Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbowe aundiwa zengwe ubunge Hai

Wanachama wa Chadema wamedai kufichua mpango unaofanywa na baadhi ya viongozi wa CCM wa kumwekea pingamizi Mbunge wa Jimbo la Hai, Freeman Mbowe ili asiwanie ubunge.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mbowe apata mpinzani wa ubunge Hai

>Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Chama Kikuu cha Ushirika mkoani Kilimanjaro (KNCU) Maynard Swai, ametangaza kuwania ubunge katika Jimbo la Hai kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

 

10 years ago

Mwananchi

Mbowe: Nitagombea tena ubunge Hai

Hai. Siku moja baada ya kuhukumiwa kulipa faini Sh1 milioni au kwenda jela mwaka mmoja kwa kosa la shambulio la kawaida dhidi ya aliyekuwa mwangalizi wa ndani wa uchaguzi mkuu uliopita, Mbunge wa Hai na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ametangaza kuwania tena ubunge katika jimbo hilo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waziri Kamani aundiwa zengwe

BAADHI ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na jumuiya zake wilayani Busega, Mkoa wa Simiyu, wanadaiwa kuunda kambi ya kuvuruga utekelezaji wa ilani ya chama unaofanywa na mbunge wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Pinda aundiwa zengwe UVCCM

MIZENGWE ya urais wa 2015 ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), inazidi kupamba moto huku makundi ya wapambe wa makada wanaotajwa kuitaka nafasi hiyo, yakipita huku na kule kuchafuana kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Spika Kificho aundiwa zengwe

MTAFARUKU wa aina yake umejitokeza miongoni mwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, ambao vilevile ni wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, baada ya waraka unaodaiwa kuwa wa kughushi kukamatwa...

 

10 years ago

GPL

MAGUFULI AUNDIWA ZENGWE ZITO

Na Mwandishi Wetu MTEULE wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika nafasi ya urais kwenye uchaguzi mkuu ujao, Dk.John Pombe Magufuli, anaundiwa zengwe zito na wapinzani wake kisiasa baada ya kubaini kuwa watapata taabu kubwa kuibuka na ushindi katika patashika hiyo itakayofanyika Oktoba mwaka huu....soma zaidi===>http://bit.ly/1fiBy8M

 

11 years ago

Habarileo

Rage aundiwa 'zengwe' Tabora

BAADHI ya wananchi mjini Tabora wamekiomba Chama Cha Mapinduzi kimtayarishie Mbunge wa Jimbo la Tabora Mjini, Ismail Rage mkutano wa hadhara ambao utawawezesha kumuuliza maswali mbunge huyo kuhusu utekelezaji wa Ilani ya chama hicho.

 

10 years ago

GPL

MH. PINDA AUNDIWA ZENGWE LA KUTOGOMBEA URAIS

Mhe. Mizengo Pinda Na mwandishi wetu mzee wa kimyakimya, a.k.a Mtoto wa Mkulima, Waziri Mkuu Mizengo Pinda ameundiwa zengwe la kutogombea urais licha ya kudaiwa kuanza mbio za kusaka tiketi ya kukiwakilisha Chama cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi mkuu mwaka huu. Vyanzo vya habari vimedai kuwa waziri mkuu huyo amewaambia marafiki zake wa karibu kuwa hatagombea tena nafasi hiyo tamu ya uongozi  kwa kile kilichotajwa kuwa ni...

 

10 years ago

GPL

MSIGWA APIGWA ZENGWE UBUNGE IRINGA 2015

Mbunge wa Iringa mjini Mchungaji Peter Msingwa Stori: Mwandishi Wetu, Iringa KATIBU wa  CCM wa Mkoa wa Iringa, Hassani Mtenga, mwishoni mwa wiki iliyopita  alikiona cha moto baada ya kuzomewa na wananchi baada ya kuwataka wapiga kura hao wamshawishi Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa asichukue fomu za kugombea kiti hicho katika uchaguzi mkuu ujao  kwa kuwa hatashinda. Tukio hilo lililotokea katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani