SAIDI MJULIZI: Mgunduzi wa rangi za asili zisizotumia kemikali
Wengi tumezoea kusikia kuwa mchakato wa utengenezaji wa rangi, hauwezi kukwepa matumizi ya kemikali. Huo siyo ukweli, Mtanzania Saidi Mjulishi amepewa tuzo na Tume ya Sayansi na Teknolojia (Costech) ikimtambua kama mgunduzi wa rangi maalumu za asili zisizotumia kemikali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili21 Jun
Ubaguzi wa rangi Urusi: Hadithi kuhusu dhana potofu za ubaguzi wa rangi
Watu weusi nchin Urusi wameiambia BBC jinsi ubaguzi wa rangi ulivyoyaathiri maisha yao
10 years ago
Mwananchi14 Oct
Yajue maajabu ya ndege zisizotumia rubani
Shirika la Ujasusi la Israel Mossad limetoa tangazo fulani la kazi kwa njia ya video. Kwenye video hiyo wanaonyesha ndege isiyo na rubani (drone) inavyomfuatilia mtu na kumpiga picha kwa matumizi yake.
10 years ago
Mwananchi25 Apr
Mgunduzi Tanzanite kupewa nishani
Rais Jakaya Kikwete anatarajiwa kumpa nishani ya Taifa, mgunduzi wa madini ya Tanzanite, Jumanne Ngoma aliyeyagundua miaka 48 iliyopita
11 years ago
Mwananchi24 Jun
TEKNOLOJIA: Tanzania tunaweza kutumia ndege zisizotumia rubani
>Hatujaifikia teknolojia hiyo, lakini tunaweza kuwekeza katika ubunifu na kufikia mahali pa kutengeneza au kuzitumia katika shughuli mbalimbali. Nazungumzia ndege zisizo na rubani maarufu kwa jina la ‘Drones’.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XS0VdRDz2qA/U2NPpWh4jmI/AAAAAAAFe2A/IyWNMyNtB7c/s72-c/unnamed.png)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QWWk2IVI-6I/XsdsjunB6II/AAAAAAALrPY/73FmIhg5qNkWgCSqV50yLNyT2BK_zbekQCLcBGAsYHQ/s72-c/hqdefault%25281%2529.jpg)
ZHANG YIMING, MGUNDUZI WA TikTok ILIYOLEGEZA LOCKDOWN
![](https://1.bp.blogspot.com/-QWWk2IVI-6I/XsdsjunB6II/AAAAAAALrPY/73FmIhg5qNkWgCSqV50yLNyT2BK_zbekQCLcBGAsYHQ/s640/hqdefault%25281%2529.jpg)
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
WAKATI dunia ikiendelea kupambana na mlipuko wa homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona (Covid-19,) huku baadhi ya nchi zikiweka vizuizi hasa vya wananchi kutotoka nje, baadhi ya shughuli zimeendelea kufanyika ikiwemo burudani, wengi wameonekana kufurahia maisha kwa kushiriki na wenzao kupitia mtandao wa TikTok kwa kushiriki video mbalimbali hasa za vichekesho.
Zhang Yiming (37) kutoka nchini China ndiye aliyeanzisha mtandao huo kupitia kampuni yake...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Chan kumlipa mgunduzi wa kinga ya corona wakati Idadi ya vifo ikifikia 1000
Wakati China ikiendelea kupambana ili kutokomeza ugonjwa wa corona mwigizaji maarufu duniani anaahidi kutoa fedha kwa watakao fanikisha kupatikana kwa kinga ya ugojwa huo.
11 years ago
Tanzania Daima17 Jul
Dua Saidi mbaroni DarÂ
NYOTA wa zamani wa Simba na timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Dua Said, anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni kwa tuhuma za kuunganisha huduma ya maji...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania