Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbunge: Serikali ina donda ndugu

MBUNGE wa Viti Maalumu, Conchester Rwamlaza (CHADEMA) amesema serikali ina donda ndugu la kuruhusu mianya ya rushwa. Conchesta alitoa kauli hiyo bungeni jana alipokuwa akichangia hotuba ya bajeti ya serikali...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

‘Serikali ina kidonda ndugu’

MBUNGE wa Viti Maalumu, Conchester Rwamlaza (CHADEMA), amesema serikali ina kidonda ndugu ambacho hakiponi kutokana na kuruhusu mianya ya rushwa. Conchesta alitoa kauli hiyo bungeni jana alipokuwa akichangia hotuba ya...

 

9 years ago

MillardAyo

Kama hujawahi kumuona Mbunge Profesa Jay jukwaani akiongea na Wananchi wake, hii video ina kila kitu

Profesa Jay, msanii wa hiphop Tanzania aliyechukua ushindi baada ya kupigiwa kura na Wananchi wa jimbo la Mikumi Morogoro ili awe Mbunge wao kwa miaka mitano kuanzia 2015-2020, kama hujawahi kabisa kumuona akiongea na Wananchi… bonyeza play kwenye hii video hapa chini. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na […]

The post Kama hujawahi kumuona Mbunge Profesa Jay jukwaani akiongea na Wananchi wake, hii video ina kila kitu appeared first on...

 

11 years ago

Mwananchi

‘CCM ina masilahi na Serikali mbili’

>Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesisitiza msimamo wake wa kutaka kuendelea na muundo wa Serikali mbili huku kikiweka wazi kuwa kina masilahi makubwa na mfumo huo.

 

11 years ago

GPL

NATESEKA NA DONDA LA AJABU!

Stori: makongoro oging’
Mwanafunzi (denti) wa kidato cha pili katika Shule ya Sekondari ya J.K.Nyerere, mkoani Kilimanjaro, Joseph Hamis Mruma (17), ameshindwa kuendelea na masomo tangu Januari, mwaka huu kutokana na maunivu makali ya donda la ajabu lililotokeza katika kisigino cha mguu wake wa kushoto.
Donda hilo amedumu nalo kwa miaka mitatu sasa na limemfanya akose raha. Joseph Hamis Mruma akiwa na msamaria mwema...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbowe: Serikali ya CCM ina mfumo wa kirafiki

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amesema serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ina mfumo wa kirafiki katika utawala wenye utitiri wa viongozi unaogharimu taifa mamilioni...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali ina dhamira ya kumaliza foleni Dar?

Kwa siku mbili mfululizo gazeti hili limechapisha habari maalumu jinsi foleni za magari jijini Dar es Salaam zilivyofikia kiwango cha kutisha na kusababisha madhara makubwa kiuchumi, kijamii na kiafya, ikiwamo magonjwa ya akili.

 

9 years ago

Mwananchi

Wizi wa dawa ni ‘donda ndugu’

Serikali imesema kati ya asilimia 70 ya dawa inazozitoa kwenda kwenye hospitali na vituo vyake vya afya nchini, ni asilimia 30 pekee huwafikia walengwa.

 

10 years ago

Habarileo

Serikali ina haki ya ‘kuipigia debe’ Katiba mpya

Naibu Waziri wa Sheria na Katiba, Ummy MwalimuSERIKALI imesema kuwa ina haki ya kuwahamasisha wananchi kuipigia kura ya ndiyo Katiba Inayopendekezwa kwa kuwa ndio iliyohusika kuiandaa.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali ina njia tatu za kurejesha ‘mabilioni ya Uswisi’

Kuna njia tatu ambazo Serikali ya Tanzania ikiamua kuzitumia inaweza kurejesha mabilioni ya fedha zake ambazo zimefichwa nchini Uswisi na kwingineko duniani, Mwananchi limebaini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani