Mchezea nyoka aiomba serikali ijali sanaa za asili
NA VICTORIA PATRICK (TSJ)
MSANII anayechezea nyoka ambaye alikuwa nchini Marekani kwa takribani miaka 10, Salma Mushi, amezitaka idara zinazohusika na utoaji wa kazi za sanaa kwa watu wa nje na kwa wasanii wa ndani itende haki kwa wasanii wote nchini.
Alisema kama serikali ina uwezo wa kuwapeleka wasanii wa muziki wa Bongo Fleva, kwa nini isiwape nafasi kama hiyo wasanii wa sanaa za asili kwa kuwa sanaa hizo zinatangaza nchi nje kupitia mavazi, ngoma na muziki wa asili, kiasi cha kuvutia...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima01 May
Serikali ijali wafanyakazi kwa vitendo — RAAWU
KATIBU wa Chama cha Wafanyakazi wa taasisi za Elimu ya Juu, Habari, Ufundi na Utafuti (RAAWU) Mkoa wa Dodoma, Ramadhan Mwendwa, ameitaka serikali kutumia vema Siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi)...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/WrRDzyORG5s/default.jpg)
MTOTO WA NYOKA NI NYOKA TUUUUU LeBron James Jr.
Jitiririshe na video hii na utakubari usemi wa mtoto wa nyoka ni nyoka jinsi mtoto wa LeBron James jersey number 0 {LeBron James Jr} alivyo na kipaji kama baba yake. The apple never falls far from the tree.
10 years ago
Mtanzania13 Aug
Jaguar aiomba Serikali ipambane na dawa za kulevya
NAIROBI, Kenya
MSANII wa muziki nchini Kenya, Charles Kanyi ‘Jaguar’, ameiomba Serikali nchini humo ianzishe mashindano ya shule ili iondoe muda wa wanafunzi kutumia dawa za kulevya.
Jaguar alisema vijana wengi wanaokimbia shule wanakimbilia vijiweni kwa sababu hakuna michezo lakini kama michezo itaanzishwa katika shule itaondoa wanafunzi kukimbilia vijiweni.
“Serikali iangalie jinsi ya kuanzisha michezo shuleni ili kuwafanya vijana wajiingize kwenye michezo hiyo badala ya kurudi mitaani na...
10 years ago
Dewji Blog03 Feb
Mchina aiomba Serikali Bilioni 3 kujenga jengo la Halmashauri Singida
Mkurugenzi wa halmashauri ya manispaa Singida, Joseph Mchina, akizungumza kwenye kikao maalum cha kupitisha bajeti ya 2015/2016 kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa kanisa la katoliki mjini Singida. Wa pili aliyeketi ni mstahiki meya wa manispaa ya Singida na sheikh wa mkoa wa Singida, Salum Mahami na wa kwanza kushoto ni Makamu meya, Hassan Mkatana wa kwanza kulia ni Katibu tawala wilaya ya Singida.
Na Nathaniel Limu, Singida
HALMASHAURI ya manispaa ya Singida, imetoa maombi maalum...
11 years ago
Michuzi01 Mar
SHY-ROSE AIOMBA SERIKALI YA TANZANIA KUWEZESHA WATANZANIA WAIFAHAMU EAC NA FAIDA ZAKE
![1069410_488216681262565_60269170_n](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/1069410_488216681262565_60269170_n.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8l--NuzR*jHCPYvTatMsQtT-N4yZukZ5eSqaAhyMlv2h*hTqZYu7b7mtOTXx-9C-acQL3-e*5sfVpvBH7tcM0nwSFuO0vcj*/SHYROSE.jpg?width=650)
SHY-ROSE AIOMBA SERIKALI YA TANZANIA KUWEZESHA WATANZANIA WAIFAHAMU EAC NA FAIDA ZAKE
10 years ago
Zitto Kabwe, MB19 Mar
VIDEO: Mhe. Zitto Kabwe aiomba serikali kuangalia upya muswaada wa sheria ya kazi baada ya kubainisha mapungufu ya muswada huo.
Mbunge wa Kigoma Mhe. Zitto Kabwe aiomba serikali kuangalia upya muswaada wa sheria ya kazi baada ya kubainisha mapungufu ya muswada huo.
![](https://pixel.wp.com/b.gif?host=zittokabwe.wordpress.com&blog=12675215&post=3509&subd=zittokabwe&ref=&feed=1)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_TC1iDkUOLk/XtFLb--XwZI/AAAAAAALsA8/T9EEsUiZEa0e1LY9gFB_DVP2sm3ORSFlQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200529-WA0082.jpg)
MTAFITI WA DAWA ZA MITISHAMBA AIOMBA SERIKALI KUICHUNGUZA DAWA YAKE YA CORONA ALIYOIGUNDUA.
Mtafiti wa Dawa za asili aliyejulikana kwa jina la Rose Roberty (changa Muja) ameiomba Serikali kumsaidia kupima dawa aliyogundua na kuifanyia majaribio kuona kama inatibu ugonjwa wa Corona (Covid-19)
Akiongea na waandishi wa habari leo nyumbani kwake,Rose alieleza kuwa ameweza kugundua dawa ambayo inaweza ikatibu ugonjwa huu ambao unaotikisa dunia ,na anaimani kabisa dawa hiyo itaweza kuponya ugonjwa huo.
Alisema dawa hiyo inatokana na mchanganyiko wa miti shamba...
10 years ago
BBCSwahili10 Jan
Dawa ya nyoka ni nyoka