Membe: Nikiwa Rais Nyerere atafurahi
>Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe, ametangaza rasmi nia ya kuutaka urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2015 akisema anatosha na kwamba Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere huko aliko atafurahi endapo atakuwa rais.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania08 Jun
Membe: Nikiwa rais wasanii wataenda kujifunza nje
JENNIFER ULLEMBO NA MWALI IBRAHIM
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amesema kama atachaguliwa kuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, atahakikisha anasimamia haki za wasanii ipasavyo.
Membe alitoa kauli hiyo mkoani Lindi wakati akitangaza nia ya kuwania urais kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba mwaka huu.
“Nitahakikisha naweka mipango imara katika kusimamia kazi za wasanii wote kunufaika na hakimiliki zao,” alisema.
Pia...
10 years ago
Habarileo28 Jun
Jaji Ramadhani: Nitapiga kinanda hata nikiwa rais
JAJI Mkuu mstaafu wa Tanzania, Augustino Ramadhani (70), amerejesha fomu ya kuomba kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM na kusema ataendelea kumtumikia Mungu, hata akiteuliwa na baadaye akichaguliwa kuwa rais.
10 years ago
VijimamboRais Kikwete aifariji familia ya Nyerere kufuatia kifo cha John Nyerere
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha maombolezo leo asubuhi nyumbani kwa Baba wa Taifa Hayati Julius Nyerere nyumbani kwake Msasani jijini Dar es Salaam kufuatia kifo cha mwanaye John Nyerere kilichotokea hivi karibuni.Aliyesimama pembeni ya Rais ni mdogo wa marehemu Makongoro Nyerere.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DS3fBDgklooFGfYAU39Yw5nnnIg*NXCeR90EwfYm0pcC1SmTW4IqvaXafUN*FDLsElaKm1TZ80UvieRxYcXzaYvLBEAPrfj8/steve.jpg?width=650)
STEVE NYERERE ADAIWA ‘KULA’ KWA MEMBE, WASIRA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EC-lQY2NWy0/XoirgAMa2PI/AAAAAAALmB8/Migzz0xuq_MLQnrC-2sDviWPRAlMylF3QCLcBGAsYHQ/s72-c/Untitled-1.jpg)
RAIS JK NYERERE NA RAIS JOMO KENYATTA WALIVYOACHA KWENDA KUANGALIA KABUMBU VIWANJANI!
![](https://1.bp.blogspot.com/-EC-lQY2NWy0/XoirgAMa2PI/AAAAAAALmB8/Migzz0xuq_MLQnrC-2sDviWPRAlMylF3QCLcBGAsYHQ/s640/Untitled-1.jpg)
Na MZEE WA ATIKALI ✍️✍️✍️
1. Usuli:
Rais wa kwanza wa Tanganyika na Tanzania, marehemu Mwalimu JK NYERERE na Rais wa kwanza wa Kenya, marehemu Mzee JOMO KENYATTA, walikuwa na kawaida ya kuhudhuria kabumbu viwanjani, mara moja moja, kunapokuwa na mchezo wa Kimataifa.
Hata hivyo, Mwalimu NYERERE aliacha kwenda uwanjani siku ya Jumanne, tarehe 4.7.1972 na Mzee KENYATTA aliacha kwenda uwanjani siku ya Jumapili, tarehe 12.12.1965.
Je, nini kilipelekea Marais hawa kukata mguu kwenda viwanjani...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NefYiu42lUw/VYcyC2AKTkI/AAAAAAAHiPU/LpOGIUxkdUU/s72-c/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
MEMBE AHUDHURIA MSIBA WA MTOTO WA JENERALI MSUGURI NA KUHANI MSIBA WA JOHN NYERERE BUTIAMA MKOANI MARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-NefYiu42lUw/VYcyC2AKTkI/AAAAAAAHiPU/LpOGIUxkdUU/s640/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-64ouCua__gs/VYgfv-G8TOI/AAAAAAADtRU/uhn8QfRryqk/s72-c/1.jpg)
BERNARD MEMBE APATA WADHAMINI WILAYANI CHAMWINO -DODOMA, ATEMBELEA MNARA WA KUMBUKUMBU YA MW. NYERERE KATIKA KIJIJI CHA CHAMWINO IKULU
![](http://2.bp.blogspot.com/-64ouCua__gs/VYgfv-G8TOI/AAAAAAADtRU/uhn8QfRryqk/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-x07E-8mYU1I/VYgfvlOQ8MI/AAAAAAADtRY/ySwFk3YU98E/s640/1A.jpg)
10 years ago
Mwananchi28 May
Makamu wa Rais Zanzibar amuunga mkono Membe
10 years ago
Habarileo19 Jun
Membe: Rais asiyefahamika nje atatupotezea muda
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amesema hivi sasa nchi haihitaji Rais asiyetambulika nchi za nje kwani atapoteza muda mwingi kujitambulisha badala ya kushughulikia masuala mbalimbali ya wananchi wake.