Mchungaji atuhumiwa kuchochea uhalifu Muleba
Watu watatu akiwamo Mchungaji wa Kanisa la Chochea Moto, Elmes Fabian, wanashikiliwa na polisi mkoani Kagera kwa tuhuma za kufanya uhalifu, kufyeka mashamba ya migomba na kuvunja nyumba tatu za wakazi wa Kijiji cha Kishulo wilayani Muleba wakiwatuhumu kwa uchawi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Te1Ug5AOEgA/VXWOTkgIovI/AAAAAAADqYQ/sVcMHHPifis/s72-c/1.jpg)
ZIARA YA KINANA MULEBA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Te1Ug5AOEgA/VXWOTkgIovI/AAAAAAADqYQ/sVcMHHPifis/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-r61su-aGVZs/VXWOVg0kSWI/AAAAAAADqYw/v4E42mvpBYQ/s640/2.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima18 Jun
Wananchi wacharuka Muleba
Jeshi la Polisi mkoani Kagera linawashikilia watu 30 wakazi wa Wilaya ya Muleba kwa tuhuma za vurugu na uharibifu wa mali uliotokea wilayani humo, ikiwemo kuvunja chumba cha kuhifadhia maiti katika...
10 years ago
Tanzania Daima02 Nov
Mkurugenzi Muleba ajikaanga
KITENDO cha Mkurugunzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba mkoani Kagera, Joseph Mkude cha kuwafukuza waandishi wa habari na wananchi katika vikao vya Baraza la Madiwani, kimelaaniwa na Mkuu wa wilaya hiyo...
9 years ago
Habarileo07 Sep
Diaspora watakiwa kuchochea maendeleo
WATANZANIA wanaoishi ughaibuni (diaspora) wametakiwa kuwa kichocheo cha kuleta maendeleo ya biashara na uwekezaji katika nchi yao ili kuongeza Pato la Taifa na kuboresha maisha ya mwananchi wa kawaida.
10 years ago
Mwananchi31 Dec
Ufisadi ni mbolea ya kuchochea ugaidi
11 years ago
Tanzania Daima09 May
DC adaiwa kuchochea mauaji Kiteto
MKUU wa Wilaya (DC) ya Kiteto mkoani Manyara, Martha Umbulla, amedaiwa kuwa chanzo cha kuchochea mauaji ya wakulima na wafugaji. Madai hayo yalitolewa na Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai...
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Mdee amfuata Tibaijuka Muleba
MIEZI michache baada ya mbunge wa Kawe, Halima Mdee (CHADEMA), kumlipua bungeni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka, akidai anamiliki maelfu ya ekari za ardhi...
11 years ago
GPLDC MULEBA AMTIA NDANI DIWANI
11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
Muleba yajivunia ziada ya madarasa
WAKATI wanafunzi wengi wakikwama kujiunga kidato cha kwanza mwaka huu kutokana na uhaba wa madarasa unaozikabiri baadhi ya halmashauri nchini, Wilaya ya Muleba, mkoani Kagera imetamba kuwa na madarasa ya...