Membe alonga tuhuma za mabilioni ya Libya
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe ameamua kutoa ufafanuzi wa sakata la mabilioni kutoka Libya ambayo amekuwa akihusishwa nayo, akieleza kuwa fedha zote zilizotolewa kwa amri ya mahakama ni mkopo na hazikuchotwa kama ilivyokuwa kwenye kashfa za Epa au Escrow.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen01 Jul
$20m from Libya: Tales from Membe
10 years ago
Raia Mwema01 Jul
Membe atoa maelezo fedha za Libya
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, ametoa maelezo kuhusu fedha am
Mwandishi Wetu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YKSaFWhs-tg/XlULsUkAdrI/AAAAAAALfRE/mD6Kno4ay-MyqClZevaVx0iD6TdLkDh4gCLcBGAsYHQ/s72-c/b4b28911-be6c-41bc-aeb0-38e0cc1f3f29.jpg)
WATU WANNE MIKONONI MWA POLISI KWA TUHUMA ZA WIZI WA MABILIONI YA FEDHA YA BENKI YA NBC, POLISI TISA NAO MBARONI
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watu wanne waliokuwa wafanyakazi wa kampuni ya ulinzi ya G4S Security kwa tuhuma za wizi wa Sh.1.280,000,000, Dola za Marekani 402,000 na Euro 27,700 huku pia likiwashikilia askari wa polisi tisa kwa tuhuma za kuchukua sehemu ya fedha hizo kutoka kwa mmoja ya watuhumiwa.
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam , Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Lazaro Mambosasa amewataja...
11 years ago
Mwananchi23 Jul
TUHUMA: Mwamuzi wa Fifa asakwa kwa tuhuma za wizi
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/_2NsQvxpgXk/default.jpg)
9 years ago
Habarileo04 Nov
Mzindakaya alonga
MWANASIASA mkongwe nchini, Dk Chrisant Mzindakaya amesema wakati umefika wananchi kufurahia Tanzania mpya isiyo na rushwa wala umasikini chini ya uongozi wa Rais John Magufuli.
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-UnlL5EhAqHM/VWMdf43jJEI/AAAAAAAAuXc/PMyz3Y_A7aA/s72-c/lowassa%2B%25281%2529.jpg)
LOAWASSA ALONGA NA WANAHABARI
![](http://2.bp.blogspot.com/-UnlL5EhAqHM/VWMdf43jJEI/AAAAAAAAuXc/PMyz3Y_A7aA/s640/lowassa%2B%25281%2529.jpg)
Haswa katika upande wa jeshi la polisi
Tuna vijana wetu wanaofanya kazi za IT kwa kujitolea maeneo ya kinondoni na kijitonyama jumla ya vituo vitatu
Hawa vijana wanafanya uzalendo,kushiriki katika uchaguzi wa nchi yao,na kujenga historia moya ya nchi yao,tendo la kuwakamata si la haki kabisa
Wamewavamia na kuwakamata kwa kosa la human trafficing ambalo ni kosa kubwa na halifanani na kazi wanazofanya
Nimeona taarifa zao za matokeo ya kura wameanza...
10 years ago
Uhuru Newspaper26 Oct
Profesa Mwandosya alonga
NA SOLOMON MWANSELE, MBEYA
ALIYEKUWA mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Profesa Mark Mwandosya, amesema suala la wabunge kuwajibishwa na wananchi, halipo katika katiba ya nchi yoyote duniani.
Imeelezwa wajumbe wa Bunge hilo waliangalia na kuzipitia katiba nyingi, lakini hawakuona hata moja iliyowapa uwezo wananchi kumwajibisha mbunge.
Profesa Mwandosya aliyasema hayo, alipokuwa akijibu swali aliloulizwa kwanini katiba iliyopendekezwa haikuweka kifungu hicho kama wananchi walivyopendekeza...
10 years ago
Mwananchi15 Jul
Aliyenusurika shambulio la Polisi alonga