MC PILIPILI: NILIACHA UALIMU NIKAJIKITA KWENYE KOMEDI
![](http://api.ning.com:80/files/UeiAtiGk5fnnBIZC54t6repKtN7F0Rxmqa2AY1RhSJFWwwxQBHAOXAn1AUmUlXecmI23xYeZnfi-nEqQB27lBAYyS-95R0PJ/mc.gif?width=650)
LEO hii kwenye Live Chumba cha Habari tunaye mshereheshaji na mchekeshaji maarufu nchini hapa, Emmanuel Mathias ‘Mc Pilipili’ ambaye ametimiza ndoto ya kufanya kazi aliyokuwa akiipenda. Emmanuel Mathias 'MC Pilipili' (kulia) akifanyiwa mahojiano ndani ya studio za Global TV Online jioni hii. Pembeni ni Mtangazaji wa Global TV Online, Pamella… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi31 May
NAFASI ZA MAFUNZO YA UALIMU 2014-2015 CHUO CHA UALIMU RENGEMBA MAFINGA IRINGA
CHUO KINATANGAZA NAFASI ZA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA CHETI NA STASHAHADA KWA MWAKA WA MASOMO 2014 - 2015 NAFASI ZA MAFUNZO YA UALIMU NA CHILD DEVELOPMENT - 2014-2015 ADA YA MWAKA MOJA PAMOJA NA HOSTEL NI MILLIONI MOJA (1,000,000) UNAWEZA KULIPA KWA AWAMU NNE NDANI YA MWAKA MMOJA. FORM ZA SHULE ZINAPATIKANA kwa maelezo zaidi wasiliana na njia ya barua pepee; rugemba@gmail.com REGEMBA CHUONI -0753 038336 DAR ES SALAAM -BOKO...
10 years ago
Dewji Blog18 Nov
Original Komedi waacha gumzo jijini Mwanza kwenye Tamasha la Tigo Welcome Pack
![orijino komedy](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/orijino-komedy.jpg)
![Masanja2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/Masanja2.jpg)
![Mpoki](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/Mpoki.jpg)
![MwanaFA2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/MwanaFA2.jpg)
9 years ago
Bongo Movies07 Nov
Masanja Kwenye Foleni ya Ubunge Ludewa.. Ataacha Komedi? Asipopita? Viatu vya Marehemu?
Uchaguzi Mkuu Tanzania umekwisha na zile headlines mfululizo kuhusu Siasa zimeanza kupungua pia, lakini hazijaisha… YES !! Bado headlines zitaendelea kutufikia kwa sababu kuna Majimbo ambayo Uchaguzi ulisogezwa mbele baada ya kutokea matatizo mbalimbali ikiwemo Wagombea wake kufariki.
RIP Marehemu Deo Haule Filikunjombe… stori inagusa Jimbo lake sasahivi, ni Jimbo la Ludewa lililopo Mkoa wa Njombe.
Mchakato kwenye Jimbo hilo umeanza, kwa upande wa CCM ndio kumeshika kasi yenyewe, kwenye...
5 years ago
MichuziRC Arusha Apongeza Uwekezaji wa Tanzania na Canada kwenye Elimu ya Ualimu
![](https://1.bp.blogspot.com/-pkSUHnbaXHg/XkaKAQXlNOI/AAAAAAALdWs/75wCLOQJZZAZTqUNHTaasyKXM_dnzzPSgCLcBGAsYHQ/s640/3.Naibu-Katibu-Mkuu-Wizara-ya-Elimu-Sayansi-na-Teknolojia-Dr.Ave-Maria-Semakafu-akifafanua-jambo-katika-mkutano-wa-tathimini-ya-mradi-wa-TESP..jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/2.Katibu-Tawala-wa-Mkoa-wa-Arusha-Richard-Kwitega-akifungua-mkutano-wa-wadau-wa-elimu-ya-ualimu.jpg)
Katibu-Tawala-wa-Mkoa-wa-Arusha-Richard-Kwitega-akifungua-mkutano-wa-wadau-wa-elimu-ya-ualimu.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/1.Picha-ya-Pamoja-ya-Viongozi-na-wadau-wa-elimu-ya-Ualimu-nchini-katika-mkutano-wa-tathmini-ya-mradi-wa-TESP..jpg)
Picha-ya-Pamoja-ya-Viongozi-na-wadau-wa-elimu-ya-Ualimu-nchini-katika-mkutano-wa-tathmini-ya-mradi-wa-TESP
…………………………..
Na Ahmed Mahmoud,Arusha.
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo ameipongeza serikali ya Canada kwa kushirikiana na Serikali ya Tanzania...
10 years ago
Dewji Blog13 Nov
Tigo, Original Komedi na Wasanii kibao kutikisa jiji la Mwanza kwenye tamasha la Welcome Pack jumamosi hii
Meneja wa Bidhaa wa Tigo Bw. Edwin Mgoa akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa kutangaza tamasha kubwa la Tigo welcome pack litakalofanyika uwanja wa ccm Kirumba jijini Mwanza Jumamosi ya wiki hii, tamasha hili litaweza kuwapa wananchi fursa ya kupata maelezo ya kina kuhusu huduma mbalimbali zitolewazo na kampuni ya Tigo.
Msanii wa kundi la Original Komedi Emmanuel Mgaya maarufu kama Masanja akitoa vionjo kwenye mkutano wa waandishi wa habari(hawapo pichani) kwa ajili...
11 years ago
Michuzi27 May
NAFASI ZA MAFUNZO YA UALIMU 2014-2015 CHUO CHA UALIMU CHA RUNGEMBA, MAFINGA, IRINGA
1. MAFUNZO YA UALIMU STASHAHADA (SECONDARY) 'DIPLOMA IN SECONDARY' (DSEE) KWA MIAKA 2 Sifa za mwombaji - awe amemaliza kidato cha sita (v1) na ufaulu wa principal (1) subsidiary (1) 2. UALIMU DARAJA LA 111-A - NGAZI YA CHETI (CATCE) - KWA MIAKA 2. Sifa za mwombaji - awe amemaliza kidato cha nne (1V) na ufaulu wa alama 26-27 (kwa mwaka 2004-2012) au alama 32-34 (kwa mwaka2013) 3. MAFUNZO...
11 years ago
Tanzania Daima29 Jan
Lugola: Niliacha uaskari kufanya siasa
“NIMETUMIKIA Jeshi la Polisi kwa miaka minane na ndipo nikaamua kustaafu kwa hiari ili nijishughulishe na masuala ya siasa moja kwa moja nikiwa bado nina nguvu.” Hii ni kauli ya...
9 years ago
BBCSwahili06 Oct
Utafiti: Pilipili huchangia maisha marefu
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/KvN4KGTLyq0/default.jpg)