Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukatili Wampa Ulaji Jengua

Muigizaji mkongwe wa hapa Bongo, Mzee Jengua  amesema kuwa ameshirikishwa  katika filamu ya Sio Dili inayohusu mauaji ya Albino kutokana na hulka yake ya ukatili awapo kazini.

Akizungumza na Gazeti la Nipashe , Jengua  alisema  muandaaji wa filamu hiyo aliona yeye ndio  anafaa kuwa mtu  anayefanya biashara ya viungo vya Albino kutokana na uigizaji wake wa ukatili, katika filamu zilizopita.

Jengua hata hivyo amesema anaumizwa na tabia za watu ambao hukata viungo vya au kuwaua  kwa imani za...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

BI. MWENDA, JENGUA WAONESHANA MALOVEE MSIBANI

NG’OMBE hazeeki maini! Katika hali ya kushangaza, waigizaji wakongwe, Fatuma Makongoro ‘Bi. Mwenda’ na Jengua walioneshana malovee msibani kwa kuitana mume na mke. Muigizaji mkongwe katika tasnia ya filamu Bongo, Mohammed Fungafunga 'Jengua' akiwa msibani kwa aliyekuwa gwiji la vichekesho marehemu Mzee Small. Ishu hiyo ilitokea juzi, Jumatatu kwenye msiba wa nguli wa vichekesho nchini, Said Ngamba...

 

10 years ago

GPL

BUNGE MAALUM LA KATIBA ULAJI

Na MWANDISHI WETU
BUNGE Maalum la Katiba linaloendelea na vikao vyake mjini Dodoma, halitaendelea baada ya Oktoba 4, mwaka huu hadi baada ya uchaguzi mkuu mwakani, hali inayoelezwa kuwapa ulaji wa bure wajumbe wake kwa vile katiba mpya haitapatikana kwa sasa. Kikao maalum kati ya Rais Jakaya Kikwete na viongozi wa Kituo cha Demokratia Tanzania (TCD) kilikubaliana kwamba muda uliobaki hauwezi kumaliza mchakato wa upatikanaji wa...

 

11 years ago

Michuzi

Ulaji kwa Wabongo UNDP


A program is about to start in Tanzania, funded by Bill Merinda Gate Foundation, for transformation of the agricultural industry. However, the Senior Program Officer / Senior Regional Advisor -East Africa, who is Kenyan and based in Seattle, has told me that they have failed to find qualified Tanzanians to fill the positions indicated below. I did not believe her because I know we have a lot of talent in the different agricultural sciences. Please help to look for the right people so we do...

 

11 years ago

Mwananchi

Wamisri wainyima ulaji Yanga

Klabu ya Yanga imepoteza dola 70,000 za Kimarekani (Sh 111.2 milioni) baada ya kampuni ya MGB ya Misri kushindwa kurusha moja kwa moja ‘Live’ mechi kati ya timu hiyo na Al Ahly iliyochezwa Uwanja wa Taifa mwishoni mwa wiki iliyopita.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hodgson kuongea ulaji England

Shirikisho la soka England lina mpango wa kuwa na mazunguzo na Kocha mkuu wa timu ya England Roy Hodgson mapema mwaka ujao.

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete azuia ‘ulaji’ trafiki

RAIS Jakaya Kikwete ameliagiza Baraza la Taifa la Usalama Barabarani, kuanzisha mara moja mfumo wa ulipaji faini kwa njia ya Benki na mitandao ya simu za mkononi ili kupunguza ushawishi wa vitendo vya rushwa kwa askari wa kikosi cha usalama barabarani nchini.

 

11 years ago

GPL

Stewart apewa ulaji TFF

Mkurugenzi wa Ufundi wa Kampuni ya Symbion Power, Muingereza Stewart Hall. Omary Mdose na Said Ally
MKURUGENZI wa Ufundi wa Kampuni ya Symbion Power, Muingereza Stewart Hall, ameteuliwa kuwa mshauri wa timu ya taifa ya Vijana U-20 inayojiandaa na mechi ya kuwania kufuzu kucheza Kombe la Vijana  Afrika. Michuano hiyo itafanyika  nchini Senegal mwakani  na timu hiyo itaanza kwa kuvaana na Kenya kwenye mchezo...

 

11 years ago

Mwananchi

Majuto: Acheni kutuharibia ulaji

Mwigizaji nguli Amri Athumani (King Majuto),amewajia juu wanaovamia fani ya vichekesho kwa kufanya vitendo alivyosema vinatia kinyaa kuviangalia.

 

11 years ago

Mwananchi

Ulaji wetu na maradhi ya kisukari-3

Tunaweza kuyakabili maradhi ya kisukari kwa njia kuu nne. Mosi, kuwa na elimu kuhusu maradhi ya kisukari na mtu kuwa na uwezo wa kujipima kiwango cha sukari mwilini mwake. Pili, ni kula mlo kamili, tatu kufanya mazoezi na nne ni kupata tiba sahihi ya maradhi ya kisukari.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani