Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SAIDI MJULIZI: Mgunduzi wa rangi za asili zisizotumia kemikali

Wengi tumezoea kusikia kuwa mchakato wa utengenezaji wa rangi, hauwezi kukwepa matumizi ya kemikali. Huo siyo ukweli, Mtanzania Saidi Mjulishi amepewa tuzo na Tume ya Sayansi na Teknolojia (Costech) ikimtambua kama mgunduzi wa rangi maalumu za asili zisizotumia kemikali.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Ubaguzi wa rangi Urusi: Hadithi kuhusu dhana potofu za ubaguzi wa rangi

Watu weusi nchin Urusi wameiambia BBC jinsi ubaguzi wa rangi ulivyoyaathiri maisha yao

 

10 years ago

Mwananchi

Yajue maajabu ya ndege zisizotumia rubani

Shirika la Ujasusi la Israel Mossad limetoa tangazo fulani la kazi kwa njia ya video. Kwenye video hiyo wanaonyesha ndege isiyo na rubani (drone) inavyomfuatilia mtu na kumpiga picha kwa matumizi yake.

 

10 years ago

Mwananchi

Mgunduzi Tanzanite kupewa nishani

Rais Jakaya Kikwete anatarajiwa kumpa nishani ya Taifa, mgunduzi wa madini ya Tanzanite, Jumanne Ngoma aliyeyagundua miaka 48 iliyopita

 

11 years ago

Mwananchi

TEKNOLOJIA: Tanzania tunaweza kutumia ndege zisizotumia rubani

>Hatujaifikia teknolojia hiyo, lakini tunaweza kuwekeza katika ubunifu na kufikia mahali pa kutengeneza au kuzitumia katika shughuli mbalimbali. Nazungumzia ndege zisizo na rubani maarufu kwa jina la ‘Drones’.

 

5 years ago

Michuzi

ZHANG YIMING, MGUNDUZI WA TikTok ILIYOLEGEZA LOCKDOWN


 Na Leandra Gabriel, Michuzi TV

WAKATI dunia ikiendelea kupambana na mlipuko wa homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona (Covid-19,) huku baadhi ya nchi zikiweka vizuizi hasa vya wananchi kutotoka nje, baadhi ya shughuli zimeendelea kufanyika ikiwemo burudani, wengi wameonekana kufurahia maisha kwa kushiriki na wenzao kupitia mtandao wa TikTok kwa kushiriki video mbalimbali hasa za vichekesho.

Zhang Yiming (37) kutoka nchini China ndiye aliyeanzisha mtandao huo kupitia kampuni yake...

 

5 years ago

BBCSwahili

Chan kumlipa mgunduzi wa kinga ya corona wakati Idadi ya vifo ikifikia 1000

Wakati China ikiendelea kupambana ili kutokomeza ugonjwa wa corona mwigizaji maarufu duniani anaahidi kutoa fedha kwa watakao fanikisha kupatikana kwa kinga ya ugojwa huo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dua Saidi mbaroni Dar 

NYOTA wa zamani wa Simba na timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Dua Said, anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni kwa tuhuma za kuunganisha huduma ya maji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani