Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mchechu: Watanzania ni vigeugeu

Nehemiah Mchechu, moja ya majina maarufu katika nyanja za uongozi wa mashirika nchini, jina lake limeteka mitandao ya kijamii kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Spika,Masaju wananga wabunge ‘vigeugeu’

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju.MWANASHERIA Mkuu wa Serikali (AG), George Masaju amewaomba wabunge kutumia kauli za busara wanapochangia mijadala bungeni, kuepusha kuikatisha Serikali tamaa ya kutekeleza wajibu wake.

 

9 years ago

Michuzi

SHUKRANI FAMILIA YA MCHECHU

New PictureFamilia ya marehemu Dr. John Edward Mchechu wa Ukonga Dar es salaam wanapenda kutoa shukrani zao za dhati kwa ndugu, jamaa na marafiki walioshirikiana nao na kuwafariji kwa hali na mali katika kumuuguza na mpaka kumlaza katika nyumba ya milele mpendwa baba yao Dr. John Edward Mchechu aliyefariki tarehe 21/07/2015 nyumbani kwake Ukonga na kuzikwa tarehe 26/07/2015 Muheza, Tanga.Shukrani za pekee zimfikie Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. JakayaMrisho Kikwete, Makamu wa Rais Dk....

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mchechu aifagilia taasisi ya Nkwamira

MKURUGENZI wa Shirika la Nyumba nchini (NHC), Nehemiah Mchechu, ameahidi ushirikiano wa bega kwa bega na Taasisi inayojishughulisha na utoaji wa misaada ya elimu (Nkwamira), kusaidia wanafunzi kuweza kupata vitabu....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mchechu akingiwa kifua NHC

SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC), limesema bado Mkurugenzi wake, Nehemia Mchechu na menejimenti yake wana mikataba halali ambayo haijamalizika muda wake kama inavyodaiwa na mitandao mbalimbali ya kijamii. Kauli...

 

10 years ago

Vijimambo

Rais Kikwete amfariji Nehemia Mchechu

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha Marehemu John Edward Mchechu ambaye ni baba wa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa(NHC) Bwana Nehemia Mchechu. Rais Kikwete alikwenda nyumbani kwa Mkurugenzi huyo Mbezi Beach jana kumpa pole kufuatia kifo cha Baba yake aliyekuwa anaugua ugonjwa wa kiharusi.Kulia aliyesimama ni Mtoto wa Marehemu Bwana Nehemia Mchechu.Rais Dkt.Jakaya Mrisho kikwete akiifariji familia ya marehemu John Edward Mchechu...

 

9 years ago

Mtanzania

Nehemia Mchechu mgeni rasmi tamasha la ‘mateja’

Nehemia MchechuNA MWANDISHI WETU

MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tamasha la kwaya mbalimbali lenye lengo la kuchangia uanzishwaji wa Kituo cha kusaidia vijana walioathirika na dawa za kulevya.

Tamasha hilo lililoandaliwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kigogo, litafanyika Jumapili ya Oktoba 18, katika Ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam.

Msanii kutoka Kenya, Solomoni Mukubwa, kwaya ya...

 

11 years ago

Habarileo

NHC wakanusha mgogoro wa Bodi na mtendaji Mchechu

 Nehemia MchechuSHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC) limekanusha madai kwamba Bodi yake mpya ya Wakurugenzi ipo kwenye mgogoro na Mkurugenzi wa shirika hilo, Nehemia Mchechu.

 

9 years ago

Michuzi

SHUKRANI TOKA KWA MR. & MRS. NEHEMIAH MCHECHU

New Picture
Familia ya marehemu Dr. John Edward Mchechu wa Ukonga Dar es salaam wanapenda kutoa shukrani zao za dhati kwa ndugu, jamaa na marafiki walioshirikiana nao na kuwafariji kwa hali na mali katika kumuuguza na mpaka kumlaza katika nyumba ya milele mpendwa baba yao Dr. John Edward Mchechu aliyefariki tarehe 21/07/2015 nyumbani kwake Ukonga na kuzikwa tarehe 26/07/2015 Muheza, Tanga.Shukrani za pekee zimfikie Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. JakayaMrishoKikwete,MakamuwaRais,Dk. Mohamed...

 

11 years ago

Michuzi

NDG. Nehemia Mchechu nyie mwenyekiti mpya wa Bodi ya SBL

Kampuni ya Serengeti Breweries Limited ( SBL ) leo inatangaza utuezi wa Ndg. Nehemia Mchechu kama Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Wakurugenzi ya SBL. Uteuzi wa Ndg. Mchechu unafuata ukamilisho wa umiliki wa Mhe. Jaji (mstaafu) Mark Bomani . Katika nafasi yake mpya , Bw Mchechu pia atakukwa memba ya bodi ya kampuni ya bia ya East Africa.
Ndugu Nehemia Mchechu kwa sasa ni Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Nyumba la Taifa( NHC) . Bw. Mchechu anauzoefu mkubwa katika masuala ya fedha na usimamizi....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani