Mchimba madini adaiwa kujipiga risasi
MCHIMBAJI madini wa Kampuni ya TanzaniteOne iliyopo katika Mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro katika Mkoa wa Manyara, Mosses Komba (28) anadaiwa kujipiga risasi akiwa ndani ya gari.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima11 Jun
Msanii mchimba madini ajipiga risasi
MSANII wa Bongo fleva na mchimbaji madini wa Kampuni ya Tanzanite One katika mji mdogo wa Mirerani, Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, Moses Komba (28), amenusurika kufa kwa kujipiga risasi...
10 years ago
Vijimambo06 Apr
Polisi ajiua kwa kujipiga risasi.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Susan-06April2015.jpg)
Askari wa Kituo cha Polisi Wilaya ya Sikonge mkoani Tabora, H 3416 PC Charles, amejiua kwa kujipiga risasi.
Baadhi ya wananchi wanaoishi jirani na kituo hicho cha polisi, Paulo Lazaro na Furahisha Felix, walisema tukio hilo lilitokea Aprili 4, mwaka huu, saa 1:00 usiku kituoni hapo.
“Suala hili limetushangaza, kwani sisi tulikuwa nyumbani. Ghafla tulisikia mlio wa bunduki katika kituo cha polisi. Tulipofika, tulimkuta askari huyo akiwa amekufa...
10 years ago
Vijimambo![](https://lh4.googleusercontent.com/-PvuagEuutuI/VK1tt6ofKoI/AAAAAAAAIxc/tFKHC9T-XeQ/s72-c/blogger-image-473220883.jpg)
ASKARI WA JESHI LA POLISI AJIUA KWA KUJIPIGA RISASI YA MDOMONI MKOANI MBEYA
![](https://lh4.googleusercontent.com/-PvuagEuutuI/VK1tt6ofKoI/AAAAAAAAIxc/tFKHC9T-XeQ/s640/blogger-image-473220883.jpg)
11 years ago
CloudsFM10 Jun
AJIUA KWA KUJIPIGA RISASI KICHWANI BAADA YA KUGONGA MARA MBILI AKIWA ANAENDESHA GARI
MFANYABIASHARA wa madini, Richard Lucas (29), amejipiga risasi kichwani baada ya kusababisha ajali mbili tofauti na gari lake kupinduka.
Tukio hilo lilitokea juzi majira ya saa 12 jioni nyumbani kwa marehemu eneo la Kimandolu.
Akizungumza na waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas, alithibitisha kutokea kwa tukio hilo.
Alisema kuwa Lucas alijipiga risasi ya kichwa kwa kutumia bastola aina ya Luger yenye namba B136986 baada ya kuwagonga watu hao.
Kamanda Sabas,...
11 years ago
Habarileo02 Mar
Tanganyika adaiwa kukutwa na risasi 9
POLISI mkoani Katavi inamshikilia mkazi wa Mtaa wa Mpanda Hotel mjini hapa , Eva Tanganyika ( 72 ) kwa tuhuma za kukutwa akimiliki isivyo halali risasi tisa za moto, zinazoweza kutumika katika silaha nzito aina za SAR na SMG.
11 years ago
Mwananchi08 Feb
Mtuhumiwa adaiwa kupigwa risasi
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Adaiwa kuuawa kwa risasi mgodini
11 years ago
Mwananchi02 Jan
Ofisa wa jeshi adaiwa kuua watu kwa risasi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NnMed0rJC6a5PFsZZPEQakBhErJYLgofsVReWXq4O2*c6Kqif5JHJmre3hIfeVcyHzdyiZr9shuDxe4hx*or7cbFOo-Zggsf/nisoo.jpg?width=650)
MFANYABIASHARA WA MADINI ADAIWA KUPORA MKE