Waziri Kamani aundiwa zengwe
BAADHI ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na jumuiya zake wilayani Busega, Mkoa wa Simiyu, wanadaiwa kuunda kambi ya kuvuruga utekelezaji wa ilani ya chama unaofanywa na mbunge wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima10 Nov
Pinda aundiwa zengwe UVCCM
MIZENGWE ya urais wa 2015 ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), inazidi kupamba moto huku makundi ya wapambe wa makada wanaotajwa kuitaka nafasi hiyo, yakipita huku na kule kuchafuana kwa...
11 years ago
Tanzania Daima02 Mar
Spika Kificho aundiwa zengwe
MTAFARUKU wa aina yake umejitokeza miongoni mwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, ambao vilevile ni wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, baada ya waraka unaodaiwa kuwa wa kughushi kukamatwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nMkb-Djjb3c2lOlaPEg7vuy4aMtjOMkYxA8FfC1v3cG2WmOz5Trl2FcsBhhskqgiJtrcbOlmwuU9LMOMHCKJj-NIIi3rG-h4/Magufuli.gif?width=650)
MAGUFULI AUNDIWA ZENGWE ZITO
11 years ago
Habarileo13 Jan
Rage aundiwa 'zengwe' Tabora
BAADHI ya wananchi mjini Tabora wamekiomba Chama Cha Mapinduzi kimtayarishie Mbunge wa Jimbo la Tabora Mjini, Ismail Rage mkutano wa hadhara ambao utawawezesha kumuuliza maswali mbunge huyo kuhusu utekelezaji wa Ilani ya chama hicho.
10 years ago
Mwananchi26 Jul
Mbowe aundiwa zengwe ubunge Hai
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OyDgsXHkaUI*tH68aoUaN5PCsHxQ3LcadP9LPQfL3FJeXw6ScFPmzGleVjBf2NrEyywLFb9ZgyP-el-hM52hjcZ2dAlqPN5z/pindapx.jpg?width=650)
MH. PINDA AUNDIWA ZENGWE LA KUTOGOMBEA URAIS
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oJI0y6HlVvRW5Z5zK*fG-G*3yOjWx9CAjLntPUPxmrypGRWyFi4dzXzoXB-F9f1g03Izy20-G8VzQgUrVq9klsjrxubXPTKU/BackAmani.jpg?width=650)
ZENGWE MTOTO WA AUNT APIGWA ZENGWE!
10 years ago
Mtanzania07 Aug
Dk. Chegeni ambwaga Waziri Kamani
NA JOHN MADUHU, MWANZA
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Raphael Chageni, amembwaga Waziri wa Mifugo na Maendeleo ya Uvuvi, Dk. Titus Kamani katika kura za maoni za kuomba kuteuliwa kuwania ubunge kwenye Jimbo la Busega mkoani Simiyu.
Hatua ya kushindwa kwa Dk. Kamani, ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Simiyu, imemfanya aungane na mawaziri na manaibu waziri wa Serikali ya Rais Jakaya Kikwete walioangukia pua katika mbio za kusaka kurejea katika...
11 years ago
Michuzi20 Jul
WAZIRI DK. KAMANI ATEMA CHECHE BUSEGA
Dk. Kamani, ambaye pia ni Mbunge wa Busega na Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, alisema hayo mwishoni mwa wiki wakati akizungumza na baadhi ya viongozi wa Chama katika Kijiji cha Lamadi wilayani Busega.
Alisema huu sio wakati wa kukaa na kubweteka...