Jahazi la TZ laanza kuzama Madola
Jahazi la Tanzania limeanza kuzama kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola baada ya timu ya Judo, kuogelea na mpira wa meza kuondoshwa kwenye michezo hiyo inayoendelea nchini Scotland.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi15 Mar
Watatu wafariki kwa kuzama baharini
10 years ago
Mwananchi24 Nov
Mchezo wa Chesi, unaibuka na kuzama Tanzania
10 years ago
BBCSwahili27 Oct
Kuzama meli:Wataka nahodha anyongwe
11 years ago
Habarileo12 Mar
Mtoto afa kwa kuzama bondeni
KARIM Ramadhan (15), mkazi wa Miembe Saba wilayani Kibaha mkoani Pwani, amekufa baada ya kuzama kwenye bonde la shamba la mpunga. Mtoto huyo alizama alipokuwa akicheza na wenzake, ambapo alikuwa akijaribu kuvua samaki kwenye bwawa hilo lililopo Magereza. Kamanda wa Polisi mkoani Pwani, Ulrich Matei alithibitisha tukio hilo. Alisema kabla ya kifo hicho, mtoto huyo alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kifafa.
9 years ago
BBCSwahili04 Sep
Zaidi wa watu 50 wahofiwa kuzama-Libya
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
Tisa wahofiwa kuzama ajali ya boti
WAFANYABIASHARA tisa wakazi wa Kijiji cha Mpasa wilayani Nkasi mkoani Rukwa, wanahofiwa kufariki baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kwenda nchini Zambia kuzama kwenye eneo la Kipwa. Watu hao walikuwa wakienda...
11 years ago
Mwananchi21 Jul
Menezes: Soka la Brazil linaelekea kuzama
11 years ago
BBCSwahili17 Apr
Ujumbe wa mwisho kabla ya meli kuzama