Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgunduzi Tanzanite kupewa nishani

Rais Jakaya Kikwete anatarajiwa kumpa nishani ya Taifa, mgunduzi wa madini ya Tanzanite, Jumanne Ngoma aliyeyagundua miaka 48 iliyopita

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mbwa aliyeuawa Paris kupewa nishani ya ushujaa

Mbwa wa polisi aliyeuawa wakati wa msako baada ya mashambulio ya Paris atatunukiwa nishani kuu ya ushujaa.

 

9 years ago

Vijimambo

Tanzanite: The hidden treasure of Tanzania We arrive at Tanzanite One on a cool September morning.


The global tanzanite market is only worth $50m
The drive from the nearest town, Arusha, was not too long, but the last stretch on a gravel road littered with ditches made the hairs on the back of my neck stand up.
Once we got to the mine, we were given an induction and a quick briefing on the safety rules. After that we were off to the actual shaft, where we were allocated overalls, helmets and yellow plastic boots.
When I saw the contraption that would carry us 460 metres (yards) below ground,...

 

5 years ago

Michuzi

ZHANG YIMING, MGUNDUZI WA TikTok ILIYOLEGEZA LOCKDOWN


 Na Leandra Gabriel, Michuzi TV

WAKATI dunia ikiendelea kupambana na mlipuko wa homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona (Covid-19,) huku baadhi ya nchi zikiweka vizuizi hasa vya wananchi kutotoka nje, baadhi ya shughuli zimeendelea kufanyika ikiwemo burudani, wengi wameonekana kufurahia maisha kwa kushiriki na wenzao kupitia mtandao wa TikTok kwa kushiriki video mbalimbali hasa za vichekesho.

Zhang Yiming (37) kutoka nchini China ndiye aliyeanzisha mtandao huo kupitia kampuni yake...

 

11 years ago

Mwananchi

SAIDI MJULIZI: Mgunduzi wa rangi za asili zisizotumia kemikali

Wengi tumezoea kusikia kuwa mchakato wa utengenezaji wa rangi, hauwezi kukwepa matumizi ya kemikali. Huo siyo ukweli, Mtanzania Saidi Mjulishi amepewa tuzo na Tume ya Sayansi na Teknolojia (Costech) ikimtambua kama mgunduzi wa rangi maalumu za asili zisizotumia kemikali.

 

5 years ago

BBCSwahili

Chan kumlipa mgunduzi wa kinga ya corona wakati Idadi ya vifo ikifikia 1000

Wakati China ikiendelea kupambana ili kutokomeza ugonjwa wa corona mwigizaji maarufu duniani anaahidi kutoa fedha kwa watakao fanikisha kupatikana kwa kinga ya ugojwa huo.

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete atunuku Nishani 28

RAIS Jakaya Kikwete amewatunukia Nishani Watumishi wa Umma 28 kutokana na utumishi wa muda mrefu na ushupavu.

 

11 years ago

Mwananchi

Warioba atunukiwa nishani iliyotukuka

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba juzi usiku alikuwa miongoni mwa viongozi na watu mashuhuri waliotunukiwa nishani na Rais Jakaya Kikwete, Ikulu jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Habarileo

JK atunuku nishani, tuzo za Muungano

Rais Jakaya Kikwete akimkabidhi Nishani ya Kumbukumbu ya Miaka 50 ya Muungano (Order) Mama Fatma Karume kwa niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa kwanza wa Baraza la Mapinduzi, marehemu Abeid Amaan Karume.(Picha na Freddy Maro wa Ikulu)RAIS Jakaya Kikwete ametunuku nishani na kutoa tuzo za Kumbukumbu ya Miaka 50 ya Muungano kwa watu 8,6 wakiwemo viongozi walioingia madarakani kikatiba na wameendelea kuonesha maadili mema na kuwa mfano wa kuigwa kwa kipindi hicho kwa uaminifu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani