Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Menezes: Soka la Brazil linaelekea kuzama

“Katika Fainali za Kombe la Dunia 2014, timu za Ulaya zimetuonyesha Brazil uwezo wa juu katika ufundi wa soka, hakuna ubishi katika hilo,”anasema kocha wa zamani wa Brazil, Mano Menezes.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

KUTOKA BRAZIL 2014: Dakika 90 ni asilimia 20 tu za soka Brazil

>Unapofungua televisheni yako na kufaidi dakika 90 za soka za Kombe la Dunia ujue kuwa unafaidi asilimia 20 tu ya mchezo wenyewe. Asilimia 80 ya mchezo huo zipo nje ya uwanja.

 

11 years ago

BBCSwahili

Timu ya soka ya Kenya kwenda Brazil

Sio kushiriki mechi yoyote bali kutazama michuano ya kombe la dunia. Ni zawadi waliyopokea kutoka kwa Rais Uhuru Kenyatta

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu hawa hawana hamu na soka Brazil

Hawana muda na heka heka za kombe la dunia zinazoshuhudiwa nchini Brazil.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Vigogo wa soka Rio wamtema Scolari

Chama cha Soka Brazil (CBF) kimesema hakitampatia kocha wa Selecao, Luiz Felipe Scolari, mkataba mpya, vinaripoti vyombo vya habari nchini humo leo, masaa machache baada ya Ujerumani kutwaa Ubingwa wa Kombe la Dunia kwa mara ya 4.

 

11 years ago

GPL

ZIMEBAKI SIKU 100 ZA DUNIA YOTE YA SOKA KUELEKEA BRAZIL

Ni siku 100 tu, ni vigumu kuamini kuwa iko karibu. Inaonekana kama jana tu kwamba Brazil imethibitishwa kuwa muandaaji wa FIFA World Cup 2014. Nakumbuka msisimko niliohisi na kuona kuwa nchi yangu inaenda kwenye hatua muhimu ya mpira katika Dunia hii. Hata ingawa mimi sitakuwa uwanjani, lakini nimeanza kupata vipepeo tumboni kama ambavyo nilikuwa nikikaribia mechi kubwa. Baada ya yote kumalizika FIFA World Cup, itakuwa ni ya...

 

9 years ago

MillardAyo

Hii ndio klabu iliyotangaza kumsajili staa wa soka wa Brazil Ronaldinho …

Staa wa soka wa kimataifa wa Brazil ambaye amewahi kukipiga katika vilabu kadhaa vya soka barani Ulaya, ikiwemo FC Barcelona ya Hispania na AC Milan ya Italia Ronaldinho amerudi katika headlines jioni ya December 28. Baada ya klabu ya Racing Club de Montevideo ya Uruguay kutangaza kumsajili Ronaldinho. Mkali huyo wa soka wa Brazil ambaye amewahi […]

The post Hii ndio klabu iliyotangaza kumsajili staa wa soka wa Brazil Ronaldinho … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Pele: Aliyekuwa mchezaji soka maarufu Brazil anahisi aibu kutoka nyumbani kutokana na hali mbaya ya kiafya

Bingwa mara tatu wa Kombe la dunia hataki kutoka nyumbani kutokana na hali yake ya afya iliodorora kulingana na mwanawe Edinho.

 

5 years ago

BBCSwahili

Pele: Mchezaji maarufu wa soka nchini Brazil asema hali yake afya ni jambo la kawaida kwa watu wenye umri kama wake

Pele, aliyekuwa mchezaji soka maarufu Brazil amezungumza kwa mara ya kwanza tangu mwanawe alipodai afya yake huenda ikawa kizuizi cha kuwa nyumbani na kusema hali yake ya afya ni jambo la kawaida kwa mtu mwenye umri kama wake.

 

11 years ago

Mwananchi

Jahazi la TZ laanza kuzama Madola

Jahazi la Tanzania limeanza kuzama kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola baada ya timu ya Judo, kuogelea na mpira wa meza kuondoshwa kwenye michezo hiyo inayoendelea nchini Scotland.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani