NATESEKA NA DONDA LA AJABU!

Stori: makongoro oging’ Mwanafunzi (denti) wa kidato cha pili katika Shule ya Sekondari ya J.K.Nyerere, mkoani Kilimanjaro, Joseph Hamis Mruma (17), ameshindwa kuendelea na masomo tangu Januari, mwaka huu kutokana na maunivu makali ya donda la ajabu lililotokeza katika kisigino cha mguu wake wa kushoto. Donda hilo amedumu nalo kwa miaka mitatu sasa na limemfanya akose raha. Joseph Hamis Mruma akiwa na msamaria mwema...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi06 Jan
Wizi wa dawa ni ‘donda ndugu’
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
Mbunge: Serikali ina donda ndugu
MBUNGE wa Viti Maalumu, Conchester Rwamlaza (CHADEMA) amesema serikali ina donda ndugu la kuruhusu mianya ya rushwa. Conchesta alitoa kauli hiyo bungeni jana alipokuwa akichangia hotuba ya bajeti ya serikali...
11 years ago
GPL
NATESEKA JAMANI!
11 years ago
GPL
Okwi: Nateseka moyoni
11 years ago
GPL
11 years ago
GPL
DAVINA: NATESEKA KUZUIWA KUMUONA MWANANGU
11 years ago
GPL
HAPPINESS MAGESE: NATESEKA KUTOKUPATA MTOTO
11 years ago
GPL
RAY C: NATESEKA KUISHI BILA MPENZI JAMANI
10 years ago
GPL
GONJWA LA AJABU