DAVINA: NATESEKA KUZUIWA KUMUONA MWANANGU
![](http://api.ning.com:80/files/-a-FzCyHE-BAkWOqEbaDfVbgu4axTacisfhxXEukrVME7ge*1lM86vY1G5TXw-MTqkl6PuwlliptA-J7n6Z0m0oQ9Ji3KbKG/davina.jpg)
Stori: IMELDA MTEMA STAA wa filamu Bongo, Halima Yahaya ‘Davina’ amefunguka kuwa yuko katika mateso makali baada ya kuzuiwa kumuona mwanaye kwa takriban miezi mitatu na mzazi mwenzake. Staa wa filamu Bongo, Halima Yahaya ‘Davina. Akizungumza na mwandishi wetu, Davina alisema kabla hajaingia kwenye ndoa yake ya sasa, alizaa mtoto mmoja na mwanaume ambaye ni dairekta mkubwa wa filamu nchini lakini mwanaume...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies20 Apr
Davina Akanusha Habari “Davina Amchokonoa Wema” Adai ni Uchonganishi
Staa wa bongo movies, Halima Yahaya ‘Davina’ ameonyesha kushitushwa na habari zilizoripotiwa leo nagezeti moja la udaku limeripoti habari yenye kishwa cha habari “Davina Amchokokoa Wema” kitu ambacho Davina amedai ni uchanganishi kati yake na Staa mwenzake Wema Sepetu.
Gazeti hilo limedai kuwa Davina alisema kuwa anamshukuru Mungu kwa mawanae kutimiza miaka miwili kwani kuna watu wanatafuta watoto mpaka sasa hawajapata.
Davina aliyaongea hayo katika birthday ya mwanae iliyofanyika ...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Apuk65MO0R35Wkj7AU*qSMrADcxVkNI8GlKqFOmCVhpdVjouC4Cs0fhTG-cFvOcCILVHumxWhKGQd99DG*WWQjF**K47ljGc/nateseka.jpg?width=650)
NATESEKA JAMANI!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5Y36hMbSNo8NQpQTkWtp*piFP9EHxK-STNvwwwdCl7eqoh1umgZRPnVPV4eKA6jDoF6S-71xhcRkVCnkR6v-wWnDty1Fjlbq/okwiiiiiiiii.jpg?width=650)
Okwi: Nateseka moyoni
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SRbpV0Al75pSwoPVQpGOKC8M0pkA-XcG5htoH1a8gHCWsdCPKhp339qSS78bD*w1Ht3hYMbBOwdyKIjPE7*KvJaYpOIgoLmo/denti.jpg)
NATESEKA NA DONDA LA AJABU!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QWN5yhdbadSSV364rM7KHudsuJIDOqO-fSBRoagjpSeMpx4qRUXbUpYTXbV3sCl7IZ4FQHWKyuZRJuTTmUoqymqs7Zl7B5P/hapiness.jpg)
HAPPINESS MAGESE: NATESEKA KUTOKUPATA MTOTO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QWN5yhdbaeoALERsGm1rUUHBsFWKM65yVmm6KNrdNw4dg0bGkzNRNofcaVvKGc9yfamA*Xbv-Pcs6U0K3FlCLLaVa*eNUrw/Mage.jpg?width=650)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DGhaQe0o0DQIeV0TCVCR3WAshX8SntywIP92kskygzZsmK6M-R75FxtFI036xoRuwY7VobZHLww3SpWYI2Spa2bZMDtVOyJD/rayc.jpg?width=655)
RAY C: NATESEKA KUISHI BILA MPENZI JAMANI
10 years ago
Mtanzania13 May
Siri ya Mbowe Kuzuiwa
Na Waandishi Wetu, Dar na Dodoma
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, jana Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, alizuiwa kumaliza kusoma hotuba yake ambayo ndani yake ilikuwa ikiwalipua vigogo waliohusika na uchotwaji wa fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow huku akieleza kilichojificha ndani ya kashfa ya mtambo wa kufua umeme wa Dowans na Richmond.
Amesema suala hilo la Dowans na Richmond, lilichochewa na makundi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) , na sasa...
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Wataka uwindaji wa kitalii kuzuiwa