Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbwa aliyeuawa Paris kupewa nishani ya ushujaa

Mbwa wa polisi aliyeuawa wakati wa msako baada ya mashambulio ya Paris atatunukiwa nishani kuu ya ushujaa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mgunduzi Tanzanite kupewa nishani

Rais Jakaya Kikwete anatarajiwa kumpa nishani ya Taifa, mgunduzi wa madini ya Tanzanite, Jumanne Ngoma aliyeyagundua miaka 48 iliyopita

 

11 years ago

Mwananchi

Tuwadhibiti panya road, mbwa mwitu, watoto wa mbwa

Dar es Salaam kumezuka tafrani, umeibuka mtindo mpya wa vibaka kupora kwa makundi kwa kufanya operesheni maalumu katika baadhi ya maeneo. Hivi sasa pamoja na kuwa uhalifu umekithiri nchi nzima, lakini kila eneo kuna uhalifu wa aina yake na huu ulioibuka Dar es Salaam unatisha.

 

11 years ago

Habarileo

Mbwa mwitu, watoto wa mbwa, panya road kutokomezwa

JESHI la Polisi nchini limewaagiza Makamanda wa Polisi wa Mikoa, kuhakikisha wanavidhibiti na kuvitokomeza vikundi vyote vinavyojihusisha na vitendo vya uhalifu, ikiwemo uporaji, unyang’anyi na kujeruhi watu katika maeneo mbalimbali.

 

9 years ago

Vijimambo

USHUJAA WA LOWASA

USHUJAA WA LOWASA
Kwa miaka miwili tu ya Uwaziri Mkuu, alifanya makubwa sana zaid ya walikoaa miaka 10, pia aliwaonesha na kuwafundisha KWA VITENDO KAMA IFUATAVYO
1.UMUHIMU WA ELIMU AWALI, kwa kuanzia ujenzi wa shule za kata ...lakini tangu alipoondoka ukadolola na kuisha.
2.UMUHIMU WA ELIMU YA JUU..kwa kuhimiza na kusimamia ujenzi UDOM kwa nguvu zote ujenzi ukafanyika..alipoondoka, mpaka leo majengo mengi UDOM hayatumiki (wanafunzi wa UDOM watakuwa mashahidi wa hili), ...waliobaki serikalin...

 

10 years ago

BBCSwahili

ushujaa wampa uraia Lassana Bathily

Lassana Bathily kwa ushujaa wake apewa hati halali ya ukaazi nchini Ufaransa, na sasa ni raia halisi .

 

10 years ago

Tanzania Daima

Othman atahesabika kwa ushujaa wake

MENGI yatanong’ongwa, yatasemwa kwa upole au jazba. Yatasikika, yataandikwa, yatasomwa juu ya kufukuzwa kazi kwa aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Zanzibar, Othman Masoud. Wakati wapo waliosherehekea  hatua ya Rais wa...

 

5 years ago

Contactmusic.Com

Paris Hilton | Paris Hilton's family donate $10M towards Covid-19 relief efforts

Paris Hilton | Paris Hilton's family donate $10M towards Covid-19 relief efforts  Contactmusic.comView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete atunuku Nishani 28

RAIS Jakaya Kikwete amewatunukia Nishani Watumishi wa Umma 28 kutokana na utumishi wa muda mrefu na ushupavu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani