Mdau Cheif Issa Kipande azuru Ofisi za Michuzi Media Group
![](http://3.bp.blogspot.com/-6nW5PgR5zYU/VNu6xfsQB7I/AAAAAAAHDJ4/grqsimpzOFQ/s72-c/DSCF3912.jpg)
Mdau mkubwa wa libeneke la Globu ya Jamii,Cheif Issa Kipande "Cheif Issa" (pili kulia) akiwa na kikosi kazi ya Michuzi Media Group wakati alipotembelea ofisi hizo zilizopo kwenye Jengo la Palm Residency (jirani na hospitali ya Ocean Road) Jijini Dar es saalam leo. Cheif Issa yupo nchini kwa mapunziko mafupi na siku si nyingi atarejea nyumbani kwake nchini Sweden.Wengine pichani toka kushoto ni Othman Michuzi,Ahmad Michuzi na Jonathan Msei a.k.a Gia Kubwa.
Hapa Cheif Issa akiwa na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi16 Jul
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QZUZBL2xztc/U8G2ctFRj6I/AAAAAAAF1tg/zV8xFZPWvtw/s72-c/2014-07-13+00.03.06.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ofsPruFAzHs/VIFkzk0kX-I/AAAAAAAG1XI/CIiK7gly-x8/s72-c/unnamed.jpg)
TAHADHARI KUTOKA MICHUZI MEDIA GROUP.
![](http://3.bp.blogspot.com/-ofsPruFAzHs/VIFkzk0kX-I/AAAAAAAG1XI/CIiK7gly-x8/s1600/unnamed.jpg)
MKURUGENZI MTENDAJI WA KAMPUNI YA MICHUZI MEDIA GROUP (MMG) ANAPENDA KUTAHADHARISHA WADAU POPOTE WALIPO KUHUSIANA NA UJUMBE (PICHANI) AMBAO UPO KWENYE FACE BOOK NA HATA KWENYE TWITTER) KWAMBA UJUMBE HUO HAUHUSIANI KWA LOLOTE NA ANKAL MUHIDIN ISSA MICHUZI, WALA MMG AMA WAKALA WAKE.
HIVYO TUNAWASIHI TUSIHUSISHWE NAYO NA PIA TUNAWAOMBA KUWA MACHO NA MAMBO KAMA HAYA,MAANA ULAGHAI NA UTAPELI MITANDAONI NI MWINGI MNO.
AHSANTENI SANA
ANKAL
10 years ago
MichuziSalumu "Manywele" wa Michuzi media group na Kurthum Wameremeta
10 years ago
Vijimambosherehe ya salum na kuruthum [picha na michuzi media group]
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_7cPjiYTpvo/U72ZmfkVmHI/AAAAAAAF0OU/b2JvFt8jZQI/s72-c/unnamed+(54).jpg)
viwalo vipya vya Michuzi Media Group kutoka kitaa wear
![](http://4.bp.blogspot.com/-_7cPjiYTpvo/U72ZmfkVmHI/AAAAAAAF0OU/b2JvFt8jZQI/s1600/unnamed+(54).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pm-OzfKOJhM/U72Zm_hKMTI/AAAAAAAF0Og/z0OzDYkZdCU/s1600/unnamed+(55).jpg)
KITAA WEAR In...
11 years ago
Michuzi17 Jul
10 years ago
Michuzi03 Apr
CHEF ISSA KIPANDE AFUNGUA MGAHAWA WAKE SWEDEN
![IMG_1562](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/IMG_1562.jpg)
Mgeni rasmi Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mh. Dora Msechu (wa tatu kushoto) akiwa na mwenyeji wake Meya wa Trollhattan, Paul Akerlund (wa tatu kulia), Afisa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa nchini Tanzania, Tagie Daisy Mwakawago (kulia), Mmiliki wa mgahawa unaotoa huduma za chakula cha kitanzania unaofahamika kama "Lunch by Chef Issa" (The house of Tanzanian food) uliopo katika mji wa Trollhattan, Sweden unaomilikiwa na mtanzania Chef Issa Kapande (wa pili kulia)...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/SKkNoVsgMrE/default.jpg)