Mchechu: Watanzania ni vigeugeu
Nehemiah Mchechu, moja ya majina maarufu katika nyanja za uongozi wa mashirika nchini, jina lake limeteka mitandao ya kijamii kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo02 Jul
Spika,Masaju wananga wabunge ‘vigeugeu’
MWANASHERIA Mkuu wa Serikali (AG), George Masaju amewaomba wabunge kutumia kauli za busara wanapochangia mijadala bungeni, kuepusha kuikatisha Serikali tamaa ya kutekeleza wajibu wake.
9 years ago
Michuzi10 Sep
SHUKRANI FAMILIA YA MCHECHU
![New Picture](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/YYos_2bxhyhoMYeNvWhKZvdgVClOuVdurBKUJfwxmA1RreWq1SwCVtQkzVgPJC1tV3T0SgUGDw2eLWTOmZgG002sYO6AR4iKS94rk88VwRnlsE1rB8uNNAVr9JpGeVAqTBxzi0hIyvyf57zIExxhc3gOoHQhRoOV9OHI8VC_CPTHql_F0--NHoF-kgr16hZHDgJtL6AXO_sHqSzLcY31eNSAnYlKmvr96QsltM8XpSLnmgjX10e5yBr19QpeA_U8Qnh7lk0q_Je-ZF7LyNhIAuqLE66EQ7ncNPXvKc07awQ-YUs7jzBy8LO2dg=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.fullshangweblog.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F09%2FNew-Picture.png&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
Tanzania Daima13 Oct
Mchechu aifagilia taasisi ya Nkwamira
MKURUGENZI wa Shirika la Nyumba nchini (NHC), Nehemiah Mchechu, ameahidi ushirikiano wa bega kwa bega na Taasisi inayojishughulisha na utoaji wa misaada ya elimu (Nkwamira), kusaidia wanafunzi kuweza kupata vitabu....
11 years ago
Tanzania Daima24 Jul
Mchechu akingiwa kifua NHC
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC), limesema bado Mkurugenzi wake, Nehemia Mchechu na menejimenti yake wana mikataba halali ambayo haijamalizika muda wake kama inavyodaiwa na mitandao mbalimbali ya kijamii. Kauli...
10 years ago
VijimamboRais Kikwete amfariji Nehemia Mchechu
9 years ago
Mtanzania16 Oct
Nehemia Mchechu mgeni rasmi tamasha la ‘mateja’
NA MWANDISHI WETU
MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tamasha la kwaya mbalimbali lenye lengo la kuchangia uanzishwaji wa Kituo cha kusaidia vijana walioathirika na dawa za kulevya.
Tamasha hilo lililoandaliwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kigogo, litafanyika Jumapili ya Oktoba 18, katika Ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam.
Msanii kutoka Kenya, Solomoni Mukubwa, kwaya ya...
11 years ago
Habarileo24 Jul
NHC wakanusha mgogoro wa Bodi na mtendaji Mchechu
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC) limekanusha madai kwamba Bodi yake mpya ya Wakurugenzi ipo kwenye mgogoro na Mkurugenzi wa shirika hilo, Nehemia Mchechu.
9 years ago
Michuzi09 Sep
SHUKRANI TOKA KWA MR. & MRS. NEHEMIAH MCHECHU
![New Picture](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/New-Picture.png)
Familia ya marehemu Dr. John Edward Mchechu wa Ukonga Dar es salaam wanapenda kutoa shukrani zao za dhati kwa ndugu, jamaa na marafiki walioshirikiana nao na kuwafariji kwa hali na mali katika kumuuguza na mpaka kumlaza katika nyumba ya milele mpendwa baba yao Dr. John Edward Mchechu aliyefariki tarehe 21/07/2015 nyumbani kwake Ukonga na kuzikwa tarehe 26/07/2015 Muheza, Tanga.Shukrani za pekee zimfikie Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. JakayaMrishoKikwete,MakamuwaRais,Dk. Mohamed...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-t7fzP48jN30/U6fqRE4ZKpI/AAAAAAAFsZE/otg-vI1Wt9E/s72-c/Screen+Shot+2014-06-23+at+11.45.38+AM.png)
NDG. Nehemia Mchechu nyie mwenyekiti mpya wa Bodi ya SBL
Ndugu Nehemia Mchechu kwa sasa ni Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Nyumba la Taifa( NHC) . Bw. Mchechu anauzoefu mkubwa katika masuala ya fedha na usimamizi....