Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Membe ndani ripoti ya TOC

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe ametakiwa kushiriki katika zoezi la ufanyaji tathimini ya Tanzania kwenye Michezo ya Jumuiya ya Madola.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Membe akerwa ripoti ya mbio za urais 2015

 Ni ya Twaweza aliyoshika nafasi ya tanoWaziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Bernard Membe.
Twaweza Jumatano iliyopita ilitoa ripoti ya utafiti, pamoja na mambo mengine ikionyesha baadhi ya majina ya wagombea urais wanavyokubalika kwa wananchi ikiwa uchaguzi wa rais ungefanyika Septemba mwaka huu.

Katika orodha hiyo, Membe alishika nafasi ya tano kwa kupata asilimia tano, huku akitanguliwa na Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa aliyeshika nafasi ya kwanza kwa kupata asilimia 13;...

 

10 years ago

Mwananchi

Lowassa, Membe huru ndani ya saa 24

>Kifungo cha miezi 12 walichopewa makada sita wa CCM kwa kukiuka kanuni na taratibu za chama hicho na kuanza kampeni za kuwania urais kabla ya wakati, kinamalizika ndani ya saa 24 na hatma yao kusubiri tathimini itakayofanywa na kamati ndogo ya maadili ili kubaini iwapo walitekeleza ipasavyo adhabu hiyo au la.

 

10 years ago

Vijimambo

MATUMAINI YA WATANZANIA NDANI YA CCM BAADA YA MEMBE NA MAKAMBA KUSEMEKANA KUKATWA

John Pombe MagufuliAsha-Rose MigiroBalozi Amina Salum Ali 

 

10 years ago

Dewji Blog

Moto wawaka ndani ya Lindi wakati Mheshimiwa Bernard Membe akitangaza nia ya kugombea urais 2015

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akiwapungia mkono umati wa wana CCM na wakazi wa Lindi katika Viwanja vya Ofisi ya CCM Mkoa, wakati alipotangaza nia ya kugombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu ujao wa Mwezi Oktoba. (Picha zote na Cathbert Kajuna wa Kajunason Blog).

Wananchi wakimsikiliza Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard...

 

11 years ago

Mwananchi

TOC yaigomea RT

Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) imelikataa ombi la Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) la kutumia mashindano ya taifa ya riadha kuteua timu itakayoshiriki kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola.

 

10 years ago

Daily News

TOC finally amends constitution


TOC finally amends constitution
Daily News
THE Tanzania Olympic Committee (TOC) has amended its constitution to bar non-exting executive committee members from contesting presidential elections. TOC members, who are leaders of sports associations affiliated to the Olympics Solidarity, dcussed ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TOC kuleta wataalamu wa Taekwondo

KAMATI ya Olimpiki Tanzania (TOC), imeahidi kuwapa wataalamu na wakufunzi kutoka Korea na Japan Shirikisho la Taekwondo Tanzania (TTF), ikiwa ni mkakati wa kukuza na kuendeleza mchezo huo. Rais wa...

 

9 years ago

TheCitizen

TOC laments poor preparations

The Tanzania Olympic Committee (TOC) has questioned the readiness of the national sports bodies to field local athletes to the 2016 Olympic Games in Brazil as they lag behind time.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani