Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbowe: Chanzo cha Katiba Mpya ni sisi

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amesema kuwa chanzo cha Katiba mpya ni wapinzani, hususan Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Mbowe alitoa kauli hiyo jana...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

‘Muundo Bunge la Katiba chanzo cha vurugu’

Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu na Waandishi wa Habari umesema muundo wa Bunge Maalumu la Katiba ndio chanzo cha vurugu.

 

11 years ago

GPL

WATAKA KATIBA ISIWE CHANZO CHA MGOGORO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho. Na Mwandishi Wetu
WANANCHI wa kada mbalimbali nchini, wamewataka wanasiasa kuacha kutumia mchakato wa Katiba Mpya Inayopendekezwa kusababisha vurugu, migogoro na machafuko kwani nafasi ya kuendeleza amani na utulivu uliopo bado ipo. Wakizungumza kwa nyakati tofauti jijini Dar es Salaam, baadhi ya wadau wamesema dalili zinaonyesha kuwa huenda kukawa na hali...

 

11 years ago

KwanzaJamii

MBOWE ASEMA MOTO WA KUDAI KATIBA MPYA HAUZIMIKI

Mwenyekiti wa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Freeman Mbowe, amesema moto wa kudai Katiba mpya hautazimwa, kwani kitakachotokana na vikao vya Bunge hilo vinavyoendelea mjini DODOMA BATILI Mbowe aliyasema hayo jana katika mazungumzo maalumu na NIPASHE kuhusu mwitikio wa wito wa Ukawa kwa Rais Jakaya Kikwete, kusitisha Bunge hilo mpaka utakapopatikana mwafaka kati ya makundi mawili yaliyotokana nalo kugawanyika. “Hoja ya msingi ni kwamba, vikao...

 

11 years ago

Mwananchi

Makundi chanzo cha vurugu, mivutano Bunge la Katiba [VIDEO]

Uwepo wa makundi haya na kutambuliwa kwake na bunge kunachochea mgawanyiko na kujenga uhasama baina ya wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba.

 

11 years ago

Habarileo

'Bei mpya ya umeme chanzo cha ugumu wa maisha'

WAKAZI wa Mji wa Sumbawanga wamelalamikia bei mpya ya umeme kwamba imechangia ugumu wa maisha kwao kutokana na vitu vingi kupanda gharama.

 

9 years ago

MillardAyo

Berry Black aeleza chanzo cha kuvunjika kwa kundi lao.. amepata uongozi mpya? stori iko hapa

Inawezekana ulikuwa na hamu ya kufahamu chanzo cha kutengana kwa wasanii wawili wanaounda kundi la 2 Berry (Berry Black & Berry White) mwaka 2006. Akiongea exclusive interview na ripota wa millardayo.com Berry Black ambaye kwasasa makazi yake yapo Dar es Salaam huku kazi zake zikiwa zinasimamiwa na Mkurugenzi wa TMK Wanaume Family, Said Fella….’Chanzo cha […]

The post Berry Black aeleza chanzo cha kuvunjika kwa kundi lao.. amepata uongozi mpya? stori iko hapa appeared first on...

 

11 years ago

Michuzi

WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA WATAKIWA KUWA NA MTIZAMO MPYA UTAKAOWEZESHA UPATIKANAJI WA KATIBA MPYA


Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Bw. Deus Kibamba akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika leo Julai 17, 2014 kuelezea msimamo wa JUKWAA LA KATIBA juu ya mwenendo uliopita wa bunge hilo. Picha na Cathert Kajuna wa Kajunason Blog
Kiongozi wa Shule Kuu ya Sheria nchini Kenya, Profesa Patrick Lumumba alisisitiza suala la wanasiasa kurudi bungeni na kuhakikisha katiba mpya inapatikana.
Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia mkutano huo.
Wajumbe wa JUKWAA LA KATIBA...

 

11 years ago

GPL

WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA WATAKIWA KUWA NA MTAZAMO MPYA UTAKAOWEZESHA UPATIKANAJI WA KATIBA MPYA

Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Bw. Deus Kibamba akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika jana Julai 17, 2014 kuelezea msimamo wa jukwaa la katiba juu ya mwenendo uliopita wa bunge hilo.
Kiongozi wa Shule Kuu ya Sheria nchini Kenya, Profesa Patrick Lumumba alisisitiza suala la wanasiasa kurudi bungeni na kuhakikisha katiba mpya inapatikana.…
...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nkya: Hawa ni kikwazo cha Katiba mpya

TUMESHUHUDIA kuvurugika kwa Bunge Maaalum la Katiba, hali iliyofanya wajumbe wengine kususia. Lakini kauli nyingi zimetolewa kuhusiana na Bunge hilo, mwenendo wake na wengine kushauri livunjwe. Makala haya yanamuangazia Mtetezi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani