 10 ijayo
10 years ago
IPPmedia26 Jul
Mbowe becomes candidate in Hai
IPPmedia
IPPmedia
Chadema National Chairman Freeman Mbowe has won the Parliamentary nomination race for Hai Constituency in Kilimanjaro Region after garnering 269 votes, equivalent to 98.2 per cent of the total valid votes cast. Mbowe who almost faced no opposition in ...
11 years ago
Mwananchi15 Jul
Mbowe matatani wilayani Hai
10 years ago
Tanzania Daima11 Oct
Mbowe azimwagia vifaa timu 16 Hai
MBUNGE wa Jimbo la Hai, Freeman Mbowe (Chadema) amekabidhi jezi na vifaa vingine vya michezo kwa timu 16 za soka kuelekea michuano maalumu ya ‘Mbowe Cup’ katika kukuza kiwango cha...