Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kuzama meli:Wataka nahodha anyongwe

Waendesha mashitaka wa Korea Kusini wameomba adhabu ya kifo dhidi ya nahodha wa kivuko cha Sewol.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Ujumbe wa mwisho kabla ya meli kuzama

"Huenda hii ndio mara yangu ya mwisho kukuambia nakupenda,'' ndio ulikuwa ujumbe wa mwanafunzi mmoja kwa mamake.

 

11 years ago

CloudsFM

AY NA FRAVIANA MATATA WALIVYOUNGANA NA WATANZANIA KATIKA IBADA YA MIAKA KUMI NA NANE YA KUZAMA KWA MELI YA MV BUKOBA JIJINI MWANZA.

Miss Universe Tanzania 2007 na mwanamitindo wa kimataifa Flaviana Matata pamoja na msanii wa bongo fleva,Ambwene Yesaya'AY' siku ya jana walijumuika na wananchi wengine mkoani Mwanza katika Ibada maalum ya kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya kuwaombea marehemu waliopoteza maisha yao baada ya kuzama kwa meli ya Mv Bukoba miaka 18 iliyopita.Flaviana Matata, ambaye anafanyia shughuli zake nchini Uingereza na Marekani ni mmoja wa watu waliopoteza ndugu zao kwenye ajali hiyo. Yeye alimpoteza mama...

 

11 years ago

BBCSwahili

Viongozi wa mashitaka wataka nahodha akamatwe

Viongozi wa mashitaka nchini Korea Kusini wameiomba mahakama kutoa kibali cha kukamatwa kwa nahodha wa feri ya iliyozama siku ya Jumatano ikiwa na zaidi ya watu 400.

 

10 years ago

Habarileo

Mabaharia wataka kazi meli za utafiti wa mafuta

JUMUIYA ya Mabaharia Tanzania imeiomba Serikali kuajiri wanachama wake katika meli za utafiti na uchimbaji mafuta na gesi katika mikoa ya Lindi na Mtwara.

 

11 years ago

Mwananchi

Jahazi la TZ laanza kuzama Madola

Jahazi la Tanzania limeanza kuzama kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola baada ya timu ya Judo, kuogelea na mpira wa meza kuondoshwa kwenye michezo hiyo inayoendelea nchini Scotland.

 

10 years ago

Mwananchi

Mchezo wa Chesi, unaibuka na kuzama Tanzania

Miaka ya themanini mchezo wa chesi ulizoa halaiki ya mashabiki nchini na vinywani mwa walio wengi kulikuwa na majina mawili pekee ya wachezaji ambao walikuwa kama taswira na utambulisho wa mchezo huo ulimwenguni ambayo ni ya Garry Kasparov na Anatory Karpov.

 

9 years ago

BBCSwahili

Zaidi wa watu 50 wahofiwa kuzama-Libya

Zaidi ya watu hamsini hawajulikani waliko baada ya meli walimokuwa wakisafiria kuanza kuzama katika pwani ya Libya

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tisa wahofiwa kuzama ajali ya boti

WAFANYABIASHARA tisa wakazi wa Kijiji cha Mpasa wilayani Nkasi mkoani Rukwa, wanahofiwa kufariki baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kwenda nchini Zambia kuzama kwenye eneo la Kipwa. Watu hao walikuwa wakienda...

 

11 years ago

Mwananchi

Watatu wafariki kwa kuzama baharini

Watu watatu mkoani Mtwara wamepoteza maisha kufuatia kuzama kwa mtumbwi waliokuwa wakisafiria katika Bahari ya Hindi kutoka Kitongoji cha Mwale kuja Mtwara Mjini kwa ajili ya shughuli zao za kila siku.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani