Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ushujaa wampa uraia Lassana Bathily

Lassana Bathily kwa ushujaa wake apewa hati halali ya ukaazi nchini Ufaransa, na sasa ni raia halisi .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBC

VIDEO: Mali welcomes 'hero' Lassana Bathily

The shop assistant who saved many customers' lives during the siege of the Jewish supermarket in Paris earlier this month has been given a hero's welcome in his native country Mali.

 

10 years ago

Vijimambo

USHUJAA WA LOWASA

USHUJAA WA LOWASA
Kwa miaka miwili tu ya Uwaziri Mkuu, alifanya makubwa sana zaid ya walikoaa miaka 10, pia aliwaonesha na kuwafundisha KWA VITENDO KAMA IFUATAVYO
1.UMUHIMU WA ELIMU AWALI, kwa kuanzia ujenzi wa shule za kata ...lakini tangu alipoondoka ukadolola na kuisha.
2.UMUHIMU WA ELIMU YA JUU..kwa kuhimiza na kusimamia ujenzi UDOM kwa nguvu zote ujenzi ukafanyika..alipoondoka, mpaka leo majengo mengi UDOM hayatumiki (wanafunzi wa UDOM watakuwa mashahidi wa hili), ...waliobaki serikalin...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Othman atahesabika kwa ushujaa wake

MENGI yatanong’ongwa, yatasemwa kwa upole au jazba. Yatasikika, yataandikwa, yatasomwa juu ya kufukuzwa kazi kwa aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Zanzibar, Othman Masoud. Wakati wapo waliosherehekea  hatua ya Rais wa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mbwa aliyeuawa Paris kupewa nishani ya ushujaa

Mbwa wa polisi aliyeuawa wakati wa msako baada ya mashambulio ya Paris atatunukiwa nishani kuu ya ushujaa.

 

10 years ago

GPL

UCHAGUZI WAMPA LIKIZO JB

Mkongwe wa sinema Bongo, Jacob Stephen ‘JB’. Imelda Mtema LIKIZO! Mkongwe wa sinema Bongo, Jacob Stephen ‘JB’ amefunguka kuwa amelazimika kujipa likizo ya lazima kwa kutofanya shughuli za sanaa hadi pale uchaguzi utakapopita. Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, JB alisema ameamua kusimama kazi zake za sanaa kwani kwa sasa kila mtu anawaza mambo ya uchaguzi na hakuna chochote anachoweza kufanya kikapokelewa bila...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ukatili Wampa Ulaji Jengua

Muigizaji mkongwe wa hapa Bongo, Mzee Jengua  amesema kuwa ameshirikishwa  katika filamu ya Sio Dili inayohusu mauaji ya Albino kutokana na hulka yake ya ukatili awapo kazini.

Akizungumza na Gazeti la Nipashe , Jengua  alisema  muandaaji wa filamu hiyo aliona yeye ndio  anafaa kuwa mtu  anayefanya biashara ya viungo vya Albino kutokana na uigizaji wake wa ukatili, katika filamu zilizopita.

Jengua hata hivyo amesema anaumizwa na tabia za watu ambao hukata viungo vya au kuwaua  kwa imani za...

 

9 years ago

Habarileo

Wazee wampa baraka Magufuli

WAASISI na wazee wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamemtakia kila la heri Rais mpya wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Magufuli kutekeleza majukumu yake vyema ya kuwatumikia wananchi wote wa Tanzania akiwa Rais wa Awamu ya Tano.

 

11 years ago

Mwananchi

Walimu ‘wampa ndiyo’ Makamba

Moto wa uchaguzi mkuu umezidi kupamba baada ya mtandao wa walimu vijana nchini kujitokeza hadharani na kuahidi kumpigia kampeni Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba katika safari yake ya kuwania urais.

 

11 years ago

Mwananchi

Tabora wampa Kinana salamu za JK

Wana-CCM wa Mkoa wa Tabora wamemkumbusha Rais Jakaya Kikwete kutekeleza ahadi yake ya ujenzi wa bomba la maji kutoka Ziwa Victoria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani