Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MBUNGE KABATI ATAKA WANANCHI WASIPOTOSHWE JUU YA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA

Mbunge Ritta KabatiNa MatukiodaimaBlog
MBUNGE  wa   viti maalum  mkoa  wa  Iringa Ritta Kabati (CCM) amewakata   wananchi  kutokubali kudanganywa na  vyama  vya  siasa  vinavyounda umoja wa katiba  ya  wananchi (UKAWA)  juu ya mchakato  wa  katiba  iliyopenekeshwa  na badala yake  kuungana na  watanzania wapenda maendeleo  kuikubali  katiba   hiyo  muda  utakapofika.
Mbuge Kabati  alitoa  kauli   hiyo kwa nayakati  tofauti juzi na  jana  wakati  wa  semina  zake za  ndani na wanawake...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WAZIRI CHIKAWE AWASHAWISHI WANANCHI NACHINGWEA KUIPIGIA KURA YA NDIO KATIBA ILIYOPENDEKEZWA NA BUNGE

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Mathias Chikawe (Kushoto), akimsalimia Katibu wa CCM tawi la Kijiji cha Mkurupita, Kata ya Ndomoni, Nora Lwambano wakati alipokuwa akiwasili katika Ukumbi wa Mikutano wa kata hiyo kwa ajili ya kuzungumza na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM ya Kata hiyo, Wajumbe wa Mabaraza ya Jumuiya zote za CCM Kata, Viongozi wa Dini na Wajumbe wa Baraza la Wazee katika Kata hiyo. Waziri Chikawe alitoa msaada wa madaftari na...

 

11 years ago

Michuzi

MBUNGE KABATI ATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO

 Daktari wa Mifugo wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, Augustino Nyenza akimwelekeza Mbunge wa viti maalum Lita Kabati mradi wa machinjia ya kisasa yaliyoko Ngelewala yaliyopo katika kata ya Isakalilo.  Mganga Mfawishi wa Hospitali ya wilaya ya Frelimo Dk. Hassan Mtani akitoa taarifa kuhusu hospitali hiyo mbele ya mbunge wa Viti maalum CCm Lita Kabati Baadhi ya wahudumu wa hospitali ya Frelimo Mbunge wa viti maalum CCM Lita Kabati akimpa pole mama aliyejifungua hospitalini hapo. Mbunge...

 

5 years ago

CCM Blog

DK KABATI MBUNGE WA KUIGWA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA


Mbunge Dk. Ritha Kabati
                        Na Richard Mwaikenda

MBUNGE wa Viti Maalumu Mkoa wa Iringa, Dk. Ritha Kabati amechapisha kitabu cha kurasa 15 kinachoelezea  alivyoshiriki katika kampeni ya kuelimisha wananchi jinsi ya kukabiliana na janga la Corona.


Kampeni hiyo ameifanya katika vijiji mbalimbali vilivyopo katika wilaya tatu za mkoa wa Iringa, ambazo ni Mufindi, Kilolo na Iringa.


Katika kuhakikisha Serikali inafanikisha azma yake ya kukabiliana na ugonjwa wa  homa kali ya mapafu ...

 

10 years ago

Michuzi

RASIMU KATIBA ILIYOPENDEKEZWA YAWASILISHWA RASMI LEO KATIKA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA

Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi, Mhe. Andrew Chenge (kushoto) akiwasili bungeni kwa ajili ya kuwasilisha Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, leo 24 Septemba, 2014. Kulia ni mjumbe wa Bunge hilo, Dkt. Tulia Ackson. Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta akiongoza bunge hilo leo 24 Septemba, 2014 mjini Dodoma.Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi wa Bunge Maalu la Katiba, Mhe. Andrew Chenge akiwasilisha Rasimu iliyopendekezwa ndani ya bunge hilo leo 24 Septemba, 2014 mjini...

 

10 years ago

Vijimambo

RASIMU KATIBA MPYA ILIYOPENDEKEZWA YAWASILISHWA RASMI KATIKA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA

 Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta akiongoza kikao cha bunge hilo leo mjini Dodoma, wakati ikiwasilishwa Rasimu ya katiba iliyopendekezwa.

 Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi wa Bunge Maalumu la Katiba, Mhe. Andrew Chenge akiwasilisha Rasimu iliyopendekezwa ndani ya ukumbi wa bunge hilo siku ya Jumanne 24 Septemba, 2014 mjini Dodoma.

Mwenyekiti wa kamati ya Uandishi, Mhe. Andrew Chenge (kushoto) akiwasili bungeni kwa ajili ya kuwasilisha Rasimu ya Katiba inayopendekezwa,...

 

11 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AMNUSURU MBUNGE WA IGALULA MFUTAKAMBA BAADA YA WANANCHI WAKE KUMJIA JUU.

Wakazi wa Kata ya Kizengi wakishangilia jambo,wakati Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana alipokuwa akizungumza nao,mara baada ya kuweka jiwe la msingi na  kuzindua Ofisi ya chama hicho. Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wakazi wa Kata ya Kizengi,Wilayani Uyui mkoani Tabora,wakati wa ziara yake iliyoendelea mkoani humo.Kinana amekagua miradi mbalimbali ya maendeleo na kusikiliza kero mbalimbali za Wananchi ili kuchukua hatua na kuzishughulikia,aidha katika...

 

10 years ago

Mwananchi

KATIBA: Waiponda rasimu iliyopendekezwa

>Siku moja baada ya Kamati ya Uandishi ya Bunge Maalumu la Katiba kutoa Rasimu ya Katiba inayopendekezwa na kutofautiana na rasimu iliyotolewa na iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, wasomi nchini wameiponda rasimu hiyo kwamba imeondoa mambo mengi ya msingi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani