Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


USHUJAA WA LOWASA

USHUJAA WA LOWASA
Kwa miaka miwili tu ya Uwaziri Mkuu, alifanya makubwa sana zaid ya walikoaa miaka 10, pia aliwaonesha na kuwafundisha KWA VITENDO KAMA IFUATAVYO
1.UMUHIMU WA ELIMU AWALI, kwa kuanzia ujenzi wa shule za kata ...lakini tangu alipoondoka ukadolola na kuisha.
2.UMUHIMU WA ELIMU YA JUU..kwa kuhimiza na kusimamia ujenzi UDOM kwa nguvu zote ujenzi ukafanyika..alipoondoka, mpaka leo majengo mengi UDOM hayatumiki (wanafunzi wa UDOM watakuwa mashahidi wa hili), ...waliobaki serikalin...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Othman atahesabika kwa ushujaa wake

MENGI yatanong’ongwa, yatasemwa kwa upole au jazba. Yatasikika, yataandikwa, yatasomwa juu ya kufukuzwa kazi kwa aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Zanzibar, Othman Masoud. Wakati wapo waliosherehekea  hatua ya Rais wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

ushujaa wampa uraia Lassana Bathily

Lassana Bathily kwa ushujaa wake apewa hati halali ya ukaazi nchini Ufaransa, na sasa ni raia halisi .

 

9 years ago

BBCSwahili

Mbwa aliyeuawa Paris kupewa nishani ya ushujaa

Mbwa wa polisi aliyeuawa wakati wa msako baada ya mashambulio ya Paris atatunukiwa nishani kuu ya ushujaa.

 

10 years ago

Vijimambo

DOA LA LOWASA HALITOKI



Kilicho mfanya Dr Slaa ashindwe Kumuunga Mkono Lowasa ni kua hakutarajia Nyoka ambae alimtangaza kua ni Adui Mkubwa na Muharibifu kama Atamuingilia Nyumbani kwake na Kumtoa Nje na Nyoka huyo Adui alokua akimtangaza Tanzania Nzima kubakia Nyumbani kwake.Kabakia sasa hana tena Thamani yoyote kwa Chadema wala Ukawa ila Zawadi anayo ipata ni Matusi ,kweli waswahili wamesema Fadhila za Pumnda ni Mateke na Mashuzi.

 

10 years ago

GPL

JALADA LA LOWASA KUWEKWA HADHARANI

Edward Lowassa Na Mwandishi Wetu  DHORUBA ya kisiasa ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu, inazidi kutibua mawimbi kufuatia kunaswa kwa harakati za kuchafuana miongoni mwa wagombea wa nafasi ya urais kupitia chama hicho. Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali nchini, imebainika kuwa pamoja na watangaza nia wengine kuwindwa na mkakati huu, mlengwa mkuu ni waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa...

 

10 years ago

Vijimambo

JANUARI MAKAMBA AFUNIKA LOWASA

 NAIBU Waziri wa Sayansi na Teknolojia, Januari Makamba ambaye ni mmoja wa makada wa CCM waliotangaza nia ya kuwania kuteuliwa kuwania Urais, ameibuka na ubunifu wa kisasa katika namna ya kutangaza nia ya kuwania urais kupitia CCM, kitu ambacho endapo kitafanikiwa atakuwa amemfunika Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa ambaye kwa sasa ndiye gumzo miongoni mwa makada waliojitokeza.Edward Lowassa.Januari, ambaye ni mtoto wa Katibu Mkuu wa zamani wa CCM, mzee Yussuf Makamba, jana katika...

 

10 years ago

Vijimambo

MH LOWASA KATIKA MSIBA MONDULI



POLE SANA,MUNGU AKUPE NGUVU!!!
Mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa na mkewe mama Regina Lowassa(pembeni)akimpa pole mjane wa marehemu Dr John Makundi kwenye kanisa la KKKT Monduli katika Misa ya kumuaga.Marehemu Dr Makundi ambaye alikuwa mratibu wa mpango wa kuzuia ukimwi wilayani Monduli alifariki tarehe 7 April mwaka huu kwa ajali ya gari huko eneo la Kisongo Arusha.Anatarajiwa kuzikwa tar 11 April nyumbani kao Marangu Moshi.CREDIT:DJCHOKA

 

10 years ago

Daily News

Lowasa picks CHADEMA form


Lowasa picks CHADEMA form
Daily News
FORMER Prime Minister Edward Lowasa has picked a CHADEMA's presidential form at around 1300hrs at the party headquarter in Dar es Salaam. Multitude of Chadema supporters who gathered along Togo Street in Kinondoni, received the former PM's ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani